#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Kwa siasa zilivyo nchi sahau kama Mbowe atastaafu.

Atalazimishwa kuchukua fomu
 
Mange kimambi anarudi na atakuwa mwenyekiti wao
 
Kipindi corona ipo China marekani kupitia Donard Trump walisema ni fursa kwao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jibu hoja unazijua long term side effects?
Kwanini Serikali imejitoa kuhusika na madhara yoyote yakitokea baada ya kuchanjwa? Ni sawa na mzazi anawaletea watoto chakula,halafu kabla hawajala anawaambia mkipatwa na madhara kwenye chakula hicho Simo ,atakuwa na akili.kweli?
Yule mnafiki wa Kawe amehamia huku? Huyu mtu wanamwachaje anataka kuchezea vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kutia hofu na uchochezi?
J
 
Naona mbowe alikuwa hana dalili ya kuondoka chadema uenyekiti sasa hatimaye dawa yake imepatikana ...
 
Ndugu zangu,

Dalili ya mvua ni mawingu, kuna kila dalili kuwa Mbowe muda wake wa Uenyekiti ndani ya CHADEMA unaisha.

Alianza mwenyewe kusema kuwa ataondoka mwaka 2023 lakini sasa msukumo toka ndani ya wahafidhina umeshika kasi.

Ni wakati muafaka sasa kujua wana - Chadema mbadala watakao weza kushika nafasi ya Uenyekiti na kuendesha siasa zenye manufaa mapana ya Taifa.

Mjadala upo wazi, karibuni.
tutajua akishaondoka, kwa sasa ajenda ni KATIBA MPYA - maana kiini cha matatizo yote tuliyonayo ya kisiasa, kiuchumi na hata kijamii yanatokana na Katiba, tunakwenda kutibu CHANZO.
 
Ndugu zangu,

Dalili ya mvua ni mawingu, kuna kila dalili kuwa Mbowe muda wake wa Uenyekiti ndani ya CHADEMA unaisha.

Alianza mwenyewe kusema kuwa ataondoka mwaka 2023 lakini sasa msukumo toka ndani ya wahafidhina umeshika kasi.

Ni wakati muafaka sasa kujua wana - Chadema mbadala watakao weza kushika nafasi ya Uenyekiti na kuendesha siasa zenye manufaa mapana ya Taifa.

Mjadala upo wazi, karibuni.
Vipi hao mbwa wenu wameshamuwekea ile sumu tayari?
 
Ndugu zangu,

Dalili ya mvua ni mawingu, kuna kila dalili kuwa Mbowe muda wake wa Uenyekiti ndani ya CHADEMA unaisha.

Alianza mwenyewe kusema kuwa ataondoka mwaka 2023 lakini sasa msukumo toka ndani ya wahafidhina umeshika kasi.

Ni wakati muafaka sasa kujua wana - Chadema mbadala watakao weza kushika nafasi ya Uenyekiti na kuendesha siasa zenye manufaa mapana ya Taifa.

Mjadala upo wazi, karibuni.
Wewe dada hebu olewa basi. Utapuyanga mpk lini? Una watoto wawili kila mtu na babake huoni aibu??
 
Heri James atakuwa mwenyekiti mpya wa Chadema
 
Back
Top Bottom