Gwajima hana ufahamu wowote wa chanjo, microbiology, viruses wala mutations za viruses.
Gwajima ni mtalaamu kidini mwenye kipawa cha kufufua wafu.
Wataalamu waliobobea kwenye chanjo, microbiology, viruses na mutations zao ni hawa hapa:
"Akizungumza na Mwananchi, Mtaalamu wa maicobaolojia na virusi kutoka Chuo kikuu cha Muhimbili (Muhas), Dk Joel Manyahi alisema aina hiyo ya kirusi kina tabia ya kujibadilisha mara kwa mara."
Tokea kwenye chapisho lao hili hapa:
Wataalamu wamesema aina mpya ya virusi vya corona ‘double mutant’, ambavyo vimeonekana nchini India ni hatari zaidi kutokana na uwezo wake wa kubadilika mara kwa mara.
www.mwananchi.co.tz
Nitamsikiliza Dr. Manyahi kuhusu masuala ya virusi vikiwamo vya Corona.
Nitamsikiliza Askofu Gwajima hasa kwenye eneo lake la ufundi - kufufua wafu.
Simple logic. Tusilazimishane kumeza hata kama ni utopolo.