#COVID19 Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'Experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'Experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona

Mimi na Bashite tunasubiria SAFARI ya kuhamia lile jimbo la Marekani.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Huwezi kuwa na hoja katika eneo usilokuwa na ujuzi nalo. Kwamba wewe umeona hoja ya "microbaolojia na virusi" tokea kwa Gwajima asiyekuwa na mbele wala nyuma kwenye eneo hili? Wewe una akili au matope?

Haya si ndiyo mambo ya nyungu?

Kwenye masuala hayo, tunawasikiliza hawa:

"Akizungumza na Mwananchi, Mtaalamu wa maicobaolojia na virusi kutoka Chuo kikuu cha Muhimbili (Muhas), Dk Joel Manyahi alisema aina hiyo ya kirusi kina tabia ya kujibadilisha mara kwa mara."

Wenye bahati zao.

Kina Gwajima hata kama wakikaa kimya tu, kwenye masuala haya hawana tofauti na kina msukuma au hata wale very illitrates vijijini ambao hawakwenda shule kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi unaelewa kweli ulichoandika? Kwa hiyo hoja uliyoandika inapingana na mawazo ya Gwajima?
 
Watu mnamsifia Ngwaji mbona kaboronga tu.Wabongo inabidi mjifunze kufuatilia mambo nyie wenyewe 'most of you are too lazy to learn' toeni uvivu wasikilizeni wataalamu walosomea haya mambo ndipo mjue ukweli upi na uongo upi.
- Hakuna chanjo ya covid 19 inayobadili DNA,scientifically impossible.
-Amesema Astrazenical side effects yake ya kwanza ni blood clot & death, upuuzi! Blood clot ni rare sasa yeye sijui kapata wapi maelezo yake.nenda website ys NHS uk ndio wana jukumu la kutoa chanjo jisomee mwenyewe.
Uk zaid ya watu million 42 wamepata chanjo,hii ni karibu ya nusu ya watu wote nchini na bado wanaendelea kutoa chanjo mpaka wote wapate.nchi zote ulimwenguni zimewapa wananchi wake chanjo lakini wabongo mnafikiri mnawindwa nyie.Wakati nyie mnajadiri ubaya wa chanjo wao wanajitayarisha kurudisha maisha kama zamani,msipotumia akili vizuri "corona will be a desease of the poor".
Aah wapi Covid imewapiga zaidi hao wazungu kuliko sisi waafrika, kwa hiyo wasitulazimishe tutumie hizo chanjo zao za majaribio. Ukilinganisha vifo vilivyotokea Afrika kwa sababu ya Covid haviwezi kufikia vifo vinavyosababishwa na Malaria.

Kwa hiyo changamoto yetu kubwa Africa bado ni Malaria siyo Covid. Wangekuwa wanatupenda wangeharakisha upatikanaji wa chanjo ya Malaria.
 
Huyu Gwajima hana sifa ya kuwa mtumishi wa Mungu, ni kigeugeu kila siku.

Sijui ni mwepesi kusahau anayoyasema au anahisi watu tunasahau anayoyasema.

Kipindi Corona inaingia Afrika akiwa madhabahuni akaiapisha na kusema haitaingia Tanzania waumini wake wanashangilia.

Mara inaingia, akageuza kibao kusema anataka akaikomeshe Corona kwa kuruhusiwa kwenda hospital kuwaombea wagonjwa waumini nao wanashangilia.

Sasa anaongea mengine asiyojulikana.
 
Nlisali Kwake akiwa pale ubungo maji nkatafakari sana mahubiri yake hayakuniingia nliona ni walewale wapanga madeal na waumini wao ili wajinga waamini miujiza stakagi kuskia porojo zake.....alishindwa kuzuia kifo cha jiwe atatuambia nn kipya
 
Nlisali Kwake akiwa pale ubungo maji nkatafakari sana mahubiri yake hayakuniingia nliona ni walewale wapanga madeal na waumini wao ili wajinga waamini miujiza stakagi kuskia porojo zake.....alishindwa kuzuia kifo cha jiwe atatuambia nn kipya
Kaendelee kutoa 10%
 
Sasa sijajua kwani lazima kwenda ulaya?

Mbona magu hakuenda na tuliishi kwa amani tu
 

Mnao mcheka Gwajima na degree zenu za Harvad someni link hapo, hii ngoma ina hitaji utulivu. Joe Biden au Uhuru or Mseven wame chanjwa lakini kila siku wamevaa Barakoa, je hawaiamini chanjo?
 
GWAJIMA ajikite kwenye Mambo yaliyondani ya UWEZO wake Sio kujifanya anaijua kila kitu huku akipotosha kisa kajikunja google kasoma publication tuwili au to tatu alafu anafika bungeni na kuanza Mambo yake kwanza ajue pia Sio site utapata information zilizo sawa up to date kila siku kila mwezi kuhusu chanjo hizi
Tupe basi wewe hayo unayosema kwani inahitaji PhD kujua tu side effects za dawa na inavyofanya kazi?
 

Mnao mcheka Gwajima na degree zenu za Harvad someni link hapo, hii ngoma ina hitaji utulivu. Joe Biden au Uhuru or Mseven wame chanjwa lakini kila siku wamevaa Barakoa, je hawaiamini chanjo?
Hawa jamaa ndo walikuwa wanalilia lockdown enzi za JPM alipofunga shule,leo hii wanampotosha mama ili wapate ajenda ya kumwangusha 2025.Maana sasa hawana pa kushika.
 
majuzi kaongea kama docta wa mambo ya chanjo.....ila duh duniani ukiweza kupiga domo na usipokuwa na soni hukosi wafuasi na majitu maboya kukufuata
 
achana na huyo mhuni hajielewi huyo, mbunge wa awamu moja tu...tena ya kimagumashi!.
 
Twaweza waliyaona mapema majinga kama wewe. Kwa nini kama wewe kichwani huwa unaweza kujaza uharo wa mtu udhani na wengine ni hivyo?

Tumwamini Gwajima au msukuma dhidi ya hoja husika tokea kwa wasomi wabobezi wa fani zao?

Hivi mnatuona je wapumbavu nyie!
Mtu katoa hoja, kwanini usijibu kwa hoja?
 
You're very smart upstairs ! That's all i can say ! Wachana na hao wajinga wanatumia BCG ,Rubella Vaccine,Polio Vaccine,TT na ARV huku wakijisahaulisha madhara yaletwayo na Anticancers na hizo Radiopharmaceuticals
Pia kunyeshewa na mvua, haimaanishi ujitose kwenye bwawa la mikojo
 
Gwajiboy kaongea point.
Ushauri wake ufanyiwe kazi
Hatutakiwi kuchukulia issue ya chanjo kama fashion lazima tujiridhishe na hii issue iwe ni hiyari ya mtu, isiwe lazima
Hakuna jipya kwenye hoja ya Gwajiboy!
Ni suala la maamuzi tu; whether in or out at this point of time.. Dunia yote bado haijui matokeo ya baadaye ya chanjo, so its either tuunge tuchanjwe, au tusubiri miaka ya mbeleni huko dunia ikishajua.

Kuhusu kuwa compulsory au hiari..
Kumbuka kuwa lengo kuu la kwanza la chanjo yoyote ni community prevention of infection spread na siyo individual level.. Na ili infection spread control ifikiwe ni lazima >70% ya wana jamii wachanjwe.. Ikiwa ya hiari ni nadra kufikia hii cut off and hence lengo kuu linaweza lisifikiwe!!

Maamuzi yoyote watakayochukua siyo rahisi!
 
Hivi Corona ipo au haipo kwa upande wa Tanzania?

Sasa hivi tunashuhudia chanjo! Wakati mwanzo Tanzania ilisema inafanya tafiti!

Majibu ya hiyo tafiti bado tu? Au kuna mengine nyuma ya pazia!

Na kama tafiti bado, kwanini Tanzania ikimbilie kwenye chanjo.

Kama Corona ipo siitangazwe tujue moja!

Kuliko kuficha ficha huku Watanzania wengi wakiendelea kupukutika.
Tutapataje hela za wafadhili!huoni tumeanza kuvaa barakoa?corona ipo wewe vp?
 
Back
Top Bottom