#COVID19 Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'Experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'Experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona

Huwezi kuwa na hoja katika eneo usilokuwa na ujuzi nalo. Kwamba wewe umeona hoja ya "microbaolojia na virusi" tokea kwa Gwajima asiyekuwa na mbele wala nyuma kwenye eneo hili? Wewe una akili au matope?

Haya si ndiyo mambo ya nyungu?

Kwenye masuala hayo, tunawasikiliza hawa:

"Akizungumza na Mwananchi, Mtaalamu wa maicobaolojia na virusi kutoka Chuo kikuu cha Muhimbili (Muhas), Dk Joel Manyahi alisema aina hiyo ya kirusi kina tabia ya kujibadilisha mara kwa mara."

Wenye bahati zao.

Kina Gwajima hata kama wakikaa kimya tu, kwenye masuala haya hawana tofauti na kina msukuma au hata wale very illitrates vijijini ambao hawakwenda shule kabisa.
Elimu haiko limited kiasi hiko ndugu yaan swala la kwenda kusoma side effects za kitu unahitaji masters ya hiyo Sector????kama ndiyo hivyo basi hata huyo gwajima amequote madaktari maarufu waliotoa mawazo yao kuhusu hizo chanjo

Attack the message not the Messanger
 
Nilisema Jana haya mabarakoa wanayovaa kuna kitu kama si kukopa mkopo wa covid bhasi chanjo huyu mama huyu bhasi tu
Huyu mama kama ni Urais basi umemdondokea tu, lakini hafai kwenye hiyo nafasi, anapelekeshwa kama puppet , why??!!!!udhaifu kama wa Msoga!!!!!
 
Umebaki na akili za kuvukia barabara jitahidi wanao wasione ujinga wako
Hahahah, Hilo jamaa mi nalionaga kama taahira, mtu katoa hoja, yeye anamquote mtaalam alisema nini sijui, sasa sijui inahusiana nini, hahaha 😂😂😂
 
Leo ndio amejua kuna Sayansi baada ya kudanganya watu kwamba anafufua kwa muda mrefu

Angekuwa mwanasayansi wangemjibu Wanasayansi lakini huyo mwanasiasa Mchaga atasema Nini zaidi ya Porojo.


Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
Sasa kwanini tu usijibu hoja zake kama zilivyo, kama alidanganya kufufua ndio na wewe unajibu hoja kwa vihoja?
 
Kwahiyo Serikali ya Tanzania [emoji1241] inafanya maamuzi kwa kufuata mkumbo na kuangalia mataifa mengine yamefanyaje ili kujikinga na COVID-19?

Mkuu, mataifa yote yamefuata mkumbo. Huenda unapaswa kufundishwa kuwa mataifa haya yana umoja unaoitwa United Nations na pamoja na mambo mengine UN wanashugulika na mambo ya afya kupitia World Health Organization - WHO. Ni hao WHO wanaotoa mkumbo! Na nchi yako ni masikini kiasi kuwa haina uwezo wa kwenda kinyume na WHO inayowapa chanjo na ushauri wa kitaalamu kuhusu malaria, surua, dengue, ukimwi, kioindupindu nk!!

Huo mkumbo hatukuanza kufuata leo. Tutaendelea mpaka pale tutakapokuwa na uwezo wa kufanya tafiti zetu wenyewe na kutengeneza madawa na chanjo zetu wenyewe!
 
Soma vizuri wewe lofa,huyo gwajima amesema hicho kirusi hakina tabia ya kujibadiliasha mara kwa mara!?.
Hilo jamaa linajibu vitu ambavyo hata havijaongelewa, anajibu as if Gwajima kasema havijibadilishi, kama taahira yaani 😂😂😂
 
Mkuu, mataifa yote yamefuata mkumbo. Huenda unapaswa kufundishwa kuwa mataifa haya yana umoja unaoitwa United Nations na pamoja na mambo mengine UN wanashugulika na mambo ya afya kupitia World Health Organization - WHO. Ni hao WHO wanaotoa mkumbo! Na nchi yako ni masikini kiasi kuwa haina uwezo wa kwenda kinyume na WHO inayowapa chanjo na ushauri wa kitaalamu kuhusu malaria, surua, dengue, ukimwi, kioindupindu nk!!

Huo mkumbo hatukuanza kufuata leo. Tutaendelea mpaka pale tutakapokuwa na uwezo wa kufanya tafiti zetu wenyewe na kutengeneza madawa na chanjo zetu wenyewe!
It's easier to fool people than to convince them that they have been fooled.
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa na Waziri Dorothy Gwajima.

Amefafanua, "Mimi sipo kinyume na Chanjo za Corona wala Chanjo yoyote. Mtu asininukuu napinga Chanjo, hapana! Tanzania tulishachanjwa Chanjo ya Kifua Kikuu, Surua, Kifaduro na Polio".

Amesema ni kweli Tanzania ikikataa Chanjo inaweza kuwekewa zuio la kwenda Ulaya. Ameeleza, "Tunakabiliwa na uchaguzi mbaya sana, tuchanjwe kitu tusichokijua sawa sawa au tusichanjwe tuzuiwe kwenda Ulaya".

Ameiomba Wizara ya Afya kuangalia suala la Chanjo kwa umakini, akisema waangalie madhara ya sasa, ya siku zijazo na ya Taifa. Ameongeza kuwa, tatizo lililopo ni kufikiri kila kinachotoka Ulaya kinafaa.

Amesema, "Before we venture into what kind of vaccine we should take, tunatakiwa tuwe na wataalamu wetu wa hapa".
Mnakataa maisha baada ya malaika wwnu, I think nendeni kwanza kupallia kaburi lenu, bullshit
 
Huyu bwana askofu wa kanisa la ufufuo na uzima ajue katukosea sana kwa kutofanya juhudi yoyote ya kumfufua mwendazake, hali akidai karama hiyo anayo.

Ana nini bado cha kutuambia sisi kuhusiana na Corona au lolote jingine huyu?
Mh Askofu Gwajima ameelekeza Bunge yale yanayojiri kwenye ulimwengu wa Wataalamu wa Tiba na Uchunguzi wa Virusi. Usiwe mvivu soma bandiko hili
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ametaka kuwepo umakini wa kuchagua Chanjo dhidi ya Ugonjwa wa COVID-19. Amesema hayo akiwa Bungeni Dodoma leo wakati wa Mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa na Waziri Dorothy Gwajima.

Amefafanua, "Mimi sipo kinyume na Chanjo za Corona wala Chanjo yoyote. Mtu asininukuu napinga Chanjo, hapana! Tanzania tulishachanjwa Chanjo ya Kifua Kikuu, Surua, Kifaduro na Polio".

Amesema ni kweli Tanzania ikikataa Chanjo inaweza kuwekewa zuio la kwenda Ulaya. Ameeleza, "Tunakabiliwa na uchaguzi mbaya sana, tuchanjwe kitu tusichokijua sawa sawa au tusichanjwe tuzuiwe kwenda Ulaya".

Ameiomba Wizara ya Afya kuangalia suala la Chanjo kwa umakini, akisema waangalie madhara ya sasa, ya siku zijazo na ya Taifa. Ameongeza kuwa, tatizo lililopo ni kufikiri kila kinachotoka Ulaya kinafaa.

Amesema, "Before we venture into what kind of vaccine we should take, tunatakiwa tuwe na wataalamu wetu wa hapa".
Someni taarifa hii kuhusu COVID-19 na chanjo zake.



cc imhotep
 
Rashid akili zake zimejaa ujinga mtupu kwani hajamsikiliza Mwenyekiti wake ambaye amesema ameunda jopo la kuangalia suala zima la Corona. Malaya wa maisha huyu.
 
Huna akili mbwa wewe..
Hivi huyu mbulula anasoma conspiracy theories anapeleka Bungeni. Hakuna kanuni inayozuia kuongea mambo yasiyo ya kiutafuti bungeni? Hivi hizi akili kumbe huwa ni za Kisukuma maana Hayati nae yalikuwa mawazo yake

Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom