Chipika alikuwa ni chabuwufa la mwendazake chacha aludi Chato akatambikeBOFYA
Gwajiboy! mropokaji! Mbwamwitu anayejifanya mlinzi wa kondoo! Haeleweki mnafiki mkubwa huyuBOFYA
Point[emoji1666]Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.
Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.
Vyombo vya habari vinaripoti matukio yanayotokea, havitengenezi matukio.Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.
Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.