Askofu Gwajima: Spika Ndugai ni boss wangu lakini namshangaa sana, ajiuzulu haraka sana
Vyombo vya habari vinaripoti matukio yanayotokea, havitengenezi matukio.
Pia vinakijita kwenye matukio hot, ukiripoti ukosefu wa maji huko mchambawima wakati huu chombo chako cha habari kitadoda.
Walaji ndo tumevi shape hivi vyombo kuwa hivi!.
Nchi haina dira hii.
 
Mi natamani asijiuzulu ili wapimane ubavu halafu tuone panapovuja,maana wote si walijiwekea makinga ya ajabu ajabu,hii itatusaidia kwenye katiba mpya
Ndugai hana kinga yoyote ndugu ni huruma za mama Samia mwenyewe tu kesho Mwenyekiti Mama akiitisha mkutano wao wa CCM wanamvua uanachama na ubunge kwisha habari ya aitwae spika
 
Kesho atamtukana Samia pia, kifo cha Magufuli (RIP) hakiwafundishi hawa wanaoitwa Viongozi chochote kile, wanarudia mambo yale yale, waliomtukuza Magu alipofariki walimkana na kumtukana haya naye anajiona Mungu mtu leo hii lkn hajui hao akina Gwajima anaowatumia watakuja kumtukana pia kesho akiondoka.

Kwa nini msifanye kazi, tatueni matatizo ya watu inalipa zaidi huko mbele ya safari na watu watawapigania badala ya Majungu, Fitina na Wizi.

Low IQ people!
Inafikirisha !!!
 
Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.

Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.

hakuna anayekumbuka raia wanapambana na fursa tu..ili njaa zao zipome..
 
Hawa nao ni viazi. Kama wanaona amekosea si wamtoe. Mbona wanambembeleza tena eti ajiuzuru
 
Walaji ndo tumevi shape hivi vyombo kuwa hivi!.
Nchi haina dira hii.
Sio walaji, ni sheria kandamizi zilizotia fora wakati wa utawala wa jiwe shujaa wenu. Wakati wa JK vyombo vya habari angalau vilijitahidi kufanya habari ngumu za kiuchunguzi na kumulika matatizo ya wananchi.
 
Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.

Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.
Nakuunga mkono...
Yaan ukifuatilia suala la Job na SSH, basi watanzania ni kama "maiti tu.." mnisamehe
1. Hakuna proposal na aggressive movements za kuondoa hali mbaya sana ya uchumi, kucha kutwa ni matamko ya Ndugai
2. Angalia UVCCM wanawinda uteuzi tu, hakuna jipya, vijana ambao hawawezi kufikiri wenyewe kwa maslahi mapana ya vijana wengi chini wasio na ajira, tumanini la kesho ya Taifa liko wapi?
3. Anguko kubwa la elimu ya kujitegemea, hakuna press conference za namna ya kuinusuru sector ya elimu, afya n.k.
Anae mpenda Rais na Tanzania ndani ya CCM ya sasa ni nani?
Nani aliua juhudi za vijana kuwa tanuru la fikra badala yake wamekuwa mavuvuzela ya wanasiasa?
Poor Tanzania
 
Mi natamani asijiuzulu ili wapimane ubavu halafu tuone panapovuja,maana wote si walijiwekea makinga ya ajabu ajabu,hii itatusaidia kwenye katiba mpya
halafu umenikumbusha makinga yao ya hovyo waliojiwekea hawa wapuuzi
 
Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.

Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.
Sasa kama wewe unapenda kusikiliza hayo mambo ya ajabu na vyombo vya habari vinapata matangazo kutokana na viewers unategemea wataonyesha nini ?

Shida ni sisi wenye njaa kuwaendekeza hao wenye shibe zao (Kila wangekuwa wanatoa pumba zao wanazomewa wasingediriki kutumia airtime kwa nonsense...)
 
Nakuunga mkono...
Yaan ukifuatilia suala la Job na SSH, basi watanzania ni kama "maiti tu.." mnisamehe
1. Hakuna proposal na aggressive movements za kuondoa hali mbaya sana ya uchumi, kucha kutwa ni matamko ya Ndugai
2. Angalia UVCCM wanawinda uteuzi tu, hakuna jipya, vijana ambao hawawezi kufikiri wenyewe kwa maslahi mapana ya vijana wengi chini wasio na ajira, tumanini la kesho ya Taifa liko wapi?
3. Anguko kubwa la elimu ya kujitegemea, hakuna press conference za namna ya kuinusuru sector ya elimu, afya n.k.
Anae mpenda Rais na Tanzania ndani ya CCM ya sasa ni nani?
Nani aliua juhudi za vijana kuwa tanuru la fikra badala yake wamekuwa mavuvuzela ya wanasiasa?
Poor Tanzania
Ndo matatizo ya nchi kukosa dira,imekuwa ni taifa la kuzodoana tupu vyombo vinavyotegemewa ni makelele na mazogo ambayo hayana faida!.

Inafika hatua nashangaa na inachosha kiboya!
 
Gwajima anajitetea kwa kuwa alimtumia Ndugai message ya kumuunga mkono. Hana jipya. 😁
 
Hii Nchi ni Kubwa sana kuongozwq na Rais Mmoja.
Igawanywe.
 
Ila ndugai nae ndio akome alionesha kiburi sana wakati fulani paale bungeni sasa imegeukia kwake. Simuonei huruma hata kidogo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwa nini hajakataa uwepo wa Sukumagang? Na kipi kilimfanya leo amuite Spika Ndugai kiongozi wangu?
Hapa kuna mashaka makubwa! Nikimwangalia kama kaongea maneno ya kulazimishwa kana mwamba alikuwa na ujumbe wake ila alibanwa akabadili uelekeo!
 
Back
Top Bottom