Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,804
Labda kama haujui maana ya uhaini...hakuna kosa la uhaini ktk kumkosoa RaisSoon wahaini wote watatiwa nguvuni, walimchukulia poa Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kama haujui maana ya uhaini...hakuna kosa la uhaini ktk kumkosoa RaisSoon wahaini wote watatiwa nguvuni, walimchukulia poa Samia
Sawa, matatizo hayaondolewi kwa mkutano na vyombo vya habari. Wala Haina maana Spika atajiuzulu kwasababu Gwajima ameongea na vyombo vya habari. Vyombo vya habari vinaishi kwa habari.Acha kutetea viongozi ktk namna hii.
Hivi unajua nyuma yao Wana ajenda gani?! Hao lengo lao ni moja tu,Labda kama haujui maana ya uhaini...hakuna kosa la uhaini ktk kumkosoa Rais
Nacholaumu zaidi ni hao viongozi kutuletea upupu.Sawa, matatizo hayaondolewi kwa mkutano na vyombo vya habari. Wala Haina maana Spika atajiuzulu kwasababu Gwajima ameongea na vyombo vya habari. Vyombo vya habari vinaishi kwa habari.
Hakuna habari ya ajenda,hoja zilitakiwa kujibiwa.Hivi unajua nyuma yao Wana ajenda gani?! Hao lengo lao ni moja tu,
Washastukiwa,soon watatiwa nguvuni wote,
Kaitisha press kukiri kumtumia message Ndugai baada ya kumnanga Samia alafu kamruka na kumtaka ajiuzuruKwa hiyo kwa mliomsikiza Gwajima, sababu haswa ya kuitisha hiyo press conference ilikuwa na agenda zipi?
Chezea yeyote Tanzania sio Amiri Jeshi MkuuHakuna habari ya ajenda,hoja zilitakiwa kujibiwa.
Tusijifiche kwenye uhaini ambao haupo...ni ujinga
Mkuu upo wapi mwenzetu? Gwajiboy, lusinde, uvccm hawa ni wapinzani wa wapi au ni wapinzani wa nini? Binafsi nataka ajiuzuru kwakuwa ameshindwa kusimamia maneno yake, hakupaswa kuomba msamaha. Ajiuzuru ili kuweka dhana ya uwajibikajiWapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je akig'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ag'oke sasa akig'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Ndugu zake wa kijani hawamtaki we unalazimisha nini? Kwani ata akiendelea kuwepo we unafaidika nini?Wapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je akig'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ag'oke sasa akig'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Ogopa Mungu sio mwanadam.Chezea yeyote Tanzania sio Amiri Jeshi Mkuu
Bora atoke huyo mumeo ana roho mbaya sn hafai kuwa kiongoziWapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Kwani ulivyoshangilia Tundu Lissu kufutwa ubunge ulinufaika na nini?Wapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je akig'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ag'oke sasa akig'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Ni mume wake, huyo ni RAS wa DomNdugu zake wa kijani hawamtaki we unalazimisha nini? Kwani ata akiendelea kuwepo we unafaidika nini?
Hata alipokuwa madarakani mbona hakuna faida tuliyokuwa tunaipata!!Wapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
TayariWapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu