Askofu Gwajima: Spika Ndugai ni boss wangu lakini namshangaa sana, ajiuzulu haraka sana
Walikuwa wanatumiana message za kupongezana na Ndugai! Kaona amiri jeshi Mkuu amecharuka kaitisha press kumkana ndugai
Yaani wewe ndo umekuja na jibu "eti huyu ndo Ndugai ninaye mjua! Sasa hapo kuna nini? Hajaonesha kuongea kwa kumharasi Ndugai anamwita Kiongozi wangu! Means kwenye kundi lao!
 
Hivi Ndungai alijua angeweza kuyasema hayo then yakaisha hivi hivi! Au wanatuchezea akili zetu tu.
 
Uchambuzi mdogo tu unaonesha hawa wanaomnanga Job wamepangwa wakapangika - Chalamila, Lusinde, Gwajima. Hawa wote ni stouch followers of late JPM na hao hao ndio wametumiwa kumnanga Job. This is what is called political science. Maneno haya yangesemwa na akina shaka yasingekuwa na impact kama sasa, na ndio maana yale makundi rasmi ya chama yalistopishwa kutoa matamko. Heko think tank ya chama. Hapa mmecheza kama pele.
 
Vyombo vya habari vinaripoti matukio yanayotokea, havitengenezi matukio.
Pia vinakijita kwenye matukio hot, ukiripoti ukosefu wa maji huko mchambawima wakati huu chombo chako cha habari vyombo

Halafu hawa wanatuzarau sana! Wao mifukoni wamejaza fedha kiasi kwamba hawana hofu juu ya kula,kunywa na kulala!.
Wanaita vyombo vya habari tusikilize shibe zao tu.

Lini wataita vyombo vya habari wazungumzie shida zetu na namna ya kuzitatua..?
Vyombo vya habari navyo ndo vinapenda kumulika mambo ya hivi,nchi hovyo sana hii.
Gwajima kafanya anachoona kinafaa kwake. Wewe kama unapenda kuzungumzia matatizo ya wananchi ita vyombo vya habari na ueleze hayo matatizo ya wanachi. Kila mtu afanye yanayo mkera. Unafiki wa Spika ndo kero kwa Gwajima. Wewe kero Yako ni matatizo ya watanzania.
 
Uchambuzi mdogo tu unaonesha hawa wanaomnanga Job wamepangwa wakapangika - Chalamila, Lusinde, Gwajima. Hawa wote ni stouch followers of late JPM na hao hao ndio wametumiwa kumnanga Job. This is what is called political science. Maneno haya yangesemwa na akina shaka yasingekuwa na impact kama sasa, na ndio maana yale makundi rasmi ya chama yalistopishwa kutoa matamko. Heko think tank ya chama. Hapa mmecheza kama pele.
Hawa wote ni sukuma gang wametoka kumkana Ndugai kiongozi wao!

Wameona kesi ya uhaini ipo njiani! Chezea vyote bongo usimchezee Amir Jeshi Mkuu
 
Gwajima kafanya anachoona kinafaa kwake. Wewe kama unapenda kuzungumzia matatizo ya wananchi ita vyombo vya habari na ueleze hayo matatizo ya wanachi. Kila mtu afanye yanayo mkera. Unafiki wa Spika ndo kero kwa Gwajima. Wewe kero Yako ni matatizo ya watanzania.
Acha kutetea viongozi ktk namna hii.
 
Walikuwa wanatumiana message za kupongezana na Ndugai! Kaona amiri jeshi Mkuu amecharuka kaitisha press kumkana ndugai
Nimeshangaa sana - Hapa Gwajima kakiri na kuruka kimanga ... Yaani ameona kuwa akiri mapema ili hata messages zikija wekwa wazi isiwe habari tena.
 
Si walisema 'mkono wa baunsa' 'mzee wa v8' na huyu mgalilaya wanayetaka ajiuzulu ni team Push gang? Mbona wanararuana wenyewe? Kwahyo push gang ni nani na nani?
 
Nimeshangaa sana - Hapa Gwajima kakiri na kuruka kimanga ... Yaani ameona kuwa akiri mapema ili hata messages zikija wekwa wazi isiwe habari tena.
Bongo chezea kila kitu usimchezee Amir Jeshi Mkuu

Kuna watu walikuwa wanachezea sharubu za Simba sasa ndo wataona Simba ana rangi gani
 
Jidanganye Samia hana ubavu huo! Kwenye Sakata hili umewaona wabunge wangapi wamejitokeza tofauti na wenyeviti na UV CCM hapo ndo ujue ngoma ni mbichi!
Soon wahaini wote watatiwa nguvuni, walimchukulia poa Samia
 
Uchambuzi mdogo tu unaonesha hawa wanaomnanga Job wamepangwa wakapangika - Chalamila, Lusinde, Gwajima. Hawa wote ni stouch followers of late JPM na hao hao ndio wametumiwa kumnanga Job. This is what is called political science. Maneno haya yangesemwa na akina shaka yasingekuwa na impact kama sasa, na ndio maana yale makundi rasmi ya chama yalistopishwa kutoa matamko. Heko think tank ya chama. Hapa mmecheza kama pele.
Dr nchimbi
 
Hawa wote ni sukuma gang wametoka kumkana Ndugai kiongozi wao!

Wameona kesi ya uhaini ipo njiani! Chezea vyote bongo usimchezee Amir Jeshi Mkuu
Uhaini tena? yaani Ndugai kukosoa utaratibu wa mikopo iwe uhaini? CCM mtakufa wenge 2022, sala zinaanza leo.
 
Jidanganye Samia hana ubavu huo! Kwenye Sakata hili umewaona wabunge wangapi wamejitokeza tofauti na wenyeviti na UV CCM hapo ndo ujue ngoma ni mbichi!
kwaiyo tayari ukurasa wa wabunge Wengine kujitokeza ushafungwa dada?!
 
Nimeshangaa sana - Hapa Gwajima kakiri na kuruka kimanga ... Yaani ameona kuwa akiri mapema ili hata messages zikija wekwa wazi isiwe habari tena.
Yaani nakuambia wote waliomtumia msg kwa Ndugai wakotraced Gwajima mjanja Kaja kujishafisha! Ili ikitokea kufatiliwa aonekane mwema!
 
Kwa hiyo kwa mliomsikiza Gwajima, sababu haswa ya kuitisha hiyo press conference ilikuwa na agenda zipi?
 
Back
Top Bottom