Askofu Gwajima: Tanzania hatufungamani na upande wowote

Sasa si uweke huo mkataba, leo mi niibuke tu niseme Nchi fulani alipewa babu yangu zawadi hivyo ni yangu, bila ushahidi, kuna mtu atakubali?
Mimi ni Mtanzania.

Israel anao mkataba.
 
Mossad walichukizwa sana na hiki kitendo, na inasemakana kama hiyo clip waliikamata kwa magaidi wenyewe walikuiwa wanaichukua wakati wakiua, na mossad wanasema hao wote mnaowaona hapo wamekuwa eliminated.
Kama waliuliwa safi sana,tunawashukru sana aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…