- Thread starter
- #81
Mimi ni Mtanzania.Sasa si uweke huo mkataba, leo mi niibuke tu niseme Nchi fulani alipewa babu yangu zawadi hivyo ni yangu, bila ushahidi, kuna mtu atakubali?
Israel anao mkataba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni Mtanzania.Sasa si uweke huo mkataba, leo mi niibuke tu niseme Nchi fulani alipewa babu yangu zawadi hivyo ni yangu, bila ushahidi, kuna mtu atakubali?
Wanaenda kufutikaHamas ilianza mwaka 1988 lakini mapambano huko Gaza na Israel yalianza kabla ya 1948
Yale ndiyo maisha yao ya mapambano bila kujali jinaWanaenda kufutika
Israel inawatafuna haswa, sahivi wamekufa zaidi ya elf 30Yale ndiyo maisha yao ya mapambano bila kujali jina
Kama waliuliwa safi sana,tunawashukru sana aisee.Mossad walichukizwa sana na hiki kitendo, na inasemakana kama hiyo clip waliikamata kwa magaidi wenyewe walikuiwa wanaichukua wakati wakiua, na mossad wanasema hao wote mnaowaona hapo wamekuwa eliminated.
Walikuonyesha huo mkataba kabla hawajafanya uvamizi kwenye ardhi ya watu?Mimi ni Mtanzania.
Israel anao mkataba.
Ukirudi nyumbani kwenu ukakuta wageni wamevamia, kuwaondoa Si uvamizi.Walikuonyesha huo mkataba kabla hawajafanya uvamizi kwenye ardhi ya watu?