Askofu Gwajima: Tanzania inashindwa kuendelea mbele kutokana na kutokuwa na muendelezo wa utawala mmoja kwenda mwingine

Askofu Gwajima: Tanzania inashindwa kuendelea mbele kutokana na kutokuwa na muendelezo wa utawala mmoja kwenda mwingine

Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelei kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!


Sababu hatuna NATIONAL POLICY, hakuna Takwa la Kikatiba linalotoa mwongozo kila Rais anaefuata afanye nini. Kama Katiba inasema ushauri anaopewa Rais na wasaidiz wake ana hiari wa kuufuata au kuachana nao, kuna jipya gani linaloweza kutendeka ili kua na mwendelezo? Katiba mpya ingeweza kurekebisha dosari!
 
Hata Mkapa aliwahi kuliongelea hilo, hiyo ni dalili kuwa CCM hawana uwezo wa kuongoza taifa hili. Ila tutafanyaje sasa maana hata hao upinzani ndio hawako serious kabisaaaa.
 
Hata Mkapa aliwahi kuliongelea hilo, hiyo ni dalili kuwa CCM hawana uwezo wa kuongoza taifa hili. Ila tutafanyaje sasa maana hata hao upinzani ndio hawako serious kabisaaaa.
Walishawahi kutawala hata awamu moja ili tujue kuwa upinzani ni tatizo?
 
Kama waziri mkuu anaomba pesa nyingiiii za matumizi alafu kiduchu kwa ajili ya maendeleo unategemea nini hapo? uozo
 
Du Wanapata shida sana na kifo cha mtukufu wanataka vyote alivyotaka mtukufu viendelezwe hata kama havina tija. Yeye mtukufu alivunja vunja vyote vya watangulizi wake na kuanza vyake ambavyo vilikuwa wala havufuati mpango wa taifa wa maendeleo wala CCM wala alichotaka kupeleka nchi nako hakujulikani. Rais wa sasa atafuataje kwenda kulingamiza Taifa la hasha nchi hii ni ya wote.
Mbaya zaidi walisema amefanya makubwa hayo makubwa ni yapi kama siyo maendele?
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelei kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!



Sikweli 'it ia a big NO'
 
Ameongea point sana , leo hi iko wapi
Kilimo kwanza, sijui big results now hatujui zilipo ishia na achievement zake , tuka anza upya tz ya viwanda , madenge , na mengine , nini suluhisho
Cha kwanza ni katiba ibadilishwe Rais awe guided kuhusu mtazamo wa Taifa sio aje tu na mambo yake
Tuna resources nyingi lakini kama Taifa tuna zi overlook, Embu tufanye decentralization kila kanda isimamie resources zake vizuri ayo madini aliyo yataja Gwajima , unakuta hata Waziri wa madini hajui yapo katika mikoa gani lakini
ninacho amini ni kwamba kila eneo katika Taifa hili lina potentials na resources zake ambazo Kama zikisimamiwa vizuri tutaendelea tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushabiki wa kijinga ndio shimo la maendeleo yetu

Tufanye Gwajima hatumpendi, Ila tuchukue alichokisema tukifanyie kazi haraka Sana

Kilichosemwa na Askofu Gwajima, ndilo haswaa hitaji la lazima la nchi yetu, haiwezekani mtu anakuja na dhima ya viwanda mwingine akija aseme, hivi viwanda ni vizuri Kwa kufugia kuku wa mayai tutapata faida Sana, huku ni kuzunguka mlima msijue kama mpo kwenye safari

Naunga mkono hotuba ya Askofu
Binafsi sio mshabiki wake kutokana na namna alivyopata huo ubunge lakini hapo ameongea jambo la maana sana.
Hasa kutokuwa na malengo na vipaumbele vya pamoja vya maendeleo kama taifa.

Ili wagombea wetu wa urais wakati wa kugombea kazi yao iwe ni kutuambia watatumia mbinu na njia zipi katika kuyatimiza hayo malengo na si kilamgombea kuja na ilani na mipango yake binafsi.
 
ameongea kitu cha maana sana, ameongea point sana na ameonyesha uwezo mkubwa kichwani na nia njema kwa tz. ila sijapenda alipomalizia kwa subihana wataala na Yesu sijui nini nini.....najua anaongea kitu ambacho hakitoki moyoni mwake. mimi huwa napenda mtu real, ukiona moyoni mwako ipo dini moja tu, acha usiongelee zote, nyamaza , kuliko kuongea kitu kilicho usoni ila moyoni unang'ong'a.
 
Jamani jamani why not give mama Samiah na sisi a break?Jiwe amekwenda na mambo yake, mwacheni mama aendelee na mipango yeye ndio Rais kwa sasa, tusipangiane tafadhali!
Nyokoo, tusipangiane ndio nn..... Hata CCM tunaitaka hiyo katiba mpya
 
Hata huyo anayemtetea alikiuka muendelezo wa mazuri ya mtangulizi wake tena boss wake kwa miaka kumi alimuamini kumbe amekaa unafiki na usaliti mkubwa.

Pamoja na hayo, ni kweli tunahitaji mifumo endelevu kwenye taasisi ya urais ambayo itasimamia maendeleo sawia ya nchi yetu.

Hii ndio ilipaswa kuwa kazi kuu ya TISS lakini wenzetu wamegeuka idara ya CCM na umbea tupu plus kujipendekeza ili kupewa uDC au RC. TISS ndio wangesimamia hii misingi ili muendelezo uwepo Ila tumepoteza dira ya taasisi nyeti kabisa.
Kweli mkuu tunatubu
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelei kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!



Ameongea vizuri.. kimsingi, maneno yake yanataka
1. Katiba mpya, ili akija raisi asiye mzuri asichafue
2. Kuimarisha mifumo
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelei kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!


Gwaji boy ni hopeless, concerns zake zote zingetimizwa kwa kupitia katiba mpya na HURU, Cha kushangaza wakati wapinzani walipokuwa wakizungumzia kuhusiana na KATIBA wao Ccm hawakutaka hata kusikia habari hizo, kwa kifupi wanadhani Katiba mpya ni kwa faida ya wapinzani
 
Ameongea point sana , leo hi iko wapi
Kilimo kwanza, sijui big results now hatujui zilipo ishia na achievement zake , tuka anza upya tz ya viwanda , madenge , na mengine , nini suluhisho
Cha kwanza ni katiba ibadilishwe Rais awe guided kuhusu mtazamo wa Taifa sio aje tu na mambo yake
Tuna resources nyingi lakini kama Taifa tuna zi overlook, Embu tufanye decentralization kila kanda isimamie resources zake vizuri ayo madini aliyo yataja Gwajima , unakuta hata Waziri wa madini hajui yapo katika mikoa gani lakini
ninacho amini ni kwamba kila eneo katika Taifa hili lina potentials na resources zake ambazo Kama zikisimamiwa vizuri tutaendelea tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri sana
 
Ameongea vizuri.. kimsingi, maneno yake yanataka
1. Katiba mpya, ili akija raisi asiye mzuri asichafue
2. Kuimarisha mifumo
Kati ya michango Bora katika Bunge letu hili, ni huu, na bila Shaka tumechelewa Sana sababu ya kukosa miunganiko kutoka utawala A Hadi B n.k

Tukiweza hili, tutaondokana na mipango na vision ya mtu mmoja anayeitwa Kwa cheyo cha Raisi na badala yake itakuwa, maoni na mawazo ya wengi ndio yanaongoza nchi
 
Back
Top Bottom