Askofu Gwajima: Tanzania inashindwa kuendelea mbele kutokana na kutokuwa na muendelezo wa utawala mmoja kwenda mwingine

Tatizo mmelundikwa huko na jiwe, mnataka anaefuata awe kama jiwe, ukatili na kuonea wengine, acha kila mtu alete maendeleo kivyake!
 
Walimsulubu CAG Asad kwa kauli hii!
 
Tuwe na katiba itakayoruhusu wagombea binafsi wasiofungwa na chama chochote.
Hata Mkapa aliwahi kuliongelea hilo, hiyo ni dalili kuwa CCM hawana uwezo wa kuongoza taifa hili. Ila tutafanyaje sasa maana hata hao upinzani ndio hawako serious kabisaaaa.
 
😆😆😆..the state of politics right now inachekesha..,nimekaa nimejiuliza na kujijibu kua nikisapoti alichokisema nitaitwa MATAGA au muumini wa ufufuo na uzima,nikipinga nitaitwa Bavicha au kibaraka wa mabeberu..Dah!
 
Majibu yote yako kwenye rasimu ya katiba ya Warioba, wasipindishe maneno waongelee katiba mpya.
 
Mbona yeye ameshindwa kuendeleza alipoishia Yesu kumfufua Lazaro akamfufua mwendazake?
Hamna kitu hapo, ujumbe aliodhamiria kuutoa ni kumlazimisha Mama Samia kuendeleza yale ya mtangulizi wake. Kazunguka weeee, lakini spirit ni ile ile ya sukuma gang! Akae kimya, tushawachoka kutulamisha kumpenda hayati kwa lazima. Tusilazimishane.
 
K
 
Gwajima hajasema kitu kipya. Hili limeshasemwa sana sana sana na sana. Ni marudio tu amefanya. Tanzania hakuna kitu ambacho hakisemwa. Tatizo liko kwenye utekelezaji. Huyo huyo Gwajima anayesema hivi ukimwambia aunga mkono katina mpya yenye kuanisha mambo kama haya hatakubali. Anajua bila katiba mbovu na uchaguzi wa mabavu hawezi kushinda.
 
Mkuu una mawazo mazuri sana. Tungekuwa tumechagua kitu kimoja especially kilimo ambacho tuna uwezo nacho tungelisha dunia. Na ukishaendelea kwenye kilimo mengine yatafuata kwani tutakuwa tumeshapata uzoefu wa kusimamia kitu. Haya mambo hayahitaji kelele nyingi bali ni vitendo. Tanzania tungesema kilimo ni mkombozi wetu na nguvu zote tuzielekeze huko tungefika mbali. Tuna kila nyenzo inayohitajika kwenye kilimo. Gwajima karudia jambo lilikwishasemwa kitambo mno.
 
ccm kama vyura wa masika kila chura anaimba kivyake. nape anasema mama aachwe aandike kitabu chake cha awamu ya 6, gwajiboy anataka mama aendelee alipoishia Dr. John Pombe Joseph Magufuli, rest in peace.
 
Gwajima anagundua sasa yale ambayo wenzake walisoma kwenye Dev Study 101. Hata hivyo nashangaa kuwa hajui kuna Vision 2025, kuna mpango wa maendeleo wa miaka mitano mitano, na kwa vile hatujabadili chama tawala, tunaongozwa na ilani za CCM muda wote. Swala la kuvipa viwanda kipaumbele tena si la Magufuli. Magufuli alipenda kuonyesha kuwa ni lake, lakini limejaa tele kwenye ilani ya CCM 2015-2020 na hakuitengeneza yeye bali Msoga na watu wake. Hata bwawa la umeme la Nyerere si lake tena; pamoja na vyanzo vingine vya umeme, bwawa limetanda mule, na Rais wa 6 atalitekeleza tu. Kwa hiyo kuna muendelezo. Tunaweza kupingana na sera zinazoendelezwa, lakini mwendelezo upo. Gwajima arudi asome vizuri.
 
Hivi kwanini mnakaririshwa vibaya hivi unafikiri Gwajima ni iliterate kama wanaokutuma jaribuni kuchukua mawazo yanayojenga sio Gwajima amemshinda Mdee ndo imekuwa nongwa
Rashid ni dumb pastor and well known con man
 
Hapo hapo anasema Nape alidukua hotuba yake!
ccm kama vyura wa masika kila chura anaimba kivyake. nape anasema mama aachwe aandike kitabu chake cha awamu ya 6, gwajiboy anataka mama aendelee alipoishia Dr. John Pombe Joseph Magufuli, rest in peace.
 
Ameongea jambo la maana.

Japo simpendi lakini siwezi kumuattack personal. Nazijudge hoja zake.
 
Chidi bwayi hajaridhika namna raia walivyoteswa na dikteta uchwara, uchaguzi ukifanyika kwa haki watu kama rashidi hawatanusa hata harufu ya bunge...
 
Akwende zake!
Asitupangie!
Church kwake nani anaendeleza!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…