Askofu Gwajima: Tanzania inashindwa kuendelea mbele kutokana na kutokuwa na muendelezo wa utawala mmoja kwenda mwingine

Askofu Gwajima: Tanzania inashindwa kuendelea mbele kutokana na kutokuwa na muendelezo wa utawala mmoja kwenda mwingine

Ameua bila kukusudia kwani nia ilikuwa ni kujitetea na kutetea heshima na utu wake. Hamna kesi hapa vinginevyo hakimu au jaji awe mbakaji kama marehemu na wazazi wa pande zote mbili. Kuna somo kubwa hapa kwa wenye akili. RIP kijana wetu umeuawa na tamaa ya wazazi na ujinga na mila potofu. Legal and Human Rights Center hapa ndipo mahali pa kuonyeshea ugwiji katika kutetea haki za binadamu. Ningekuwa karibu ningemtetea binti huyu pro bono na kuhakikisha haki inatendeka pari-passu,
 
Lakini umeelewa alichoongea mkuu

Kaongea point hakuna haja ya kupinga kila kitu
Siipendi ccm Ila jamaa kaongea point kubwa Sana

I have learned to look things in a bigger perspective ways
Mkuu mimi mkazi wa Kawe nataka arudi jimboni huku. Tumechoka na usanii wake bana.

Huyu ni mmoja wa waliokuwa wanampigia sana debe Magufuli aongoze milele ilihali anajua kabisa Mungu ndiye mwamuzi wa yote.
Ni kigeugeu mno, ana kauli zake nyingi zinaji contradict sana - siwezi kukiamini chochote anachokisema leo, kesho wala keshokutwa!
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelea kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'.

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!



That's true!
 
Haya yaliyo tufikisha ni udhaifu wa katiba yetu sisi wenyewe ya 1977, wa TZ Wenzangu mkae mkijua kupititia katiba ambayo ndio muongozo wetu wanamna gani tunataka kuongozwa ili hayo yasijirudie turudi kwenye rasimu ya katiba ya Mzee Warioba ambayo wananchi walishirikiswa otherwise tukaendelea kuimba ngonjera hizo hizo hadi kiama
Mimi sikatai mawazo yako ya katiba lakini na maswali makuu mawili ya msingi. Katiba hii tuliyonayo ambayo tunasema ina madhaifu na mimi nakubali ina madhaifu wengi hatuijui tunajuwa baadhi ya vifungu tu lakini hata hii katiba inavunjwa kila leo na hakuna mtu anawajibika mfano mdogo tu leo kuna wabunge wako ndani hawana vyama. sasa swali hii inavunjwa na haifwati ila kwa vipengele wanavyopenda wakuu sasa katiba mpya ndio itafwata? Hakuna hata chombo cha kimahakama ikasema hapo full stop katiba unavunja. yule CAG alifukuzwa kinyume cha katiba, Uhuru wa kupata habari unavunjwa.... na mengi tu sasa kwa hili inakuwa vigumu kuamini katiba ndio solution wakati hakuna wakuilinda na kuiheshimu. Unajuwa mfano USA wale majudge wa supreme court akishapitishwa hakuna wakuweza kumtengua pale mpaka siku kafa labda inampa nguvu ya kusimamia haki na katiba wenzetu hakuna mtu mwenye uwezo wa kuvunja katiba hapa kwende speaker wa bunge tu ndio lakutunga sheria anavunja tena wa kujigamba na hafanywi kitu. Katiba mpya ije kwanza tukiwa na mfumo wa kuilinda hata hii tuliyonayo.
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelea kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'.

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!



Wote ni wa Ccm na hawaelewani.
Kwan ccm hamna mwongozo wenu?
 
Gwajima asizunguke sana, hayo anayoyasema yameainishwa kwenye katiba mpya ya Warioba. Kama anataka Taifa liwe na hayo maono alikumbushe bunge lilejee Rasimu ya pili ya jaji Warioba. Mule ndani ya Rasimu kuna moyo wa nchi na maono yote anayosema yote yako mle.



Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu mimi mkazi wa Kawe nataka arudi jimboni huku. Tumechoka na usanii wake bana.

Huyu ni mmoja wa waliokuwa wanampigia sana debe Magufuli aongoze milele ilihali anajua kabisa Mungu ndiye mwamuzi wa yote.
Ni kigeugeu mno, ana kauli zake nyingi zinaji contradict sana - siwezi kukiamini chochote anachokisema leo, kesho wala keshokutwa!
Hahahah
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelea kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'.

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!



Shekh Rashid huyo. Si mchezo
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelea kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'.

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!



Gwajima tunasubiri u edit yale mahubiri uliokuwa unambeza Hayati Maalim Seifu utoe jina lake uweke la meko ili tuende sawa.
 
Nimesikiliza, jamaa kaongea point kubwa tangu Bunge lianze, kila Rais anakuja na mishe zake, anaharibu mfumo uliopo anaanza upya, mfano jiwe kaja kafumua fumua kila kitu , mfumo wa Elimu kafumua , mfumo wa biashara kaufmua ,mfumo wa utumishi kaharibu haribu huko na kabla hata hajaseti mambo akafa ....yaan mnarudi nyuma maili buku.

Kwa kweli tunatakiwa tuwe na maono ya kimkakati aisee, kuwe na long run plan na short run plan, wakat wa uchaguz kila chama mbali na agenda zao lazima waonyeshe jinsi watakavyokamilisha agenda za kimkakati , na hapa ndo umhimu wa katiba mpya!

Hatuwezi kuendelea Kwa kutegemea mawazo ya mtu mmoja kuwaza anayotaka yeye yawe..... Anaharibu lililopo na hata kuvunja katiba ili atimize anayotaka yeye , aaah.

Mfano mradi wa Bandari wa Bagamoyo Kwa namna yyte Ile ni wa muhimu, Bandari ya DSM tayari ipo congested na overwhelmed na pia inaelekea kuwa beyond rehabilitation. Ni heri tujadili kwamba tutafte wapi hela ya kujenga tuachane na wahisani wenye masharti magumu , na sio kuupiga chini moja Kwa moja!
Nakupinga kwa hili. Sisi tukosahihi kwa sera zetu hatuwezi kukalia kitu kimoja tuuu miaka yote!

Mkapa kauza viwanda ni vilishindwa kujiendesha dhidi ya kutegemea ruzuku serikalini na alitangaza wazi kuwa anauza kwa mtanzania Yeyote kwanaza anaeweza kumudu tutampa kipaumbele.

Na walioshindwa kuvimudu ni baba na mama zenu!!

Mfano Brewaries bia za mgawo miaka ile tabu tupu! Walishindwa.
Sigara mwendo wa kuruka.walishindwa vibaya kuviendesha.

Angalia kumpa kaburu tu bia zipo mpaka kijijini za kumwaga mpaka dakika hii.

Viwanda vya sukari mama weee!! Utalia .....

Na mkapa alitamka wazi kuwa anauza japo inauma. Tuchague mkuki wa kutu choma!!

Leo mnalalama tena!!! hata hamueleweki mnataka nini km mitoto yatima!!
Kamwe Africa Hamutaweza kujiendesha mpaka Yesu anarudi.

Hauta kalia sera moja hiyohiyo tuuu!! Km unaona Rais idara ya kazi ameharibu ameboresha kwingine!

Sera za nchi ni endelevu siyo kudumaa!! Wewe acha mazoea utaelewa!!

Kwa hesabu za hrka sidhani hata malengo yetu km nchi unayajua!!!
 
Gwajima anagundua sasa yale ambayo wenzake walisoma kwenye Dev Study 101. Hata hivyo nashangaa kuwa hajui kuna Vision 2025, kuna mpango wa maendeleo wa miaka mitano mitano, na kwa vile hatujabadili chama tawala, tunaongozwa na ilani za CCM muda wote. Swala la kuvipa viwanda kipaumbele tena si la Magufuli. Magufuli alipenda kuonyesha kuwa ni lake, lakini limejaa tele kwenye ilani ya CCM 2015-2020 na hakuitengeneza yeye bali Msoga na watu wake. Hata bwawa la umeme la Nyerere si lake tena; pamoja na vyanzo vingine vya umeme, bwawa limetanda mule, na Rais wa 6 atalitekeleza tu. Kwa hiyo kuna muendelezo. Tunaweza kupingana na sera zinazoendelezwa, lakini mwendelezo upo. Gwajima arudi asome vizuri.
Siyo kweli hakuna muendelezo mkuu, tuwe fair kwa nchi ili tusonge mbele
 
9we

Well said my friend!!!

Gwajima Josephat kaongea vyema kabisaaa, lakini given kwamba hoja yake ina lengo fulani lililojificha chini ya carpet kwa muda/kipindi hiki hiyo hoja yake hebu ikae pembeni tumuache Mh. Rais Samia Suluhu Hassan afanye yale anayoyaona yeye yanafaa kulifanyia Taifa kama walivyofanya watangulizi wake. Namuomba sana Gwajima aache kum-pre empty Rais wetu Samia.

Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi kipindi kileee alivyokwenda kumpongeza Hayati JPM kwa kazi nzuri anayoifanya alisema tumpe support JPM kwa yale anayoyafanya kwasababu kila zama na kitabu chake. Kwahiyo tumuache nae Rais Samia aandike kitabu chake kama walivyofanya watangulizi wake, tusimuingilie tafadhalini sana!!!

Halafu naomba nimkumbushe Gwajima Josephat kwamba kuwa na moja kitaifa ni wazo zuri lakini inategemeana na nyakati na majira pia. Kwa mfano, Kabla ya Mwl. Nyerere kugatuka mamlakani tulikuwa na mfumo wa chama kimoja lakini hali ikaja kubadilika na kuingia kwenye vyama vingi kutokana na nyakati.

Pia wakati wa Mwl. Nyerere tulikuwa na Public Enterprises lakini hiyo sera ikaja kubadilika kutokana na nyakati, tulikuwa na sera ya vijiji vya ujamaa lakkni ikaja kubadilika kutokana na nyakati.

Mwisho, hebu tumwache mama yetu Samia Suluhu Hassana tuone anatupeleka wapi kama tulivyowaacha watangulizi wake ukizingatia kuwa yeye amesema kipindi chake hiki ni awamu ya SITA.

Asante!
Unataka hiyo hoja ifanyiwe kazi baada ya awamu ya sita siyo??? Wacha tuendelee kupiga spana za upatikanaji wa katiba mpya kabla ya 2025, ili yaje yafanyiwe kazi aliyosema Gwajima
 
Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelei kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'.

Pia ameeleza kuwa Tanzania inashindwa kuendelea mbele kwa kasi kwasababu hakuna muendelezo wa Regime moja kwenda nyingine ambapo kila Rais anaingia madarakani na mipango yake hivyo huathiri maendeleo ya ukuaji wa mipango iliyoanzishwa.

Gwajima amemtolea mfano Nyerere alietawala miaka 20 na kuacha viwanda 411, alipokuja Mwinyi aliboresha baadhi ya mambo lakini hakuendelea na wazo la viwanda na alipoingia Mkapa akauza vyote kwa kuvibinafsisha hivyo kukosa muunganiko kati ya 'regime' ya kwanza na regime ya tatu.

Gwajima amesema watakesha kama hamna huo muunganiko kwani hata Rais wa awamu ya nne hakushughulika na viwanda, bali mambo mengine lakini awamu ya tano akaamua kushughulika na viwanda, vilevile ambavyo awamu ya tatu ilivibinafsisha na kuviuza.

Gwajima amesema ni hatari kwasababu katiba inampa nafasi kila Rais anayeingia madarakani kwa namna yake, hekima yake na kwa namna anavyotafasiri yeye maendeleo.

Amesema siku moja atakapopatikana Rais ambaye hayuko sawasawa watu wataishia kulia na kutoa ombi la kuwa na vision ya kuwa na miaka 50 ya Taifa na anapoingia Rais lazima ilani ya chama chake izungumze mambo ambayo Taifa imejiwekea kama maono.

Gwajima amehoji endapo akatokea Rais ambae anafanya mambo yake yasiyo kwenye ilani kama kuna mtu wa kumuuliza mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na Amiri Jeshi mkuu!



Hivi kuna umuhimu wowote wa kusikiliza wanafiki kama Gwajima? Kwa lipi hasa? Peleka huko mfuasi wa Sukuma gang.
 
Back
Top Bottom