Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Kifupi Eliya unajua kilichomkuta mpaka aliamua kuacha kazi ya unabii kwa jinsi alivyowindwa na mke wa mfalme jezeebel kuuawa,Akasema Mungu basi sitaki JEZEEBELI ANAWINDA KUNIUA SITAKI TENA HII KAZI

Yohana mbatizaji sawa alimkemea herode lakini kwa gharama ya kichwa chake alikatwa shingo!!!!!

Kifupi kiongozi wa dini toka zamani ruksa kuchanganya dini na siasa NA KUKEMEA viongozi wa kisiasa lakini kwa gharama ya kichwa chake

Kiongozi wa dini kuacha madhabahu na kwenda kukemea wanasiasa walioko madarakani ni ya kwake ili mradi awe tayari kichwa chake kukiweka machinjioni

Tumeona hadi uganda tu hapo ASKOFU WA ANGLICAN Janan LUWUM aliacha madhabahu akaenda kukemea mwanasiasa IDD AMIN hakuchukua round akauawa

Ushauri wangu dini na siasa ni vizuri viwe mbali kila mtu ahangaikie eneo lake lakini sikuzuii ili mradi uwe tayari kwa lolote kama wewe ni kiongozi wa dini
Degree and amount of Satanism in this post is very high
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Umesoma hivyo vitabu upsidedown. Ulivisoma lini? Binadamu ni political animal. Kama una guts bisha!
 
Mfalme Hezekiah aliambiwa nini na Mungu naye akafanya maombi kuomba Mungu abatilishe alichomwambia?
Mfalme Hezekia alikuwa muumini wa Nabii Isaya anasali kanisani kwake ndipo nabii Isaya akaongea naye binafsi kama muumini wake wala hakuongea naye kwa kuhutubia mkutano wa hadhara tofauti na hawa viongozi wa dini uchwara wa sasa hivi.Mtu sio muumini wako hasali kanisani kwako unaposalisha unamshikia mi vipaza sauti kwenye mkutano wa hadhara au mitandaoni ohh atubu !!!!

Kuonya mtu hasa mtawala kuna taratibu zake ukizikiuka hata Mungu hawezi kukutetea likitokea la kutokea
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Wewe umewahi jiuliza alieleta hii elimu Dunia alikuwa mzungu ambae alianzisha kanisa (dini),shule na humu akatoa viongoz,na viongoz hawa walimu wa shule walikuwa mapdri ama wachungaji refer missionary school!wewe leo umeshindwa kurreview history aliokufundisha mwalimu...wako..?(dini,elimu,politics)havitengamani ila kwasabb ya ubinafs wetu kulinda matumbo yetu tunavitenganisha!!!
 
Nimegundua watu wengi humu hawakuisikiliza video clip ya huyo askofu .
Watu wamesoma tu kichwa cha habari na kuanza kutoa maoni.

Askofu amelaumu Jeshi la Polisi kwa kushindwa kuchukua hatua stahiki kwa Watuhumiwa wake ambao anawajua.
Na ametaja kabisa kuwa ni kampuni ambayo aliwahi kukaa na baadhi yao kwenye kikao.
Hakusema kuwa ni watu wasiojulikana.
Hakumlaumu kiongozi yeyote wa serikali.

Askofu ameomba kukutana na Mh. Rais ili amweleze ukweli wote kwa sababu anamwamini sana Rais.
Askofu amesema ana siri nzito na mtu pekee wa kumweleza ni Mh.Rais kwani anamwamini sana.

Kwa hiyo kuhusisha utekwaji wake na suala la utawala wa awamu ya tano ni kupotosha. Lakini pia kuhusisha kutekwa na kuwekewa sumu kwa askofu na suala la kuchanganya dini na siasa pia ni kupotosha.

Tumwache askofu aonane na Mh. Rais ili apate haki yake.
Kama kuna polisi wanaoshirikiana na mabeberu kudhulumu haki ya huyo askari basi hatua zitachukuliwa.

Maeneo hayo ya miji ya Moshi na Arusha yamekithiri kwa vitendo vya kikatili vinavyofanywa na Mabeberu hasa kwenye masuala ya kibiashara na ardhi na Mali.

Bado serikali ina kazi kubwa ya kulinda watu na Mali na biashara zao kwa kuleta ushindani wa haki kwenye biashara mana Mabeberu wa mikoa ya Mwanza ,Arusha,Moshi, Musoma bado wanatumia mitutu kuondoa washindani wao wa kibiashara.
 
Hakuwa muumini wake. Na pia elewa kiongozi anapoongoza anaongoza waumini wa Dini mbalimbali. Huwezi sema kwa kuwa Yeye ni Mkristo basi anapokosea na kuumiza hata Waislamu haikuhusu. Au kwa kuwa yeye ni Muislam basi anapoumiza Raia hata Wakristo haikuhusu. Itakuwa hufahamu Dini.

Wanasiasa wanaongoza wananchi ambao ni waumini wa dini na madhehebu mbalimbali.mbona wanapotaka kuombewa hawasemi Dini/Dhehebu flani tu ndo mniombee?

Wanapoomba Kura hawaombi kwa watu wao peke yao? Viongozi wa Dini ni viongozi wa watu wote na Viongozi wa Siasa ni Viongozi wa watu wote pia.




Mfalme Hezekia alikuwa muumini wa Nabii Isaya anasali kanisani kwake ndipo nabii Isaya akaongea naye binafsi kama muumini wake wala hakuongea naye kwa kuhutubia mkutano wa hadhara tofauti na hawa viongozi wa dini uchwara wa sasa hivi.Mtu sio muumini wako hasali kanisani kwako unaposalisha unamshikia mi vipaza sauti kwenye mkutano wa hadhara au mitandaoni ohh atubu !!!!

Kuonya mtu hasa mtawala kuna taratibu zake ukizikiuka hata Mungu hawezi kukutetea likitokea la kutokea
 
Pole sana Askofu kwa madhila yaliyokupata ila umeniuzi kwa kuficha siri iliyogubikwa mkasa wako kwa kisingizio cha kutunza siri ya kuongea na lais

We funguka kila kitu hapa wadau waelewe pia utasaidiwa
 
Siasa yenyewe imeanzia kwenye dini
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
So sababu amewachanganya hayo mambo mawili hiyo ndo adhabu yake?
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Karudie tena kusoma dada,maisha ya mwanadamu tangu enzi za kabla ya Yesu,yamejaa siasa!

Siasa ni injini ya kuendesha maisha ya mwanadamu,akina Desmond Tutu,Martin Luther na wengine wengi walikuwa Viongozi wa dini waliosimama thabiti kusema kweli,na kukemea vikali wanasiasa waovu...

Kumshauri mtu yeyote kuachana na siasa,(sio tu kiongozi wa dini) ni sawa na kumwambia mtu aishi akiwa mfu...
 
Basi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?

Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?

Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.

Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?

Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
Umenena kwa usahihi kabisa,kunywa Pepsi kubwa nitakuja kukulipia hapo
 
Watakuwa vijana wa chattle hao.
hawataje sasa, watu wanaofumba mambo huwa wanatuachia migogoro zaidi kama anawafahamu awataje hadharani na sisi tujue kuwa ni nani hatari. Unakumbuka ule wimbo wa masudi amekuwa jambazi ukikutana nae mpitie mbali ulikuwa unatupa angalizo na tahadhali ya watu wabaya, askofu tuambie tuwapitie mbali
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Politics ni nini? na Mungu ni nini?

Mamdenyi huwezi kutenganisha siasa na dini, never!

Siasa ina impact kubwa sana katika maisha ya waumini! Siasa chafu zinahatarisha hata mambo ya kidini na ukuaji wa kiroho wa waumini.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Hapa umekanyaga siafu....utauona muziki wake😅
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
wanasiasa wenyewe wanafanyia siasa madhabahuni, by the way askofu kafanya siasa gani mpaka kustahili hayo yote?
 
Back
Top Bottom