Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Tukio la Askofu Pius Ikongo kutekwa na watu wenye silaha aina ya bastola wakiwa na magari mawili na kufunikwa na kitambaa chenye sumu na kupata madhara makubwa mwilini linasikitisha sana.

Kinachoumiza ni kutokamatwa wala kuhojiwa kwa watesi wake licha ya kuwatambua na kuwataja kwa majina katika maelezo yake polisi.

Kwa maelezo yake, ametumia zaidi ya milioni 170 kujitibu Afrika Kusini, Kenya, Muhimbili na KCMC kwa mwaka mmoja na nusu.

Take note: Askofu huyu ameoa kwenye familia ya Nyerere.

Msikilize hapa:




View attachment 1484754

Huyu unayetaka kwenda kumueleza hiyo siri yako ndo boss wa hao watu,Sasa utapata msaada au la akili mkichwa chako
 
@Mamdenyi uko sahihi kabisa. Huwa nawashangaa wanaokimbilia Agano la Kale kuhalalisha kanisa kujihusisha na siasa za dunia. Wanachukua mfumo wa taifa la Israeli ya kale wanajaribu kuuoanisha na serikali za sasa.

Yesu Kristo hakuwahi kuwa na ugonvi na "serikali" badala yake maadui zake namba moja walikuwa watu wa "dini." Pilato alijaribu kumfungua awe huru, watu wa dini walisema nini?

Sio sawa kuhubiri siasa badala ya habari za ufalme wa Mungu. Yohana Mbatizaji hakufungwa kwa sababu za kisiasa bali baki za binadamu. Sababu za haki za binadamu kwa kumkemea Herode kupora mke wa ndugu yake, hilo nalo ni siasa? Tafakari
Acha kupotosha ww..
 
Kifupi Eliya unajua kilichomkuta mpaka aliamua kuacha kazi ya unabii kwa jinsi alivyowindwa na mke wa mfalme jezeebel kuuawa,Akasema Mungu basi sitaki JEZEEBELI ANAWINDA KUNIUA SITAKI TENA HII KAZI

Yohana mbatizaji sawa alimkemea herode lakini kwa gharama ya kichwa chake alikatwa shingo!!!!!

Kifupi kiongozi wa dini toka zamani ruksa kuchanganya dini na siasa NA KUKEMEA viongozi wa kisiasa lakini kwa gharama ya kichwa chake

Kiongozi wa dini kuacha madhabahu na kwenda kukemea wanasiasa walioko madarakani ni ya kwake ili mradi awe tayari kichwa chake kukiweka machinjioni

Tumeona hadi uganda tu hapo ASKOFU WA ANGLICAN Janan LUWUM aliacha madhabahu akaenda kukemea mwanasiasa IDD AMIN hakuchukua round akauawa

Ushauri wangu dini na siasa ni vizuri viwe mbali kila mtu ahangaikie eneo lake lakini sikuzuii ili mradi uwe tayari kwa lolote kama wewe ni kiongozi wa dini
Na vipi aliemuua huyo Askofu leo yuko wapi
 
Askofu hata kama alikua anakula mke wa mtu atasingizia siasa tu
Kuna kiongozi kalewa chakari kavinja mguu,wapambe wakasingizia siasa,polisi wametoa taarifa ya uchunguzi wa awali,mpaka leo hatujawasikia tena wapambe wala aliejeruhiwa
Tusipende kusema uongo,tunamuudhi sana Mungu
Acha upimbi ww
 
@Mamdenyi uko sahihi kabisa. Huwa nawashangaa wanaokimbilia Agano la Kale kuhalalisha kanisa kujihusisha na siasa za dunia. Wanachukua mfumo wa taifa la Israeli ya kale wanajaribu kuuoanisha na serikali za sasa.

Yesu Kristo hakuwahi kuwa na ugonvi na "serikali" badala yake maadui zake namba moja walikuwa watu wa "dini." Pilato alijaribu kumfungua awe huru, watu wa dini walisema nini?

Sio sawa kuhubiri siasa badala ya habari za ufalme wa Mungu. Yohana Mbatizaji hakufungwa kwa sababu za kisiasa bali baki za binadamu. Sababu za haki za binadamu kwa kumkemea Herode kupora mke wa ndugu yake, hilo nalo ni siasa? Tafakari
Ni kweli mkuu haki za binadamu zinalindwa na dini,Mungu atusaidie
 
Kifupi Eliya unajua kilichomkuta mpaka aliamua kuacha kazi ya unabii kwa jinsi alivyowindwa na mke wa mfalme jezeebel kuuawa,Akasema Mungu basi sitaki JEZEEBELI ANAWINDA KUNIUA SITAKI TENA HII KAZI

Yohana mbatizaji sawa alimkemea herode lakini kwa gharama ya kichwa chake alikatwa shingo!!!!!

Kifupi kiongozi wa dini toka zamani ruksa kuchanganya dini na siasa NA KUKEMEA viongozi wa kisiasa lakini kwa gharama ya kichwa chake

Kiongozi wa dini kuacha madhabahu na kwenda kukemea wanasiasa walioko madarakani ni ya kwake ili mradi awe tayari kichwa chake kukiweka machinjioni

Tumeona hadi uganda tu hapo ASKOFU WA ANGLICAN Janan LUWUM aliacha madhabahu akaenda kukemea mwanasiasa IDD AMIN hakuchukua round akauawa

Ushauri wangu dini na siasa ni vizuri viwe mbali kila mtu ahangaikie eneo lake lakini sikuzuii ili mradi uwe tayari kwa lolote kama wewe ni kiongozi wa dini
Unakataa nn na unakubali nn??
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Mfalme Daudi alikuwa mtumishi wa Mungu na Mfalme wa Israel (utumishi wa kisiasa); Na hivyo kwa Suleiman na hata akina Eliya waliokuwa manabii per se waliingilia na kukemea maamuz ya viongoz wa kisiasa hadi kufkia hatua ya kuwindwa kuuawa.., Soma vizuri Biblia utaelewa ndgu..!
 
Mene mene tekeri na peresi ni Ujumbe uliotolewa na Mungu kwa Askofu au nani? Daniel ni kwanini alitupwa kwenye Tundu la Simba?

Nijibu swali hili: Daniel alifungwa kwa kumkosoa mfalme kuhusu mambo ya kisiasa? Weka sababu yake kuwekwa jela na hata kwenye tundu la simba. Usiwe muumini wa kulishwa maneno wakati maandiko yako mbele yako. Nasubiri.

Eliya alijuwa anapambana na Akina nani? Mpaka kufikia hatua kutafutwa na majeshi? Akina Paulo na Sira nini kiliwafanya watupwe Gerezani?

Onyesha kwamba Eliya alikuwa mjumbe wa kisiasa wa mfalme Ahab. Pia jiulize kulikuwa na imani ngapi katika Israeli nyakati za Agano la Kale. Je, kulikuwa na wanahai, waislamu, wahindu n.k? Au labda Eliya alitafutwa kwa sababu za kisiasa?

Kwani Paulo na Sila waliwalifungwa kwa sababu zipi hasa? Mifano yako yote ni mfu. Washtaki wao walikuwa ni mafarisayo, watu wa dini. Sasa tueleze hapa, siasa waliyokemea iko wapi kwenye maandiko. Nasisitiza usitaje majina Tu, fafanua visa halisi.

Kwa nini mnataka kumwacha Shetani awawekee wigo ili aendelee kuwakandamiza? Mfalme Hezekiah aliambiwa nini na Mungu naye akafanya maombi kuomba Mungu abatilishe alichomwambia?[

Tofautisha nyakati. Wakati wa Hezekiah taifa la Israeli kulikuwa likimtumikia Mungu mmoja Tu. Naye alikuwa mfalme wao kama taifa. Taifa lilikuwa la KIFALME wala sio la kidemokrasia kama mlivyo sasa. Mfalme alipaswa kuchukua maongozi moja kwa moja toka kwa Mungu, lakini leo hata asiye amini Mwenyezi Mungu aweza kuwa rais. Ndio maana kuna nanna nyingi ya kuapa, sio lazima kutumia biblia. Kumbe leo hii tuna mfumo tofauti kabisa.

Mtakuwa vipofu mpaka lini? Je ufahamu wenu utashikiliwa na shetani haya Mauti? Naaama mauti ya mwili na upotofu wa roho. Je mmemkabidhi shetani aendeshe maisha yenu na shughuli zenu mkitegemea kuneemeka kiroho na kimwili?

Wewe ndiye kipofu wa kiroho, hujui hata kama Kristo alisema utawala wake si wa dunia hii. Sasa walio wake wanaijua sauti yake. Wasio wake wanakwenda tu wakijihesabu ni wa dunia hii, wasijue kwamba ufalme wake si wa dunia hii. Ni vipofu wasiojua kusudi la kuitea kwao, hivyo kusombwa naupepo wa dunia.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Waliomsulubu Yesu msalabani walikuwa hao hao wanasiasa, sasa unatofautisha vipi hayo mambo ?
 
Tukio la Askofu Pius Ikongo kutekwa na watu wenye silaha aina ya bastola wakiwa na magari mawili na kufunikwa na kitambaa chenye sumu na kupata madhara makubwa mwilini linasikitisha sana.

Kinachoumiza ni kutokamatwa wala kuhojiwa kwa watesi wake licha ya kuwatambua na kuwataja kwa majina katika maelezo yake polisi.

Kwa maelezo yake, ametumia zaidi ya milioni 170 kujitibu Afrika Kusini, Kenya, Muhimbili na KCMC kwa mwaka mmoja na nusu.

Take note: Askofu huyu ameoa kwenye familia ya Nyerere.

Msikilize hapa:




View attachment 1484754

Mkuu mleta habari kwani unakimbizwa?huyu ni askofu wa kanisa gani? na jimbo lake lipo wapi au ndio maaskofu wa sampuli ya akina Kakobe?hawa maaskofu wa kujipachika wenyewe wana mambo mengi,moja wapo likiwa kufanya ufuska na waumini na wake za watu.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Na hawa mitume na manabii ambazo kila siku wapo kwenye majukwaa ya CCM! Mbona ulimkubali mama Lwakatare? Wewe no mnafiki.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Dini/Mungu ni siasa na siasa ni dini/mungu. Huwezi tenganisha uongozi wa siasa na dini hasa kwa nchi kama Tanzania yenye viongozi aina ya hawa waliopo

Kwame Nkurumah anasema "Tafuteni kwanza ufalme wa siasa na mengine mtayapata baadae"

Kusema dini siyo siasa ni mbinu ya ccm kulinda maslahi yao. Kila siku Magufuli wanakula na kunywa na viongozi wa dini lakini hao hao viongozi wa dini wakiunga mkono upinzani anasema wanaingilia siasa na kutaka kuwanyamazisha.

Wacha watu wawe huru. Kama wao ccm wanavyopenda dini iwatumikie kwa maslahi yao na wapinzani wao wanapenda hivyo hivyo
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Dear ,miss you
 
Hao ni wapumbafu pia wachumia tumbo toka uvccm
Basi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?

Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?

Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.

Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?

Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
 
Umenisikitisha sana. Mpaka machozi yamenitoka kuona Dunia ya leo bado tuna watu wa aina yako. Inawezekana wakati wa sodoma na gomora au lutu walikuwa watu wema kuliko wewe.

Nijibu swali hili: Daniel alifungwa kwa kumkosoa mfalme kuhusu mambo ya kisiasa? Weka sababu yake kuwekwa jela na hata kwenye tundu la simba. Usiwe muumini wa kulishwa maneno wakati maandiko yako mbele yako. Nasubiri.



Onyesha kwamba Eliya alikuwa mjumbe wa kisiasa wa mfalme Ahab. Pia jiulize kulikuwa na imani ngapi katika Israeli nyakati za Agano la Kale. Je, kulikuwa na wanahai, waislamu, wahindu n.k? Au labda Eliya alitafutwa kwa sababu za kisiasa?

Kwani Paulo na Sila waliwalifungwa kwa sababu zipi hasa? Mifano yako yote ni mfu. Washtaki wao walikuwa ni mafarisayo, watu wa dini. Sasa tueleze hapa, siasa waliyokemea iko wapi kwenye maandiko. Nasisitiza usitaje majina Tu, fafanua visa halisi.



Tofautisha nyakati. Wakati wa Hezekiah taifa la Israeli kulikuwa likimtumikia Mungu mmoja Tu. Naye alikuwa mfalme wao kama taifa. Taifa lilikuwa la KIFALME wala sio la kidemokrasia kama mlivyo sasa. Mfalme alipaswa kuchukua maongozi moja kwa moja toka kwa Mungu, lakini leo hata asiye amini Mwenyezi Mungu aweza kuwa rais. Ndio maana kuna nanna nyingi ya kuapa, sio lazima kutumia biblia. Kumbe leo hii tuna mfumo tofauti kabisa.

We ndiye kipofu wa kiroho, hujui hata kama Kristo alisema utawala wake si wa dunia hii. Sasa walio wake wanaijua sauti yake. Wasio wake wanakwenda tu wakijihesabu ni wa dunia hii, wasijue kwamba ufalme wake si wa dunia hii. Ni vipofu wasiojua kusudi la kuitea kwao, hivyo kusombwa naupepo wa dunia.
 
Nitajie Askofu aliyepewa Uaskofu na Mungu. Au nambie maana ya Askofu. Why mtu akisifu anakuwa ok akikosoa anakuwa not ok? Hii si akili ya kawaida.ni ya kishetani.


Mkuu mleta habari kwani unakimbizwa?huyu ni askofu wa kanisa gani? na jimbo lake lipo wapi au ndio maaskofu wa sampuli ya akina Kakobe?hawa maaskofu wa kujipachika wenyewe wana mambo mengi,moja wapo likiwa kufanya ufuska na waumini na wake za watu.
 
Back
Top Bottom