Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Mnakurupuka kuilaumu serikali wakati ni Mmiliki wa hotel na kampuni yake ya ulinzi anaitwa Minja na amesema huyu jamaa ndio anatembeza fweza kwa askari njaa na wanaharibu ametaja kwa kudokoa nyaraka muhimu.Utawala wa kishetani ndio huu. Mkuu akisema, neno hugeuka kuwa sheria.
Alisema mtaishi kama [emoji83][emoji84][emoji83][emoji3517][emoji88]
Mungu akubariki sana mkuu Chizi Maarifa. KongoleBasi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?
Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?
Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.
Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?
Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
Kama umeanzisha Kanisa lako ungeatafuta Biblia yako ingekufaa sana. Aliyekwambia visa vya Watu wa Mungu kukemea watawala viliishia Agano la Kale ni nani? Kumbe akili zako na za huyo Demu zinafanana? Mitume wote wa Yesu waliouawa waliuliwa na Waisrael? Yesu alipozaliwa na kisha kufichwa Misri alikuwa anamkimbia Muisrael? Hujui kitu kaa kimya usipotoshe Biblia huijui.
Waliomfanyia ni mdai wake wanakesi mahakamani ya madai,jamaa anaroho mbaya sana unadaiwa hela unataka kumtoa mtu rohoWaambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Policeccm hawana tofauti na wacheza vigodoroAskofu hata kama alikua anakula mke wa mtu atasingizia siasa tu
Kuna kiongozi kalewa chakari kavinja mguu,wapambe wakasingizia siasa,polisi wametoa taarifa ya uchunguzi wa awali,mpaka leo hatujawasikia tena wapambe wala aliejeruhiwa
Tusipende kusema uongo,tunamuudhi sana Mungu
asante umenifungua na me nimepata rungu la kutetea siasa na dinBasi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?
Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?
Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.
Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?
Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
tatizo hata mkiwajui hamtawafanya kituSi awataje hadharani, kulalamika hadharani kutaja majina unashindwa, taja tuwajue.
sawa mbona mtu akikosoa serikali mnasema katumwa na mabeberu wakat unakuta mtu hata zizi hanaAskofu hata kama alikua anakula mke wa mtu atasingizia siasa tu
Kuna kiongozi kalewa chakari kavinja mguu,wapambe wakasingizia siasa,polisi wametoa taarifa ya uchunguzi wa awali,mpaka leo hatujawasikia tena wapambe wala aliejeruhiwa
Tusipende kusema uongo,tunamuudhi sana Mungu
je viongozi wa dini kuwaruhusu wanasiasa kutumia madhabahu kama majukwaa ya siasa ni sahihi au napo ndo viongozi wa siasa wanaingilia diniKifupi Eliya unajua kilichomkuta mpaka aliamua kuacha kazi ya unabii kwa jinsi alivyowindwa na mke wa mfalme jezeebel kuuawa,Akasema Mungu basi sitaki JEZEEBELI ANAWINDA KUNIUA SITAKI TENA HII KAZI
Yohana mbatizaji sawa alimkemea herode lakini kwa gharama ya kichwa chake alikatwa shingo!!!!!
Kifupi kiongozi wa dini toka zamani ruksa kuchanganya dini na siasa NA KUKEMEA viongozi wa kisiasa lakini kwa gharama ya kichwa chake
Kiongozi wa dini kuacha madhabahu na kwenda kukemea wanasiasa walioko madarakani ni ya kwake ili mradi awe tayari kichwa chake kukiweka machinjioni
Tumeona hadi uganda tu hapo ASKOFU WA ANGLICAN Janan LUWUM aliacha madhabahu akaenda kukemea mwanasiasa IDD AMIN hakuchukua round akauawa
Ushauri wangu dini na siasa ni vizuri viwe mbali kila mtu ahangaikie eneo lake lakini sikuzuii ili mradi uwe tayari kwa lolote kama wewe ni kiongozi wa dini
Kama akili zako zinakutuma kuwa amesema hivyo kwa heshima sina namna ya kufafanua zaidi.Sasa kama Period ni Heshima kwa Mwanamke kuna tatizo gani pale juu kwa Jamaa kutoa heshima kwa Kumwambia huyo Mwanamke amechangia Akiwa Period ?
Unamaanisha nini? kwanini Siasa nininiWaambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Msamehe bure huyo ndugu maana wanamaini ili usiwe unachanganya Siasa uunge juhudiBasi unasoma halafu huelewi. Ungekuwa unaelewa ungeelewa kwa nini Yeremia alifungwa, nani alihusika kumchagua Saul na kumtengua, nani alimteua Daud... Ungefahamu Ugomvi wa Yesu na Utawala wa Kirumi, kwa nini Yohana mbatizaji alikatwa kichwa. Yapo mengi unafahamu Yohana Mbatizaji alikemea nini?
Siasa ipo sana katika Biblia labda kama huelewi. unamfaham Esther alifanya nini pale Harmani alipotaka kuwatowesha watu wake?
Wewe hufahamu Siasa ndo maana unaona kama hakuna Siasa. Biblia ina Siasa sana na ina watumishi wengi ambao wamehusika na siasa.
Nabii Isaya alienda kumwambia Sauli mwanasiasa kuwa Mungu amemkataa.. hiyo haikuwa Siasa?
Hao wanasiasa kwa nini wanaapishwa na viongozi wa Dini au wanatumia Biblia na Quran kuapa? Hiyo siyo kuchanganya Dini na Siasa?
Hivi aliyekuwa anawachagulia/ kuwateuliwa Wana wa Israel mfalume ni Nani? Na je cheo cha ufalme kilikuwa Cha kidini au kisiasaWaambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
kanisani mtu akikaribisha ni hiari ya mkaribishaji hata waislamu hukaribishwa kanisanije viongozi wa dini kuwaruhusu wanasiasa kutumia madhabahu kama majukwaa ya siasa ni sahihi au napo ndo viongozi wa siasa wanaingilia dini