Askofu Ikongo: Walioniteka, kunivalisha kitambaa cha sumu nawafahamu

Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Na wanasiasa wasiende kwenye nyumba za ibada na kuongea siasa. Waabudu na waondoke
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Ila angekuwa upande wa CCM sawa, akiwa upinzani nongwa!
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Kuna 1) kusoma Biblia na 2) kuna kuielewa au kutoielewa Biblia.
 
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.

Biblia gani hizo wanasoma?

Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Sio kweli, kuanzia king Saul na kuendelea hao walikuwa na kofia mbili, political and spiritual. Thou Prophets walikuwepo pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Awamu hii ya NGOKO Ukiisema vibaya sirikali "TUKUFU" lazima Convoy ya GENGE la Wahuni la Kina DAB likushughulikie.
 
Nabii Isaya alikuwepo kipindi cha Sauli??au na ww boss hujui biblia vizur?
 
Mkuu hebu tueleze uhusiano wa period na mtu kuelewa?

Nafikiria hiyo dhihaka ya period ni udhalilishaji dhidi ya wanawake, ametoa hoja ijibu kwa hoja na sio viroba.

Karibu.
 
Umenisikitisha sana. Mpaka machozi yamenitoka kuona Dunia ya leo bado tuna watu wa aina yako. Inawezekana wakati wa sodoma na gomora au lutu walikuwa watu wema kuliko wewe.
Huna jibu mkuu? Mbona unatapatapa? Sodoma na Gomora ku na siasa?
 
Jibu ni Jepesi sana. SAMWELI ALIPOENDA KUMKEMEA SAULI MFALME ALIMKEMEA KWA MAKOSA GANI? MFALME ALIKUWA MWANASIASA AU HAKUWA MWANASIASA?
au huelewi maana ya Siasa na Huelewi maana ya Dini/Imani? Unataka Siasa kwenye Biblia mpaka wataje Chadema na CCM?

Samweli alihusika katika kumchagua Daudi kuwa Mfalme/Rais wa Israel. Hii hudhani ni siasa? Mbona ni mambo mepesi sana kuyaelewa. Naona una wayawaya tu.

Huna jibu mkuu? Mbona unatapatapa? Sodoma na Gomora ku na siasa?
 
Pole askofu Wataje dunia iwajue
 
Leta vifungu bana,
 
Acha dhihaka!
Period imehusika vipi?
 
Nawashangaa, Yohana, mara Daudi, mara Sauli yaani wanasema tu, mara niko naandika niko mwezini,

Siku watajua kuwa hawajui.
 
Umezingua..., hujui kwamba siasa ni maisha yetu, nao tupo nao? mbn kwenye mambo ya siasa wanaalikwa kuombea?
Ni hatari sana, cha kushangaza wanasiasa wakitumia majukwaa ya kidini watu wanachukulia poa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…