Askofu jimbo la Mbinga: Amani ni tunda la haki

Askofu jimbo la Mbinga: Amani ni tunda la haki

Nimekuwa nikifuatilia hilo linaloitwa kongamano la kuiombea amani nchi yetu na kumpongeza Rais wetu Samia Suluhu Hassan, linalofanyika jijini Mbeya, hivi leo.

Lakini cha kushangaza ni kila kiongozi wa dini, anayekuja hapo mbele, kusisitiza Taifa letu liendelee kudumisha amani nchini, bila kusisitiza watawala wetu pia kuongoza nchi hii kwa kutumia HAKI, kwa kuwa inajulikana wazi kuwa HAKI na AMANI ni pacha.

Hata kwenye maandiko ya Biblia, Katika kitabu cha Mithali, 14:34 imeandikwa hivi nikinukuu "Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote" mwisho wa kunukuu.

Hivi hawa viongozi wa dini, hawayaoni hayo maandiko muhimu sana yaliyoandikwa Katika kitabu hicho cha Mungu na kutakiwa kuyasisitiza?
 
Bongo hakuna viongozi wa dini kuna waganga njaa kwa kutumia dini, jana nimeona kwenye habari kongamano la viongozi wa dini ila cha ajabu nyuma yao wameweka picha kubwa ya hangaya kama inavofanyika siku hizi kwenye Matukio ya kitaifa badala ya kuweka nembo za taifa wanaweka picha ya raisi, nawaelewa ni njaa tu zinawasumbua
 
Viongozi wote wa dini wapo kwenye payroll ya chama cha kijana.

Hapo wametoka na bahasha zao zimetuna.

Njaa zina wasumbua tayari walisha make deal na devil.


#MaendeleoHayanaChama
 
Nimekuwa nikifuatilia hilo linaloitwa kongamano la kuiombea amani nchi yetu na kumpongeza Rais wetu Samia Suluhu Hassan, linalofanyika jijini Mbeya, hivi leo.

Lakini cha kushangaza ni kila kiongozi wa dini, anayekuja hapo mbele, kusisitiza Taifa letu liendelee kudumisha amani nchini, bila kusisitiza watawala wetu pia kuongoza nchi hii kwa kutumia HAKI, kwa kuwa inajulikana wazi kuwa HAKI na AMANI ni pacha.

Hata kwenye maandiko ya Biblia, Katika kitabu cha Mithali, 14:34 imeandikwa hivi nikinukuu "Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote" mwisho wa kunukuu.

Hivi hawa viongozi wa dini, hawayaoni hayo maandiko muhimu sana yaliyoandikwa Katika kitabu hicho cha Mungu na kutakiwa kuyasisitiza?
Hakuna viongozi wa dini, ni matapeli wa kukusanya kinachoitwa sadaka kujaza maumbo yao. hawana tofauti na wana siasa
 
Back
Top Bottom