Muuza mitumba
Member
- Jul 5, 2020
- 13
- 1
Nawaza tu akikatwa...
[/QUOT hawezi kukatwa wewe jimbo lake lile tulia tu uone picha lenyewe
Ameshindwa kuleta mabadiliko hapo kwenye kanisa lake jengo la ibada ni kama ghara la ugoro halipo ktk ramani kabisa, halafu kesho mmtume awe mbunge wa kawe mna akili kweli?na ataleta mabadiliko kwa Kawe
Umezidiwa mpka una shauli lD aaaaaaaaaaa uruma SanaHahah afu mzee hebu angalia kwny profile zao hizo ID zote mpya zimejoin tarehe ngapi then utapata picha kwamba kuna INGIZO JIPYA kwa kazi maalum.
Mwambieni wajuba wanasema atoe tena video nyingine yaani UNO PART 2.UTAONA WACHAWI NA WAGANGA WA KIENYEJI WANAPINGAA HILIII
#ANGALIENI WANAOPINGA WOTEEE ,,
NI WIVU TU
Tuwaulize nyie mlio mchafua mkijua mna mualibia kumbe mna mpandishaHivi yule mdada aliyepigwa Gwaji style na bishop yupo wapi ama anaishi wapi?
Namtafuta sana
CCM walivyoishiwa huenda wakampitisha. Wanataka watu kama Gwajima, wenye wafuasi wengi wasiojitambua na wanaojenga ''hoja za kimazingaombwe'' kama huyu bwana. Tusisahau pia anatoka kanda ya Ziwa.Nawaza tu akikatwa...
Anapita wapi!Kumbe unataka somo sas siumesema tangu mdaa tu! Somo ni gwaji anapita kawaeleze wengine
asubuhi tu..mapema tu...in maulid wa kitenge voiceChadema wameshapoteza jimbo.
katika maisha kila mtu anakosea yeye sio wa kwanzamajibu ni kua huyu ni mla ngada na kondoo wake pia anawakula
UhuruKwani ukichukua fomu ni lazima uvae sare za Chama? Mbona Dr. Tulia amevaa nguo za kawaida tu na amechukua fomu.
Eti kawe ni ya Mdee,kanyoloke!Huyu atakatwa mapema Sana.Sijui Kama huyu Ni mwanachama wa CCM na ameilipia kadi yake kwa miaka mingapi. Lakini CCM Jimbo la Kawe wanapumulia mashine hivyo lazima wamchague huyu japo hauziki mtaani ila anaafadhali kidogo. Kawe ni ya Mdee
umesikia Yuko kwa ajili ya kubebwa na mtu kwanza unakipi wewe Cha kumbebaaMichezo yako ya kumwagiwa maji usitulee sisi wajuba.
Mwambie Gwajima hatabebwa na CCM wala wasukuma wenzake.Atanyolewa bila maji kwa kutumia panga.Mwambie Kawe sio Koromije.