Kwa hiyo uwezo wa kufikiri kwa ubongo wako ndio umeishia hapo?Hawez chochea fujo na kanisa sio lake. Catholic ni taasis iliyopo enzi na enzi, haliyumbishwi na siasa uchwara.
Mapadri wanakuchana ukweli, hata kama una uma
pole mno helpless and confused gentleman πHopeless kabisa...Pole sana kwa kuwa mjinga
Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
focus kwenye madaKwa hiyo uwezo wa kufikiri kwa ubongo wako ndio umeishia hapo?
Wanawachana kila jpili, na waamini wengine wako vyama vya siasa.wakawachane waamini wao makanisani mwao, waache kubabaika na kumbwelambwela na maamuzi ya wanainchi π
CCM wanadhani wanammiliki kila mtu, kama gari anayo basi watamjengea nyumba, ili awe upande wao.Hakuna askofu katoliki asiyeweza kujinunulia gari.
Good baba Askofu Mchengerwa anyongweWakuu,
Askofu Mkuu Jimbo la Dar na Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania, Juda Thadeus Ruwa'ichi anatoa tamko sasa hivi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa.
CCM ni washenzi haswaCCM wanadhani wanammiliki kila mtu, kama gari anayo basi watamjengea nyumba, ili awe upande wao.
Kwani Kikwete hawezi kujinunulia gari? Mbona ananunuliwa magari mapya kila mwaka?
Siku zote, ukiona mtu 'anachowewa' kufanya fujo, na akakubali kufanya fujo hizo, ujuwe hata kabla ya kushawishiwa kufanya fujo, alikuwa na kitu kinachomsukuma kukubali 'kuchochewa' kufanya fujo..!!!anachochea fujo, mpasuko na migawanyiko kwenye kanisa lake tu..
Infact,
kama taifa yafaa kumpuuza tu kwa dharau π
Huyu nayeee, mfyuuuu!Wakuu,
Askofu Mkuu Jimbo la Dar na Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania, Juda Thadeus Ruwa'ichi anatoa tamko sasa hivi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa.
NAMUELEWA SANA UYU MZEEWakuu,
Askofu Mkuu Jimbo la Dar na Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania, Juda Thadeus Ruwa'ichi anatoa tamko sasa hivi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa.
Mnafaa kulaaniwa enyi majamvazi ya ccmanachochea fujo, mpasuko na migawanyiko kwenye kanisa lake tu..
Infact,
kama taifa yafaa kumpuuza tu kwa dharau π
Kuna kesho ,maisha ya leo yasitutoe ufahamwakawachane waamini wao makanisani mwao, waache kubabaika na kumbwelambwela na maamuzi ya wanainchi π
That depends on personal taste. Shetani hutushambulia kupitia maeneo anayojua tuna udhaifu.Kwani Kikwete hawezi kujinunulia gari? Mbona ananunuliwa magari mapya kila mwaka?
Tuachane na alicho kisema baba askofu; mtazamo wako binafsi kuhusu uchafuzi wewe ukoje?Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!