Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
HakikaRAIA WAWAJIBISHE AMBAO WANAKAIDI/HAWASIKII UNABII WA MUNGU TUNAOUTOA KATIKA MATAMKO YETU...by Ruwaichi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaRAIA WAWAJIBISHE AMBAO WANAKAIDI/HAWASIKII UNABII WA MUNGU TUNAOUTOA KATIKA MATAMKO YETU...by Ruwaichi
Siwaamini kesho utasikia wanapokea msaada wa ujenzi wa kanisa wanabadili msemoRAIA WAWAJIBISHE AMBAO WANAKAIDI/HAWASIKII UNABII WA MUNGU TUNAOUTOA KATIKA MATAMKO YETU...by Ruwaichi
Wewe kichaa, si bure. Ni wananchi gani waliamua kuwaua wagombea au viongozi wa CHADEMA? Hayo mmeyafanya ninyi mashetani, halafu kwa uwendawazimu mkubwa, mnasema ni maamyzi ya wananchi!!wakawachane waamini wao makanisani mwao, waache kubabaika na kumbwelambwela na maamuzi ya wanainchi 🐒
500,000,000 TshHahaha ccm watampelekea gari atatulia tu.
Kwa hiyo hao waliouwawa ni mbuzi au kuku hivyo serikali hawapaswi kuambiwa. Kabla mwaka huu haujaisha naomba Mungu yamkute mwanafamilia Yako ndio ujue uchungu wa kupoteza raiaKama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Mpasuko unatokea wapi ? Acha uzulumati weweanachochea fujo, mpasuko na migawanyiko kwenye kanisa lake tu..
Infact,
kama taifa yafaa kumpuuza tu kwa dharau 🐒
Wewe ni kama farisayo ama sadukayo tu wa kale, hivyo haishangazi. Unachojali ni tumbo lako tu basi, haki ya wengine hapana. Endelea hivyo waache wanaojali waseme.wakawachane waamini wao makanisani mwao, waache kubabaika na kumbwelambwela na maamuzi ya wanainchi 🐒
Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Sijui ni kwa nini lakini hisia zinanituma kuwa Samia atakuwa na mwisho mbaya sana na kila mtu atamhurumia.Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
ANao ndugu wa familia yake wanaomtegemea, watanufaika na hivyo vitu.Mtu maisha yake yote anaishi kanisani, ajenge nyumba ya nini yani askofu mpaka kaburi lake litakuwa kanisani
Waumini hawamtaki, alikuwa na kesi ya kula kondoo wa muumini, lakini ccm wakafuta kesi, walimsimika kwa nguvu na waumini wakaonywa, ukileta fyoko utaijua ccm.Malasusa huwezi kuona anakemea mauaji maana kwenye mipango ovu ya CCM huwa anashiriki
Naunga mkono tamko la Baba Askofu Juda Thadeus Ruwa'ichi ila halikupaswa kuharakishwa haraka hivi!,tamko lingesubiri matokeo ya uchaguzi yatangazwe rasmi,ili tamko pia lihusishe comments kuhusu uchaguzi na kuwapongeza the majority winners as well as the minority winners.Wakuu,
Askofu Mkuu Jimbo la Dar na Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania, Juda Thadeus Ruwa'ichi anatoa tamko sasa hivi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, Katika mkutano na Wanahabari unafanyika kwenye viunga vya 'Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma Mji mpya Relini.
Kwani huyo ni mwanamke!!!Pata bwana mkatoliki akuoe.
Mashoga mnajiona mna akili sana awamu hiianachochea fujo, mpasuko na migawanyiko kwenye kanisa lake tu..
Infact,
kama taifa yafaa kumpuuza tu kwa dharau 🐒
Yeye sio kiazi kama wewe, ni nabii, anaona na kujua yaliyofichikaNaunga mkono tamko la Baba Askofu Juda Thadeus Ruwa'ichi ila halikupaswa kuharakishwa haraka hivi!,tamko lingesubiri matokeo ya uchaguzi yatangazwe rasmi,ili tamko pia lihusishe comments kuhusu uchaguzi na kuwapongeza the majority winners as well as the minority winners.
Niliwahi kuuliza,kwanini kila rais wa Tanzania anapokuwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?,sikuwahi kujibiwa,kuna baadhi wakasema inatokea tuu by a coincidence!,sasa kipindi nchi ikiwa chini ya Mkatoliki,TEC,hawawi wakali sana kama nchi ikiwa chini ya wa upande wa pili!。
Pia nipongeze tamko hili limetolewa kwenye press conference,na sio mimbarini ili kuepuka kuchanganya dini na siasa。Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?
P
Hovyo kabisaWaumini hawamtaki, alikuwa na kesi ya kula kondoo wa muumini, lakini ccm wakafuta kesi, walimsimika kwa nguvu na waumini wakaonywa, ukileta fyoko utaijua ccm.
We pimbi maamuzi yapi ya wananchi au ni uwizi mtupu.........wakawachane waamini wao makanisani mwao, waache kubabaika na kumbwelambwela na maamuzi ya wanainchi 🐒
Kweli njaa mbaya sn inaharibu ubongo, TEC na KKKT hawakutoa waraka 2018 mpaka wakaanza na kunyang'anywa passport? yaani wapongeze mauaji yalisababishwa na Mchengerwa na mkwe wake? haki ya nani naomba mtoto wangu awe maskini lakini asiwe na njaa ya kusaliti watanzania kama wewe, angekuwa ameuliwa ndugu yako ungeandika huu utumbo kisa unapata tenda za TCRA?Naunga mkono tamko la Baba Askofu Juda Thadeus Ruwa'ichi ila halikupaswa kuharakishwa haraka hivi!,tamko lingesubiri matokeo ya uchaguzi yatangazwe rasmi,ili tamko pia lihusishe comments kuhusu uchaguzi na kuwapongeza the majority winners as well as the minority winners.
Niliwahi kuuliza,kwanini kila rais wa Tanzania anapokuwa Mkristo ni lazima awe Mkatoliki?,sikuwahi kujibiwa,kuna baadhi wakasema inatokea tuu by a coincidence!,sasa kipindi nchi ikiwa chini ya Mkatoliki,TEC,hawawi wakali sana kama nchi ikiwa chini ya wa upande wa pili!。
Pia nipongeze tamko hili limetolewa kwenye press conference,na sio mimbarini ili kuepuka kuchanganya dini na siasa。Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?
P
TEC siyo wapumbavuWenz
Siwaamini kesho utasikia wanapokea msaada wa ujenzi wa kanisa wanabadili msemo
Ni majinga haswaMashoga mnajiona mna akili sana awamu hii