LGE2024 Askofu Juda Ruwa'ichi atoa tamko kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa

LGE2024 Askofu Juda Ruwa'ichi atoa tamko kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
TEC wamekua vocal sana kuhusu uchaguzi!
Kama kanisa linalaani mauaji ,no rasmi.wanailaumu serikali !!

Tuone hatma ya yote haya!
 
That depends on personal taste. Shetani hutushambulia kupitia maeneo anayojua tuna udhaifu.

Siamini kuwa Ruwaichi anaweza kuwa dhaifu kiasi cha kusaliti nafsi yake kwa hongo ya gari.
Hakuna mkate mgumu kwa chai, Pengo alihama hadi jukwaa akatoka kuhubiri dini mpaka siasa za ccm.

Malasusa, akapewa kanda licha ya kashifa zake, lakini alisimikwa na ccm, kwa nguvu licha ya waumini kumkataa.
 
Wanawachana kila jpili, na waamini wengine wako vyama vya siasa.
Wakati nipo seminary hawa huwa wamenyooka na uhawana kona, utachanwa live bila chenga all day.
So ni kawaida , na ni kawaida kwa wakatoliki wote wanaonda kanisani
CCM ni washenzi sn wamesababisha maafa makubwa sn
 
Wakuu,

Askofu Mkuu Jimbo la Dar na Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania, Juda Thadeus Ruwa'ichi anatoa tamko sasa hivi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, Katika mkutano na Wanahabari unafanyika kwenye viunga vya 'Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma Mji mpya Relini.


Askofu Ruwa'ichi ametaja baadhi ya mauaji ya wanasiasa na raia yaliyotokea hivi karibuni kuwa ni pamoja na yale yaliyotokea Novemba 26, 2024 huko Tunduma mkoani Songwe na Manyoni mkoani Singida sambamba na mauaji yaliyotokea jijini Dar es Salaam Novemba 27 mwaka huu, ambayo Kanisa hilo limetaja mauaji hayo yote kuwa ni ya kukusudia

"Mwanzoni mwa mwezi huu (Novemba 2024) kule Iringa na Bukoba waliuawa pia wanasiasa wawili (2), Tanzania tunaelekea wapi kwa kujenga tabia hii?, kitendo cha mauaji ya wanasiasa kinapaswa kulaaniwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria, hakuna mwenye mamlaka ya kumuuwa mwenzake, kutekeleza ama kudai haki za kisiasa wakati wa uchaguzi wakati wa uchaguzi sio vita ni ushindani"

Aidha, Kanisa Katoliki limesema tabia ya kuchukulia mauaji ya wanasiasa na raia kama vifo vya kawaida na vinavyopaswa kuzoeleka ni tendo baya sana linaloweza kupelekea kujengeka tabia ya kupoteza na kukosa ulinzi wa haki ya uhai kama ilivyo kwenye Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

"Wapo waliokabidhiwa jukumu la kulinda Ibara hii, tunapoona mauaji haya yakiongezeka tunajiuliza maswali mengi juu ya uwajibikaji wa serikali kwa wananchi"

Bora viongozi wa Dini wasemee maana watanzania wanamalizwa kiaina kwa tamaa ya madaraka.
 
Wakuu,

Askofu Mkuu Jimbo la Dar na Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania, Juda Thadeus Ruwa'ichi anatoa tamko sasa hivi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, Katika mkutano na Wanahabari unafanyika kwenye viunga vya 'Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma Mji mpya Relini.


Askofu Ruwa'ichi ametaja baadhi ya mauaji ya wanasiasa na raia yaliyotokea hivi karibuni kuwa ni pamoja na yale yaliyotokea Novemba 26, 2024 huko Tunduma mkoani Songwe na Manyoni mkoani Singida sambamba na mauaji yaliyotokea jijini Dar es Salaam Novemba 27 mwaka huu, ambayo Kanisa hilo limetaja mauaji hayo yote kuwa ni ya kukusudia

"Mwanzoni mwa mwezi huu (Novemba 2024) kule Iringa na Bukoba waliuawa pia wanasiasa wawili (2), Tanzania tunaelekea wapi kwa kujenga tabia hii?, kitendo cha mauaji ya wanasiasa kinapaswa kulaaniwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria, hakuna mwenye mamlaka ya kumuuwa mwenzake, kutekeleza ama kudai haki za kisiasa wakati wa uchaguzi wakati wa uchaguzi sio vita ni ushindani"

Aidha, Kanisa Katoliki limesema tabia ya kuchukulia mauaji ya wanasiasa na raia kama vifo vya kawaida na vinavyopaswa kuzoeleka ni tendo baya sana linaloweza kupelekea kujengeka tabia ya kupoteza na kukosa ulinzi wa haki ya uhai kama ilivyo kwenye Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

"Wapo waliokabidhiwa jukumu la kulinda Ibara hii, tunapoona mauaji haya yakiongezeka tunajiuliza maswali mengi juu ya uwajibikaji wa serikali kwa wananchi"

huyu Juda akipewa vipande 30 atatusaliti mchana kweupe
 
Askof alindwe asije na yeye akapotea. Asante Kanisa Katoriki kuisimamia nchi - nyie ndiyo kielelezo cha kanisa kubwa, kanisa si bwana asifiwe tu kanisa ni pamoja ya kuangalia uhai wa Taifa kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Hongera sana Kanisa Katoriki kwa kuonyesha dira kwa makanisa na taasisi nyingine za dini.
 
anachochea fujo, mpasuko na migawanyiko kwenye kanisa lake tu..

Infact,
kama taifa yafaa kumpuuza tu kwa dharau 🐒
Gentleman ,Tanzania siasa ni mchezo ,ila ukijua unavyochezwa, unarex, unacheka sanaaa,
 
Back
Top Bottom