LGE2024 Askofu Juda Ruwa'ichi atoa tamko kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa

LGE2024 Askofu Juda Ruwa'ichi atoa tamko kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Waliojitokeza kwenda kupiga kura kwenye huo ujinga mnaouita uchaguzi wana akili pia za kijinga tu kama hizo za kwako na kwa kweli kwa mantiki hiyo Tanzania bado kabisa hatutatoboa.
 
Waliojitokeza kwenda kupiga kura kwenye huo ujinga mnaouita uchaguzi wana akili pia za kijinga tu kama hizo za kwako na kwa kweli kwa mantiki hiyo Tanzania bado kabisa hatutatoboa.
Haya wewe ni mjanja ambaye hukwenda kupiga kura.
 
Kwanza serikali haina huo Ubavu wa kuwashughulikia Maaskofu wa Kanisa Katoliki. Wanaweza tu kwa Wachungaji na Mashehe ... Katoliki ni mwisho wa rami.

Having said that matatizo yote chanzo ni serikali zisizotaka kusikiliza na kuona madaraka ni matamu. With time watu wanachoka .... na waliomo makanisani nao ni raia kama raia wengine. Wana uhuru wa kuamua upande kani wanachagua kuusupport. Kwa hiyo hata huko Rwanda, tatizo halikuwa kanisa bali individual ndani ya kanisa wanaamua kuwa upande gani.
Sidhani kama una uwelewa wa kutosha kuhusu hili. Na sijui kama unamfahamu uzuri Askofu Makarios.
 
Tuachane na alicho kisema baba askofu; mtazamo wako binafsi kuhusu uchafuzi wewe ukoje?
Mwaka 2019 na 2020 baadhi ya vyama vilisusia uchaguzi. Kwanini mwaka huu wamekomaa kushiriki? Nijibu hili ili nijibu swali lako la msingi.
 
CCM ni washenzi sn wamesababisha maafa makubwa sn
Afadhali uishi bila chama kuliko kuwa mwanachama wa cha mashetani, CCM. Ni aheri usipige kura kuliko ukakipigia cha cha mashetani,CCM. Ya nini mtu kujiunganisha na shetani linalofahamika!! Hiyo si itakuwa kufuru!!
 
..umechanganya madawa.

..kilichotokea Rwanda ni Kanisa kufungamana na Serikali, na Interahamwe [ umoja wa vijana wa chama tawala] wakati wa mauaji ya kimbari.

..Kanisa lingesimama upande wa haki mauaji yale yangeweza kuepukwa, au Kanisa lisingechafuka na kulaumiwa.

..Maaskofu na viongozi wote wa Dini wa Tanzania wanapaswa kupata sauti pale wanapoona kuna mmomonyoko wa haki ktk jamii.
Mwalimu Nyerere aliwahi kuwaambia viongozi wa dini ya kwamba nchi hii haina dini, bali wananchi wake ndio wana dini. Literally meaning alikuwa anawaambia kuwa wasifikiri kuwa wao ni sehemu ya utawala wa nchi hii. Dini yeyote sio LAZIMA iwepo Tanzania, Tanzania inaweza kuwepo bila dini yoyote.
 
Kwahiyo mkielezwa ukweli mnageukia kuwashughulikia watu! Halafu unalinganisha yanayoendelea Tanzania na Rwanda genocide vitu viwili tofauti! Kwamba yaliyotokea kwenye mchakato wa uchaguzi Ndio yanayofaa kuigwa na jamii ikiyostaarabika kabisa. Kwamba mnauwa watu halafu viongozi wa dini wawe kazi Yao ni kuzika na kutokemea mauaji. Mpumbavu wewe.
Tena Hawa wajinga wajinga wana bahati Mimi sio wa nchi hii!
 
Kama ni machafuko yataletwa na ccm ndani ya nchi hii, hao maaskofu ni wajumbe tu. Uovu wote unafanywa na ccm ndani ya nchi hii kwa kushirikiana na vyombo vya usalama. Ifahamike ccm imefikia mwisho, hakuna uwezekano wa kuendelea kudanganya tena wananchi, zama zenu zimefikia mwisho.
Imefikia mwisho wakati tathmini iliyopo mezani hapa inaonesha CCM imeshinda kwa kishindo kweri kweri!!!?
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Kama ni machafuko yataletwa na ccm ndani ya nchi hii, hao maaskofu ni wajumbe tu. Uovu wote unafanywa na ccm ndani ya nchi hii kwa kushirikiana na vyombo vya usalama. Ifahamike ccm imefikia mwisho, hakuna uwezekano wa kuendelea kudanganya tena wananchi, zama zenu zimefikia mwisho.
Wewe Mhaini una maana wananchi wapi wakati watz wameshamaliza kupiga kura na wamekipa ushindi CCM! Wewe si ulisema hupigi kura??
 
Samahani, hivi ulimaliza hata darasa la tano?
Unge kuwa ni mtu mwenye heshima kidogo ninge chukuwa muda wa kujadili na wewe lolote, na pengine kukufundisha mengi kwa vile najuwa ufinyu wa upeo na uwezo wako kielimu.
Lakini mtu anaye shangilia vifo vya wananchi wenzake, hata kama hukubaliani nao katika maswala ya kisiasa; mtu kama huyo sina muda naye kabisa.
 
Huyu Askofu hastahili heshima yoyote kwa yale aliyofanya Mwanza akiwa Askofu wa Jimbo hasa Bugando mpaka akasababisha Sister wa watu akajiua. Mimi simkubali kabisa ndio maana ha UCardinary akaukosa!! 🤣🤣
Wewe ndiye mtaalam wa haya mambo hapa, bila shaka kutokana na elimu yako uliyo ipata chuo kikuu cha Kariakoo, au siyo!
Na ndiyo sababu ya mihangaiko yote hii mnayo ipata sasa hivi. Hapo mwakani sijui itakuwaje?
 
  • Dislike
Reactions: UCD
Hana lolote,Hawa Huwa wanapinga Kiongozi akiwa sio wa kutoka kwao so ni WA kupuuzwa.

Pili kuhusu matukio yaliyotokea ni Changamoto za kawaida za uchaguzi lakini asilimia kubwa uchaguzi umefanyika vizuri na Kwa Haki.

Mifano Wilaya niliko Chadema wanayoishabikia imeshinda viti 5 ,Huko CCM ingeshinda wangesema wameibiwa.

Upuuzi tuu
Na darubini hii hii inazidi kujipambanua, kwamba siyo wao tu wa upande huo; ila kuna upande wa pili pia, ambao wewe hutaki kuuona wala kuuelezea chochote!

Matumaini pekee ni kwamba maadam vyombo vyenye risasi vina amriwa na upande wako, basi huna sababu ya kuwa na wasiwasi juu ya hali ya nchi yako.
Utaendelea tu na raha zako, kama unavyo onyesha sasa hivi.
 
Back
Top Bottom