Waliojitokeza kwenda kupiga kura kwenye huo ujinga mnaouita uchaguzi wana akili pia za kijinga tu kama hizo za kwako na kwa kweli kwa mantiki hiyo Tanzania bado kabisa hatutatoboa.Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!