Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
wanainchi wamekataa kuchagua mapepo kwenye sanduku la kura, dahHaha chama cha mashetani
mapepo na manyumbu yamelipuka yalivyokataliwa dah 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanainchi wamekataa kuchagua mapepo kwenye sanduku la kura, dahHaha chama cha mashetani
Nipige kura kwenye chaguzi za kishenzi?kaa kimya wew hujapiga hata kura,
unambwelambwela tu hapa allaaa!🐒
CCM=chama cha mapepo tutawapeleka kwa mwamposawanainchi wamekataa kuchagua mapepo kwenye sanduku la kura, dah
mapepo na manyumbu yamelipuka yalivyokataliwa dah 🐒
Ujenzi wa cathedral ya kawekamo mwanza ulimfanya ahamishwe, sasa hivi cathedral inajengwa kwa kasi ya kutisha, sasa sijui alikuwa anafanyafanya nini mpaka Vatican ikaamua kumuondoa ghaflaUlikuwa naye hapo jijini, na unaelewa alivyo kubalika hapo, labda uwe ulikuwa bado hujazaliwa.
Wewe unayo matatizo, hili siyo swala la kuwa 'chawa' pekee. Kuna jambo haliko sawa unapo furahia waTanzania wenzako kuondlewa uhai, kwa sababu tu wanao fanya hivyo ni kundi lako.
Nicheck inboxHivi nawezaje kujiunga na Kanisa Katoliki kutoka huku Moravian?
Wewe uliweka tafsiri potofu kuhusu uhamisho huo.Ujenzi wa cathedral ya kawekamo mwanza ulimfanya ahamishwe, sasa hivi cathedral inajengwa kwa kasi ya kutisha, sasa sijui alikuwa anafanyafanya nini mpaka Vatican ikaamua kumuondoa ghafla
Hapo umeona tafsiri yoyote?Wewe uliweka tafsiri potofu kuhusu uhamisho huo.
Wewe huioni; au shule yako haikuruhusu kuiona!Hapo umeona tafsiri yoyote?
Anza kumpuuza baba yako mzazi....anachochea fujo, mpasuko na migawanyiko kwenye kanisa lake tu..
Infact,
kama taifa yafaa kumpuuza tu kwa dharau 🐒
Bila shaka Wewe ndio "mtoto wa shule" uliyeandikishwa na ccm kwenye huu uchaguzi. Maamayo .Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
viongozi wa dini wanapoacha kuhubiri neno la Mungu na kuanza kuhubiri siasa za chuki na migawanyiko kama huyu ruwaichi na kitima, ni wa kupuuzwa tu gentleman,Anza kumpuuza baba yako mzazi....
Tupo, 2025 inakuja tuombe uhai......hii ni Tanzania,,,,....kiroho hii nchi ni tofauti sana na hayo mataifa mengine , tupo hapaKwani hapa wataikosa? Kama ccm wanakaa madarakani kwa support ya vyombo vya dola unategemea hao maaskofu wakose support ya wananchi hapa kwetu?
chadema inateswa na pepo muhemko na mkurupuko inatakiwa mafuta ya alizeti ya upako ili ipone mpasuko 🐒CCM=chama cha mapepo tutawapeleka kwa mwamposa
Siku tukipata uhuru nchi hii ccm tutawakimbiza nchi hii, hamtoamini.chadema inateswa na pepo muhemko na mkurupuko inatakiwa mafuta ya alizeti ya upako ili ipone mpasuko 🐒
Wakuu,
Askofu Mkuu Jimbo la Dar na Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania, Juda Thadeus Ruwa'ichi anatoa tamko sasa hivi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, Katika mkutano na Wanahabari unafanyika kwenye viunga vya 'Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma Mji mpya Relini.
Askofu Ruwa'ichi ametaja baadhi ya mauaji ya wanasiasa na raia yaliyotokea hivi karibuni kuwa ni pamoja na yale yaliyotokea Novemba 26, 2024 huko Tunduma mkoani Songwe na Manyoni mkoani Singida sambamba na mauaji yaliyotokea jijini Dar es Salaam Novemba 27 mwaka huu, ambayo Kanisa hilo limetaja mauaji hayo yote kuwa ni ya kukusudia
"Mwanzoni mwa mwezi huu (Novemba 2024) kule Iringa na Bukoba waliuawa pia wanasiasa wawili (2), Tanzania tunaelekea wapi kwa kujenga tabia hii?, kitendo cha mauaji ya wanasiasa kinapaswa kulaaniwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria, hakuna mwenye mamlaka ya kumuuwa mwenzake, kutekeleza ama kudai haki za kisiasa wakati wa uchaguzi wakati wa uchaguzi sio vita ni ushindani"
Aidha, Kanisa Katoliki limesema tabia ya kuchukulia mauaji ya wanasiasa na raia kama vifo vya kawaida na vinavyopaswa kuzoeleka ni tendo baya sana linaloweza kupelekea kujengeka tabia ya kupoteza na kukosa ulinzi wa haki ya uhai kama ilivyo kwenye Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
"Wapo waliokabidhiwa jukumu la kulinda Ibara hii, tunapoona mauaji haya yakiongezeka tunajiuliza maswali mengi juu ya uwajibikaji wa serikali kwa wananchi"
Kuhusu mweendo wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa liofanyika Novemba 27
"Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana maeneo mbalimbali ya nchi yetu inaonekana kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa umegubikwa na mapungufu mengi, ambayo wengi ninyi kama wanahabari mnayajua. Shughuli zito kama hii ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa inapoenda kiholela hatuipendi nchi yetu, hatuwatendei raia haki na hatushughulikii raia wote".
"Viongozi mbalimbali wa dini walitoa matamko kuhusu mwenendo wa maandalizi kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, matamko yale yalikuwa ni tahadhali tufanye hilo zoezi kwa hali inayokidhi. Ni zoezi (niliite takatifu) katika nchi yoyote, Uchaguzi halali na haki ni zoezi takatifu la kiraia, kwahiyo ni lazima lifanywe kwa uzito, uangalifu na uadilifu unaotakiwa"
"Nchi yetu ni ya Siasa ya vyama vingi, hata kama tunaweza kuelekea kuwa na ulemavu wakujihisi kwamba ni nchi ya chama kimoja lakini Tanzania ni nchi ya Vyama vingini na raia Mtanzania kuwa mshiriki wa chama chochote hiyo ni haki yake kiraia hakuna raia yoyote ambaye amezaliwa nakufungamanishwa na CCM, CHADEMA au CUF na vingine, hivyo vyama vyote ni machaguo au maamuzi ya raia mwenyewe na raia anapoamua kwamba anataka kujihusisha anapaswa kuheshimiwa. Watanzania tuendelee kujenga utayari wakuithamini nchi yetu, kuipigania nchi yetu na kupendana, kushikamana na kutendeana haki"
Tumetamka mara kadhaa kwamba inabidi tujipange, tujipange kutazama nyanja mbalimbali zinazohitaji maboresho au marekebisho katika mwenendo wa siasa za nchi yetu, hilo sio haki ya Wanasiasa ni haki ya raia wote kuwa na mpangilio na mwelekeo wa kisiasa ambao unatendea haki na unalinda usitawi na unapania maendeleo ya nchi yetu. Mtu yeyote mwenye nia njema na nchi yetu hawezi acha kulipigia kelele hili na yeyote anayeona tamko kama hili linawameng'enya ni vizuri wakajitadhimini.
Unadhani hao maaskofu wa Katoliki ni sawa na askofu Gwajima au askofu Kakobe? Hao wana nguvu kuliko wanasiasa unaowajua.Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Wakuu,
Askofu Mkuu Jimbo la Dar na Mwenyekiti wa Tume ya Haki na Amani ya Baraza la Maaskofu Tanzania, Juda Thadeus Ruwa'ichi anatoa tamko sasa hivi kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa, Katika mkutano na Wanahabari unafanyika kwenye viunga vya 'Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma Mji mpya Relini.
Askofu Ruwa'ichi ametaja baadhi ya mauaji ya wanasiasa na raia yaliyotokea hivi karibuni kuwa ni pamoja na yale yaliyotokea Novemba 26, 2024 huko Tunduma mkoani Songwe na Manyoni mkoani Singida sambamba na mauaji yaliyotokea jijini Dar es Salaam Novemba 27 mwaka huu, ambayo Kanisa hilo limetaja mauaji hayo yote kuwa ni ya kukusudia
"Mwanzoni mwa mwezi huu (Novemba 2024) kule Iringa na Bukoba waliuawa pia wanasiasa wawili (2), Tanzania tunaelekea wapi kwa kujenga tabia hii?, kitendo cha mauaji ya wanasiasa kinapaswa kulaaniwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria, hakuna mwenye mamlaka ya kumuuwa mwenzake, kutekeleza ama kudai haki za kisiasa wakati wa uchaguzi wakati wa uchaguzi sio vita ni ushindani"
Aidha, Kanisa Katoliki limesema tabia ya kuchukulia mauaji ya wanasiasa na raia kama vifo vya kawaida na vinavyopaswa kuzoeleka ni tendo baya sana linaloweza kupelekea kujengeka tabia ya kupoteza na kukosa ulinzi wa haki ya uhai kama ilivyo kwenye Ibara ya 14 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
"Wapo waliokabidhiwa jukumu la kulinda Ibara hii, tunapoona mauaji haya yakiongezeka tunajiuliza maswali mengi juu ya uwajibikaji wa serikali kwa wananchi"
Kuhusu mweendo wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa liofanyika Novemba 27
"Kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana maeneo mbalimbali ya nchi yetu inaonekana kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa umegubikwa na mapungufu mengi, ambayo wengi ninyi kama wanahabari mnayajua. Shughuli zito kama hii ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa inapoenda kiholela hatuipendi nchi yetu, hatuwatendei raia haki na hatushughulikii raia wote".
"Viongozi mbalimbali wa dini walitoa matamko kuhusu mwenendo wa maandalizi kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, matamko yale yalikuwa ni tahadhali tufanye hilo zoezi kwa hali inayokidhi. Ni zoezi (niliite takatifu) katika nchi yoyote, Uchaguzi halali na haki ni zoezi takatifu la kiraia, kwahiyo ni lazima lifanywe kwa uzito, uangalifu na uadilifu unaotakiwa"
"Nchi yetu ni ya Siasa ya vyama vingi, hata kama tunaweza kuelekea kuwa na ulemavu wakujihisi kwamba ni nchi ya chama kimoja lakini Tanzania ni nchi ya Vyama vingini na raia Mtanzania kuwa mshiriki wa chama chochote hiyo ni haki yake kiraia hakuna raia yoyote ambaye amezaliwa nakufungamanishwa na CCM, CHADEMA au CUF na vingine, hivyo vyama vyote ni machaguo au maamuzi ya raia mwenyewe na raia anapoamua kwamba anataka kujihusisha anapaswa kuheshimiwa. Watanzania tuendelee kujenga utayari wakuithamini nchi yetu, kuipigania nchi yetu na kupendana, kushikamana na kutendeana haki"
Tumetamka mara kadhaa kwamba inabidi tujipange, tujipange kutazama nyanja mbalimbali zinazohitaji maboresho au marekebisho katika mwenendo wa siasa za nchi yetu, hilo sio haki ya Wanasiasa ni haki ya raia wote kuwa na mpangilio na mwelekeo wa kisiasa ambao unatendea haki na unalinda usitawi na unapania maendeleo ya nchi yetu. Mtu yeyote mwenye nia njema na nchi yetu hawezi acha kulipigia kelele hili na yeyote anayeona tamko kama hili linawameng'enya ni vizuri wakajitadhimini.
Hakuna lolote usifikiri waumini wa RC tunafuata mkumbo wa Askofu tunajitambua!Unadhani hao maaskofu wa Katoliki ni sawa na askofu Gwajima au askofu Kakobe? Hao wana nguvu kuliko wanasiasa unaowajua.