Waliojitokeza kwenda kupiga kura kwenye huo ujinga mnaouita uchaguzi wana akili pia za kijinga tu kama hizo za kwako na kwa kweli kwa mantiki hiyo Tanzania bado kabisa hatutatoboa.Kama Serikali haitaingilia kati na kuwashughulikia Hawa viongozi uchwara wa dini nchi itaingia kwenye machafuko muda sio mrefu. Huko Rwanda hawa Maaskofu wa Kikatoliki walihusika sana kwenye kuchochea na kisabisha Genocide. Serikali iwe makini!!!
Alifanyeje mkuu?Huyu Askofu hastahili heshima yoyote kwa yale aliyofanya Mwanza akiwa Askofu wa Jimbo hasa Bugando mpaka akasababisha Sister wa watu akajiua. Mimi simkubali kabisa ndio maana ha UCardinary akaukosa!! π€£π€£
Issue ya wizi ya pesa wa Bugando Hospital lakini ikamwangukia yule sister ambaye alijiua.Alifanyeje mkuu?
Samahani, hivi ulimaliza hata darasa la tano?Wewe huioni; au shule yako haikuruhusu kuiona!
Haya wewe ni mjanja ambaye hukwenda kupiga kura.Waliojitokeza kwenda kupiga kura kwenye huo ujinga mnaouita uchaguzi wana akili pia za kijinga tu kama hizo za kwako na kwa kweli kwa mantiki hiyo Tanzania bado kabisa hatutatoboa.
Sidhani kama una uwelewa wa kutosha kuhusu hili. Na sijui kama unamfahamu uzuri Askofu Makarios.Kwanza serikali haina huo Ubavu wa kuwashughulikia Maaskofu wa Kanisa Katoliki. Wanaweza tu kwa Wachungaji na Mashehe ... Katoliki ni mwisho wa rami.
Having said that matatizo yote chanzo ni serikali zisizotaka kusikiliza na kuona madaraka ni matamu. With time watu wanachoka .... na waliomo makanisani nao ni raia kama raia wengine. Wana uhuru wa kuamua upande kani wanachagua kuusupport. Kwa hiyo hata huko Rwanda, tatizo halikuwa kanisa bali individual ndani ya kanisa wanaamua kuwa upande gani.
Mwaka 2019 na 2020 baadhi ya vyama vilisusia uchaguzi. Kwanini mwaka huu wamekomaa kushiriki? Nijibu hili ili nijibu swali lako la msingi.Tuachane na alicho kisema baba askofu; mtazamo wako binafsi kuhusu uchafuzi wewe ukoje?
Afadhali uishi bila chama kuliko kuwa mwanachama wa cha mashetani, CCM. Ni aheri usipige kura kuliko ukakipigia cha cha mashetani,CCM. Ya nini mtu kujiunganisha na shetani linalofahamika!! Hiyo si itakuwa kufuru!!CCM ni washenzi sn wamesababisha maafa makubwa sn
Hao waliouwawa wepi?Kwa hiyo hao waliouwawa ni mbuzi au kuku hivyo serikali hawapaswi kuambiwa. Kabla mwaka huu haujaisha naomba Mungu yamkute mwanafamilia Yako ndio ujue uchungu wa kupoteza raia
Sijui kwa nini hukufa wewe mkuu!!CCM ni washenzi sn wamesababisha maafa makubwa sn
Mwalimu Nyerere aliwahi kuwaambia viongozi wa dini ya kwamba nchi hii haina dini, bali wananchi wake ndio wana dini. Literally meaning alikuwa anawaambia kuwa wasifikiri kuwa wao ni sehemu ya utawala wa nchi hii. Dini yeyote sio LAZIMA iwepo Tanzania, Tanzania inaweza kuwepo bila dini yoyote...umechanganya madawa.
..kilichotokea Rwanda ni Kanisa kufungamana na Serikali, na Interahamwe [ umoja wa vijana wa chama tawala] wakati wa mauaji ya kimbari.
..Kanisa lingesimama upande wa haki mauaji yale yangeweza kuepukwa, au Kanisa lisingechafuka na kulaumiwa.
..Maaskofu na viongozi wote wa Dini wa Tanzania wanapaswa kupata sauti pale wanapoona kuna mmomonyoko wa haki ktk jamii.
Dua la kuku tu hilo Mwamba.Sijui ni kwa nini lakini hisia zinanituma kuwa Samia atakuwa na mwisho mbaya sana na kila mtu atamhurumia.
Hongera kwa kuchangia upuuzi.ππππAmka kumekucha, usije ukakojoa kitandani. Nawa au oga uende shule. Mia tano ya maandazi ipo hapo mezani. Uwe makini unapovuka barabara sawa?
Tena Hawa wajinga wajinga wana bahati Mimi sio wa nchi hii!Kwahiyo mkielezwa ukweli mnageukia kuwashughulikia watu! Halafu unalinganisha yanayoendelea Tanzania na Rwanda genocide vitu viwili tofauti! Kwamba yaliyotokea kwenye mchakato wa uchaguzi Ndio yanayofaa kuigwa na jamii ikiyostaarabika kabisa. Kwamba mnauwa watu halafu viongozi wa dini wawe kazi Yao ni kuzika na kutokemea mauaji. Mpumbavu wewe.
Imefikia mwisho wakati tathmini iliyopo mezani hapa inaonesha CCM imeshinda kwa kishindo kweri kweri!!!?Kama ni machafuko yataletwa na ccm ndani ya nchi hii, hao maaskofu ni wajumbe tu. Uovu wote unafanywa na ccm ndani ya nchi hii kwa kushirikiana na vyombo vya usalama. Ifahamike ccm imefikia mwisho, hakuna uwezekano wa kuendelea kudanganya tena wananchi, zama zenu zimefikia mwisho.
Unamfahamu Askofu Makarios uzuri? Ebu tupe historia yake kidogo.Unadhani hao maaskofu wa Katoliki ni sawa na askofu Gwajima au askofu Kakobe? Hao wana nguvu kuliko wanasiasa unaowajua.
Wewe Mhaini una maana wananchi wapi wakati watz wameshamaliza kupiga kura na wamekipa ushindi CCM! Wewe si ulisema hupigi kura??Kama ni machafuko yataletwa na ccm ndani ya nchi hii, hao maaskofu ni wajumbe tu. Uovu wote unafanywa na ccm ndani ya nchi hii kwa kushirikiana na vyombo vya usalama. Ifahamike ccm imefikia mwisho, hakuna uwezekano wa kuendelea kudanganya tena wananchi, zama zenu zimefikia mwisho.
Unge kuwa ni mtu mwenye heshima kidogo ninge chukuwa muda wa kujadili na wewe lolote, na pengine kukufundisha mengi kwa vile najuwa ufinyu wa upeo na uwezo wako kielimu.Samahani, hivi ulimaliza hata darasa la tano?
Wewe ndiye mtaalam wa haya mambo hapa, bila shaka kutokana na elimu yako uliyo ipata chuo kikuu cha Kariakoo, au siyo!Huyu Askofu hastahili heshima yoyote kwa yale aliyofanya Mwanza akiwa Askofu wa Jimbo hasa Bugando mpaka akasababisha Sister wa watu akajiua. Mimi simkubali kabisa ndio maana ha UCardinary akaukosa!! π€£π€£
Na darubini hii hii inazidi kujipambanua, kwamba siyo wao tu wa upande huo; ila kuna upande wa pili pia, ambao wewe hutaki kuuona wala kuuelezea chochote!Hana lolote,Hawa Huwa wanapinga Kiongozi akiwa sio wa kutoka kwao so ni WA kupuuzwa.
Pili kuhusu matukio yaliyotokea ni Changamoto za kawaida za uchaguzi lakini asilimia kubwa uchaguzi umefanyika vizuri na Kwa Haki.
Mifano Wilaya niliko Chadema wanayoishabikia imeshinda viti 5 ,Huko CCM ingeshinda wangesema wameibiwa.
Upuuzi tuu