Tetesi: Askofu Kakobe aitwa tena kuhojiwa TRA tarehe 24/01/2018 saa 4 asubuhi

Tetesi: Askofu Kakobe aitwa tena kuhojiwa TRA tarehe 24/01/2018 saa 4 asubuhi

#ATUBU#

Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana. Taifa limegawanyika kabisa
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ngoja naisubiri hali iliyoitishwa na katoliki Congo itokee Tz.
Itapendeza zaidi.
Watanzania daini katiba mpya na tume huru vinginevyo mtapata tabu sana.
Taifa limegawanyika kabisa
 
Uskute ayo mahojiano yenyewe yakawa yanahusu kutaka kujuwa habari za herizi za a man of the people
 
Safi Sana TRA ni Mamlaka ya Mapato siyo Mamlaka ya Kodi Ndo maana wanakusanya non tax revenue Lazima Wajue huo utajiri anaojigamba nao ameupata wapi?
 
Majira ya saa 11.45 jioni ya leo, mfanyakazi mmoja wa TRA amewasilisha barua katika ofisi ya mapokezi ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), lililoko barabara ya Sam Nujoma, Dar-Es-Salaam.

Ingawa mtu aliyekuwa mapokezi hakuwa tayari kuzungumzia barua hiyo, kwa kuwa yeye siyo Msemaji wa Kanisa, hata hivyo, uchunguzi umethibitisha kwamba barua hiyo imemtaka Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Zachary Kakobe, kufika tena kwa mahojiano TRA Mwenge, kesho Jumatano 24.1.2018, saa 4 kamili asubuhi.

Jumatatu iliyopita 15.1.18, Askofu Kakobe alihojiwa kwa mara ya kwanza katika ofisi hizo, na baada ya kuhojiwa, alitolewa kwa mlango wa nyuma kwa gari nyingine, na kuwaacha solemba waandishi wa habari, waliokuwa mbele ya ofisi hizo, kusaka habari.

Mahojiano haya mapya yanaibuka tena, baada ya taarifa za ndani kueleza kwamba, mahojiano hayo yalikuwa yamefika tamati.
Kwani kutubu kuna ugumu gani jamani?
 
Ni Mimi Nabii Tito napita tu jamani.Kwa mahitaji ya bia na watoto wakali mjini tukutana Baa ibadani!
 
Back
Top Bottom