Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
halafu atalipa kama MAKINIKIA SIO?Huyu inatakiwa apelekewe ile bill kama ya barrick
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
halafu atalipa kama MAKINIKIA SIO?Huyu inatakiwa apelekewe ile bill kama ya barrick
Majira ya saa 11.45 jioni ya leo, mfanyakazi mmoja wa TRA amewasilisha barua katika ofisi ya mapokezi ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), lililoko barabara ya Sam Nujoma, Dar-Es-Salaam
Nawewe nenda. Alafu ubebe debe lakupiga ukishangilia mahojiano hayo!!!
Ingawa mtu aliyekuwa mapokezi hakuwa tayari kuzungumzia barua hiyo, kwa kuwa yeye siyo Msemaji wa Kanisa, hata hivyo, uchunguzi umethibitisha kwamba barua hiyo imemtaka Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Zachary Kakobe, kufika tena kwa mahojiano TRA Mwenge, kesho Jumatano 24.1.2018, saa 4 kamili asubuhi.
Jumatatu iliyopita 15.1.18, Askofu Kakobe alihojiwa kwa mara ya kwanza katika ofisi hizo, na baada ya kuhojiwa, alitolewa kwa mlango wa nyuma kwa gari nyingine, na kuwaacha solemba waandishi wa habari, waliokuwa mbele ya ofisi hizo, kusaka habari.
Mahojiano haya mapya yanaibuka tena, baada ya taarifa za ndani kueleza kwamba, mahojiano hayo yalikuwa yamefika tamati.
hahahahahaha, duuu!!!Wawalipe kwani mnawadai? Mtetezi wa wanyonge kimyaaaaa....
Umnyamazie mtu anayevuruga uchumi, kwa miaka 5? Halafu sisi ndiyo wenye nchi(siyo yake ya urithi hii)! Hali ikiendelea hivi, 2020 ataagwa kwenda Msoga, sorry, Chato; then, atuachie kazi ya kurudisha uchumi pale alipoukuta, KWANZA, kisha tuanze kuujenga kutokea hapo. Kazi zaidi ya mara mbili-bora tungekuwa na kipindi cha mpito bila rais, tujue moja.Mdomo umemponza, alishindwaje kusoma alama za nyakati? hizi sio nyakati za majigambo wala kebehi ni bora kunyamaza tu kwani siku hazigandi.
Soon sadaka zitaanza kukatwa kodi.Una akili sana; kimsingi ulipaswa kuitwa STATE HOUSE; siyo Babati- kanji kadogo. JUST IMAGINE, kama walikula RAMBIRAMBI, seuse sadaka!!!
Kula like za kutoshaUmnyamazie mtu anayevuruga uchumi, kwa miaka 5? Halafu sisi ndiyo wenye nchi(siyo yake ya urithi hii)! Hali ikiendelea hivi, 2020 ataagwa kwenda Msoga, sorry, Chato; then, atuachie kazi ya kurudisha uchumi pale alipoukuta, KWANZA, kisha tuanze kuujenga kutokea hapo. Kazi zaidi ya mara mbili-bora tungekuwa na kipindi cha mpito bila rais, tujue moja.
.Mdomo umemponza, alishindwaje kusoma alama za nyakati? hizi sio nyakati za majigambo wala kebehi ni bora kunyamaza tu kwani siku hazigandi.
Ulalamishi watu hawajaanza leo,wakati wa mwalimu watu walilalamika kweli na kuthubutu kumuita mchonga,wakati wa mwinyi hivyohivyo,wakati wa mkapa hivyohivyo ,wakati wa jk ndio usiseme ,mara serikali dhaifu,jema kwenu liko wapi,kulalamiiiiiiiika kutwa,na baadhi ya watumishi kama kakobe ndio anaewafundisha watu ulalamishi,wakati biblia inakataza,kakobe huyuhuyu si ndio alizuia tanesko wasipitishe umeme kwake,wamgemchekea huo uchumi unaosema uurudishe ungepatikanaje?Umnyamazie mtu anayevuruga uchumi, kwa miaka 5? Halafu sisi ndiyo wenye nchi(siyo yake ya urithi hii)! Hali ikiendelea hivi, 2020 ataagwa kwenda Msoga, sorry, Chato; then, atuachie kazi ya kurudisha uchumi pale alipoukuta, KWANZA, kisha tuanze kuujenga kutokea hapo. Kazi zaidi ya mara mbili-bora tungekuwa na kipindi cha mpito bila rais, tujue moja.
Ulalamishi watu hawajaanza leo,wakati wa mwalimu watu walilalamika kweli na kuthubutu kumuita mchonga,wakati wa mwinyi hivyohivyo,wakati wa mkapa hivyohivyo ,wakati wa jk ndio usiseme ,mara serikali dhaifu,jema kwenu liko wapi,kulalamiiiiiiiika kutwa,na baadhi ya watumishi kama kakobe ndio anaewafundisha watu ulalamishi,wakati biblia inakataza,kakobe huyuhuyu si ndio alizuia tanesko wasipitishe umeme kwake,wamgemchekea huo uchumi unaosema uurudishe ungepatikanaje?Umnyamazie mtu anayevuruga uchumi, kwa miaka 5? Halafu sisi ndiyo wenye nchi(siyo yake ya urithi hii)! Hali ikiendelea hivi, 2020 ataagwa kwenda Msoga, sorry, Chato; then, atuachie kazi ya kurudisha uchumi pale alipoukuta, KWANZA, kisha tuanze kuujenga kutokea hapo. Kazi zaidi ya mara mbili-bora tungekuwa na kipindi cha mpito bila rais, tujue moja.
We mbwa kwa hiyo watz wasilalamike? Serukali kutoa huduma sio hisani ni wajihu na haistahili hata kuponhezwa....bahat mbaya ccm hawahidumij watz hata kwa 5% ya wanavotakiwa kuhudumiwa alafu mkurupukaji mmoja anataka tusilalamike kwa vile tu anakinga mkono buku 3,000 lumumbaUlalamishi watu hawajaanza leo,wakati wa mwalimu watu walilalamika kweli na kuthubutu kumuita mchonga,wakati wa mwinyi hivyohivyo,wakati wa mkapa hivyohivyo ,wakati wa jk ndio usiseme ,mara serikali dhaifu,jema kwenu liko wapi,kulalamiiiiiiiika kutwa,na baadhi ya watumishi kama kakobe ndio anaewafundisha watu ulalamishi,wakati biblia inakataza,kakobe huyuhuyu si ndio alizuia tanesko wasipitishe umeme kwake,wamgemchekea huo uchumi unaosema uurudishe ungepatikanaje?
Ulitakiwa ujiite jikelao hili jingalao halikufai mkuuHuyu inatakiwa apelekewe ile bill kama ya barrick
hiko la jikelao ninakupa wewe...mimi ni jingalaoUlitakiwa ujiite jikelao hili jingalao halikufai mkuu
na BADALA YAKE kuwakaribisha wabakajiwaliosamehewa IKULU. HII MI SIELEWI KABISAKwa tamaa zenu mnataka kuingiza nchi kwenye laana kubwa sana , nchi yeyote yenye akili timamu haisakami viongozi wa dini .
Wewe ni jikelao shitholeshiko la jikelao ninakupa wewe...mimi ni jingalao
Wewe kama unakinga ufipa hizo bukubuku usiingize wengine ,ukalipe kodi ya nyumba wake zenu wanalalamika,swala ni kua utoto unakusumbua,na kulalamika muache Mungu hapendi,hata ukitukana matusi ndio unavyoonesha ulivyo kariri upuuzi.We mbwa kwa hiyo watz wasilalamike? Serukali kutoa huduma sio hisani ni wajihu na haistahili hata kuponhezwa....bahat mbaya ccm hawahidumij watz hata kwa 5% ya wanavotakiwa kuhudumiwa alafu mkurupukaji mmoja anataka tusilalamike kwa vile tu anakinga mkono buku 3,000 lumumba