Tetesi: Askofu Kakobe aitwa tena kuhojiwa TRA tarehe 24/01/2018 saa 4 asubuhi

Tetesi: Askofu Kakobe aitwa tena kuhojiwa TRA tarehe 24/01/2018 saa 4 asubuhi

Mdomo umemponza, alishindwaje kusoma alama za nyakati? hizi sio nyakati za majigambo wala kebehi ni bora kunyamaza tu kwani siku hazigandi.
 
Majira ya saa 11.45 jioni ya leo, mfanyakazi mmoja wa TRA amewasilisha barua katika ofisi ya mapokezi ya Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), lililoko barabara ya Sam Nujoma, Dar-Es-Salaam
Nawewe nenda. Alafu ubebe debe lakupiga ukishangilia mahojiano hayo!!!

Ingawa mtu aliyekuwa mapokezi hakuwa tayari kuzungumzia barua hiyo, kwa kuwa yeye siyo Msemaji wa Kanisa, hata hivyo, uchunguzi umethibitisha kwamba barua hiyo imemtaka Askofu Mkuu wa Kanisa hilo, Zachary Kakobe, kufika tena kwa mahojiano TRA Mwenge, kesho Jumatano 24.1.2018, saa 4 kamili asubuhi.

Jumatatu iliyopita 15.1.18, Askofu Kakobe alihojiwa kwa mara ya kwanza katika ofisi hizo, na baada ya kuhojiwa, alitolewa kwa mlango wa nyuma kwa gari nyingine, na kuwaacha solemba waandishi wa habari, waliokuwa mbele ya ofisi hizo, kusaka habari.

Mahojiano haya mapya yanaibuka tena, baada ya taarifa za ndani kueleza kwamba, mahojiano hayo yalikuwa yamefika tamati.
 
Mdomo umemponza, alishindwaje kusoma alama za nyakati? hizi sio nyakati za majigambo wala kebehi ni bora kunyamaza tu kwani siku hazigandi.
Umnyamazie mtu anayevuruga uchumi, kwa miaka 5? Halafu sisi ndiyo wenye nchi(siyo yake ya urithi hii)! Hali ikiendelea hivi, 2020 ataagwa kwenda Msoga, sorry, Chato; then, atuachie kazi ya kurudisha uchumi pale alipoukuta, KWANZA, kisha tuanze kuujenga kutokea hapo. Kazi zaidi ya mara mbili-bora tungekuwa na kipindi cha mpito bila rais, tujue moja.
 
Kasema mwenyewe ye ni tajiri awathibitishie utajiri wake ndo hicho tu wanachotaka aache kulalamika anokane anaonwewa atupe Kodi yetu very simple
 
Umnyamazie mtu anayevuruga uchumi, kwa miaka 5? Halafu sisi ndiyo wenye nchi(siyo yake ya urithi hii)! Hali ikiendelea hivi, 2020 ataagwa kwenda Msoga, sorry, Chato; then, atuachie kazi ya kurudisha uchumi pale alipoukuta, KWANZA, kisha tuanze kuujenga kutokea hapo. Kazi zaidi ya mara mbili-bora tungekuwa na kipindi cha mpito bila rais, tujue moja.
Kula like za kutosha
 
Nasikia pengo pia ameitwa majuzi kwa ishu hizohizo za kodi.....
 
Mdomo umemponza, alishindwaje kusoma alama za nyakati? hizi sio nyakati za majigambo wala kebehi ni bora kunyamaza tu kwani siku hazigandi.
.
Ni kweli mafarao hutofautiana yupo aliyemkarimu Yusufu na yupo aliyemfukuza Musa.
 
Sasa inabidi hata watawala wetu wawe wanaona AIBU kwa kweli, ila kila ZAMA ZINA MWISHO
 
Umnyamazie mtu anayevuruga uchumi, kwa miaka 5? Halafu sisi ndiyo wenye nchi(siyo yake ya urithi hii)! Hali ikiendelea hivi, 2020 ataagwa kwenda Msoga, sorry, Chato; then, atuachie kazi ya kurudisha uchumi pale alipoukuta, KWANZA, kisha tuanze kuujenga kutokea hapo. Kazi zaidi ya mara mbili-bora tungekuwa na kipindi cha mpito bila rais, tujue moja.
Ulalamishi watu hawajaanza leo,wakati wa mwalimu watu walilalamika kweli na kuthubutu kumuita mchonga,wakati wa mwinyi hivyohivyo,wakati wa mkapa hivyohivyo ,wakati wa jk ndio usiseme ,mara serikali dhaifu,jema kwenu liko wapi,kulalamiiiiiiiika kutwa,na baadhi ya watumishi kama kakobe ndio anaewafundisha watu ulalamishi,wakati biblia inakataza,kakobe huyuhuyu si ndio alizuia tanesko wasipitishe umeme kwake,wamgemchekea huo uchumi unaosema uurudishe ungepatikanaje?
 
Umnyamazie mtu anayevuruga uchumi, kwa miaka 5? Halafu sisi ndiyo wenye nchi(siyo yake ya urithi hii)! Hali ikiendelea hivi, 2020 ataagwa kwenda Msoga, sorry, Chato; then, atuachie kazi ya kurudisha uchumi pale alipoukuta, KWANZA, kisha tuanze kuujenga kutokea hapo. Kazi zaidi ya mara mbili-bora tungekuwa na kipindi cha mpito bila rais, tujue moja.
Ulalamishi watu hawajaanza leo,wakati wa mwalimu watu walilalamika kweli na kuthubutu kumuita mchonga,wakati wa mwinyi hivyohivyo,wakati wa mkapa hivyohivyo ,wakati wa jk ndio usiseme ,mara serikali dhaifu,jema kwenu liko wapi,kulalamiiiiiiiika kutwa,na baadhi ya watumishi kama kakobe ndio anaewafundisha watu ulalamishi,wakati biblia inakataza,kakobe huyuhuyu si ndio alizuia tanesko wasipitishe umeme kwake,wamgemchekea huo uchumi unaosema uurudishe ungepatikanaje?
 
Ulalamishi watu hawajaanza leo,wakati wa mwalimu watu walilalamika kweli na kuthubutu kumuita mchonga,wakati wa mwinyi hivyohivyo,wakati wa mkapa hivyohivyo ,wakati wa jk ndio usiseme ,mara serikali dhaifu,jema kwenu liko wapi,kulalamiiiiiiiika kutwa,na baadhi ya watumishi kama kakobe ndio anaewafundisha watu ulalamishi,wakati biblia inakataza,kakobe huyuhuyu si ndio alizuia tanesko wasipitishe umeme kwake,wamgemchekea huo uchumi unaosema uurudishe ungepatikanaje?
We mbwa kwa hiyo watz wasilalamike? Serukali kutoa huduma sio hisani ni wajihu na haistahili hata kuponhezwa....bahat mbaya ccm hawahidumij watz hata kwa 5% ya wanavotakiwa kuhudumiwa alafu mkurupukaji mmoja anataka tusilalamike kwa vile tu anakinga mkono buku 3,000 lumumba
 
We mbwa kwa hiyo watz wasilalamike? Serukali kutoa huduma sio hisani ni wajihu na haistahili hata kuponhezwa....bahat mbaya ccm hawahidumij watz hata kwa 5% ya wanavotakiwa kuhudumiwa alafu mkurupukaji mmoja anataka tusilalamike kwa vile tu anakinga mkono buku 3,000 lumumba
Wewe kama unakinga ufipa hizo bukubuku usiingize wengine ,ukalipe kodi ya nyumba wake zenu wanalalamika,swala ni kua utoto unakusumbua,na kulalamika muache Mungu hapendi,hata ukitukana matusi ndio unavyoonesha ulivyo kariri upuuzi.
 
Back
Top Bottom