Tetesi: Askofu Kakobe aitwa tena kuhojiwa TRA tarehe 24/01/2018 saa 4 asubuhi

Tetesi: Askofu Kakobe aitwa tena kuhojiwa TRA tarehe 24/01/2018 saa 4 asubuhi

We mbwa kwa hiyo watz wasilalamike? Serukali kutoa huduma sio hisani ni wajihu na haistahili hata kuponhezwa....bahat mbaya ccm hawahidumij watz hata kwa 5% ya wanavotakiwa kuhudumiwa alafu mkurupukaji mmoja anataka tusilalamike kwa vile tu anakinga mkono buku 3,000 lumumba
Wake zenu huko ufipa wanalalamika kutunza familia pekeyao wamechoka,ndio mumemuona kakobe jemadari wenu wa kuropoka mmpelekee na wake zenu.
 
Wewe kama unakinga ufipa hizo bukubuku usiingize wengine ,ukalipe kodi ya nyumba wake zenu wanalalamika,swala ni kua utoto unakusumbua,na kulalamika muache Mungu hapendi,hata ukitukana matusi ndio unavyoonesha ulivyo kariri upuuzi.
Nimekupa like coz ww ni mjingamjinga
 
Really!!! Kama ni kweli basi kuna mushkeli mkubwa sana katika hii serikali. Si amini TRA(sehemu ya serikali) hawajui kuwa duniani ukiita wachungaji wenye hela hata 100 Kakobe hatakuwemo, lakini hatujawahi hata kusikia nchi hata moja serikali yake imeingia kwenye mgogoro na wachungaji aina ya Kakobe!!!!

Please serikali kuweni makini, mna "expose" nchi kwenye jicho la kimataifa kwa sura mbaya kabisa. Duniani kote nchi ambazo zimeingia kwenye mikwaruzano migumu kabisa ni zile ambazo mikwaruzano imehusisha imani za kidini. Na mikwaruzano hii kuitatua ni migumu kweli bila kujali ukubwa wa taifa, nani kaianzisha e.t.c. Inaendelea tuuu hata kama aliyeanzisha kesha toka katika utawala.

Kwahiyo serikali iwe makini sana. Kuna mambo mengi tu yanayohitaji msuli wa serikali, lakini hili la kucheza na imani za watu no. BIG NO. Watanzania inatupasa kuwa wakali kwenye hili. Kwani serikali ikishaona imeweza kucheza na wachungaji kama Kakobe, itahamia kwenye madhehebu ya imani kubwa kama Wakristo na Waislam na hapo ndo tutakapoingia kwenye mzunguko tusioweza kutoka(viscous circle).

Watanzania wa imani tofauti tunaisha kawaida huku mtaani bila kujali sana dini/madhehebu yetu. Lakini tusichukulie hivi vitu "for granted"!!!! We are not very different from others.
 
Nimekupa like coz ww ni mjingamjinga
Mjingamjinga wewe ,mgekua na akili wake zenu wangelialia mitandaoni?mnashindwa kuwalisha wake zenu na watoto wenu ,mnakuja tukana matusi mitandaoni hamuoni aibu?kushindwa mmeshashindwa tu hata mshinde mnatukana mitandaoni mchana na usiku ,hamna jipya wala nyimbo,mmeshindwa,tena nakuruhusu tukaaaanaaa mpaka ujinyee,na askofu wenu atakaguliwa tu,na Raisi ni magufuli tu hakuna mwingine.
 
Really!!! Kama ni kweli basi kuna mushkeli mkubwa sana katika hii serikali. Si amini TRA(sehemu ya serikali) hawajui kuwa duniani ukiita wachungaji wenye hela hata 100 Kakobe hatakuwemo, lakini hatujawahi hata kusikia nchi hata moja serikali yake imeingia kwenye mgogoro na wachungaji aina ya Kakobe!!!!

Please serikali kuweni makini, mna "expose" nchi kwenye jicho la kimataifa kwa sura mbaya kabisa. Duniani kote nchi ambazo zimeingia kwenye mikwaruzano migumu kabisa ni zile ambazo mikwaruzano imehusisha imani za kidini. Na mikwaruzano hii kuitatua ni migumu kweli bila kujali ukubwa wa taifa, nani kaianzisha e.t.c. Inaendelea tuuu hata kama aliyeanzisha kesha toka katika utawala.

Kwahiyo serikali iwe makini sana. Kuna mambo mengi tu yanayohitaji msuli wa serikali, lakini hili la kucheza na imani za watu no. BIG NO. Watanzania inatupasa kuwa wakali kwenye hili. Kwani serikali ikishaona imeweza kucheza na wachungaji kama Kakobe, itahamia kwenye madhehebu ya imani kubwa kama Wakristo na Waislam na hapo ndo tutakapoingia kwenye mzunguko tusioweza kutoka(viscous circle).

Watanzania wa imani tofauti tunaisha kawaida huku mtaani bila kujali sana dini/madhehebu yetu. Lakini tusichukulie hivi vitu "for granted"!!!! We are not very different from others.
Kakobe ni mtu mdogo sana si tu duniani hata hapa Tanzania.
Kwahio anatakiwa ajiongelee tu upupu tu kama anavyojitakia tu na nafsi yake?askofu lazima awe mweledi ,ajiheshimu,busara ili anaowaongoza waige mfano kwake,ivi kakobe si ndio alikataza tanesko wasipitishe umeme pale kwake,sasa unaona kakobe zimo sawasawa? Wangemchekea umeme ungepita kweli?kakobe ni mtu wa vurugu tu .
 
Hakuna Nchi Duniani inayoruhusu Rais wake kunenewa vibaya. Unajua kilichomkuta Diego Maradona kwa Rais Trump?
 
Malalamiko ya Kaya moja kamwe haiwezi kuchukuliwa kama "sample" ya kabila zima. Kwa taarifa yako Wafipa ni mojawapo ya makabila 10 Tz yanayoongoza kwa watu waadilifu watunzaji wazuri wa ndoa. Wanaheshimu sana kiapo cha ndoa. Kanisa Katoliki limefanyakazi sana Ufipa juu ya hili. Ni kabila la watu wenye ustaarabu wa hali ya juu. Watu wa makabila mengine wajapo Ufipa hawapendi kuhama, "wanalowea". Mtu mmoja mwenyeji kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa aliulizwa anaitathmini vipi Nchi ya Ufipa kwa kulinganisha na huko alikotoka? Baada ya kutafakari kwa kina kwa kitambo alijibu kwa kifupi, "HUKU NI MBINGUNI"! Hiyo ndiyo Ufipa kwa msioifahamu. Mnaochukuliwa na kudanganywa na hadithi za uongo juu ya Ufipa na Wafipa. Mnadanganywa na wachumia-tumbo akina Joyce! Karibuni Rukwa muwekeze, Hakuna hiyana!
 
Kakobe ni mtu mdogo sana si tu duniani hata hapa Tanzania.
Kwahio anatakiwa ajiongelee tu upupu tu kama anavyojitakia tu na nafsi yake?askofu lazima awe mweledi ,ajiheshimu,busara ili anaowaongoza waige mfano kwake,ivi kakobe si ndio alikataza tanesko wasipitishe umeme pale kwake,sasa unaona kakobe zimo sawasawa? Wangemchekea umeme ungepita kweli?kakobe ni mtu wa vurugu tu .

Mkuu unachoongelea ni tofauti na tahadhari niliyoitoa.
1. Kwenye BLUU. Kimsingi unakubaliana na mimi kuwa Kakobe ni mtu mdogo sana, thats right! Tatizo lipo ni je kama ni mtu wa kuonge upupu huoni serikali ina wekeza miguvu mingi sana kwa non-issues zake? Nakuhakikishia serikali ingekaa kimya ikaacha apite na huo upupu wake hiyo wala isingekuwa news kwenye media for 2 days.

2. Kwenye RED. Hayo mambo nimeyaelezea kwenye post yangu vizuri. Hayo ni mambo ya imani kati yake na wale anaowaongoza (nimeweka msisitizo kuwa mambo ya imani magumu sana). Wewe unaona kuwa anaongea upupu kama wewe, lakini je hao maelfu ya waumini wake wanaona hivyo? Kwangu mimi serikali ingeingilia pale tu anapovuka mipaka ya sheria za nchi, mfano mzuri ni uliotoa ni kuhusu issues zake na Tanesco lakini si vinginevyo.

3. Ugomvi wa sasa wa Kakobe unatokana na Serikali ya sasa kutopenda kukosolewa. Na wala si kwamba Kakobe ni wa kwanza kupata misukosuko ya aina hiyo kutoka kwa serikali hii. Wapo wengine wengi tu. Tatizo linapokuja unaponza kuzozana na Viongozi wa dini(Kumbuka issue ya Askofu wa kanisa katoliki kule Kagera kama sikosei) wanapokukosoa kwa kutumia Vyombo vya serikali kama Uhamiaji, Polisi, TRA e.t.c ina weka a very bad percedence.

4. Nimeona hapo juu una sema quote "Hakuna Nchi Duniani inayoruhusu Rais wake kunenewa vibaya. Unajua kilichomkuta Diego Maradona kwa Rais Trump?" end quote. Hiyo sio kweli hata kidogo. Hakuna rais duniani anayesemwa vibaya tena si tu na raia wa nchi yake bali hata wa nje kama wa Marekani. Leo hii kama Rais wetu angepokea hata 1/10 ya kejeli, mizaha, matusi e.t.c wanayopokea wanaokuwa marais wa Marekani, hii nchi ingekuwa ina waka moto sasa hivi, na magereza yasingetosha. Itoshe kusema tu kuwa rais/kiongozi wa mengi ya Mataifa yaliyoendelea inataka uwe na roho ngumu sana, freedom of speech kwenye nchi zao (compared to African countries and the like) tunaweza kusema ni Extended.
 
Mkuu unachoongelea ni tofauti na tahadhari niliyoitoa.
1. Kwenye BLUU. Kimsingi unakubaliana na mimi kuwa Kakobe ni mtu mdogo sana, thats right! Tatizo lipo ni je kama ni mtu wa kuonge upupu huoni serikali ina wekeza miguvu mingi sana kwa non-issues zake? Nakuhakikishia serikali ingekaa kimya ikaacha apite na huo upupu wake hiyo wala isingekuwa news kwenye media for 2 days.

2. Kwenye RED. Hayo mambo nimeyaelezea kwenye post yangu vizuri. Hayo ni mambo ya imani kati yake na wale anaowaongoza (nimeweka msisitizo kuwa mambo ya imani magumu sana). Wewe unaona kuwa anaongea upupu kama wewe, lakini je hao maelfu ya waumini wake wanaona hivyo? Kwangu mimi serikali ingeingilia pale tu anapovuka mipaka ya sheria za nchi, mfano mzuri ni uliotoa ni kuhusu issues zake na Tanesco lakini si vinginevyo.

3. Ugomvi wa sasa wa Kakobe unatokana na Serikali ya sasa kutopenda kukosolewa. Na wala si kwamba Kakobe ni wa kwanza kupata misukosuko ya aina hiyo kutoka kwa serikali hii. Wapo wengine wengi tu. Tatizo linapokuja unaponza kuzozana na Viongozi wa dini(Kumbuka issue ya Askofu wa kanisa katoliki kule Kagera kama sikosei) wanapokukosoa kwa kutumia Vyombo vya serikali kama Uhamiaji, Polisi, TRA e.t.c ina weka a very bad percedence.

4. Nimeona hapo juu una sema quote "Hakuna Nchi Duniani inayoruhusu Rais wake kunenewa vibaya. Unajua kilichomkuta Diego Maradona kwa Rais Trump?" end quote. Hiyo sio kweli hata kidogo. Hakuna rais duniani anayesemwa vibaya tena si tu na raia wa nchi yake bali hata wa nje kama wa Marekani. Leo hii kama Rais wetu angepokea hata 1/10 ya kejeli, mizaha, matusi e.t.c wanayopokea wanaokuwa marais wa Marekani, hii nchi ingekuwa ina waka moto sasa hivi, na magereza yasingetosha. Itoshe kusema tu kuwa rais/kiongozi wa mengi ya Mataifa yaliyoendelea inataka uwe na roho ngumu sana, freedom of speech kwenye nchi zao (compared to African countries and the like) tunaweza kusema ni Extended.
Tafadhali usome uelewe hiyo no 4.nimesema mimi?
1.serikali imeweka nguvu gani nyingi?kasema anapesa kuliko serikali na waende wakamkope,hiyo kauli kwa kiongozi sio kauli tata?serikali inavyomchunguza huyo mtu nyie mnasema si sawa,? Kweli?mlitaka aongee hivyo halafu tra wasiende kumkagua ili kama kweli anazo hizo pesa nyingi basi wachukue kodi yao kosa liko wapi?kapigwa?kalazimishwa kulipa kodi?wameenda kukaguliwa shida ni nini?naomba uniambie nguvu za ziada serikali iliyotumia,hii ni kawaida kwa mtanzania yeyote tra watakavyo suspect anahela isiyotozwa kodi kwenda kumkagua hata kama ni wewe.
  • 2.ndugu,kutengeneza waumini hata wachawi wana waumini,nabii tito anawaumini,hivyo mtu yeyote anaweza kutengeneza waumini,kwa jinsi anavyotaka?hivi serikali haina regularities za hizi imani?yeye akiwa anawaaminisha waumini wake bila kuleta fujo ni sawa,yeye sasa mbona kauli zake zinachochea fujo? Kaanza na tanesko,kaja na tra,yuko sawa kweli ?asichunguzwe?yeye kama taasisi ya ukristo anatakiwa awe systematic,anatakiwa awe na mwanasheria wa kumtafsiria mambo nashangaa kitu kidogo cha kukaguliwa na tra ndio nguvu kubwa?no Big no.
3.kuna kukosoa kwa hekima na kukosoa kwa kutokua na weledi au mhemko au msukumo fulani,viongozi wa dini wanatakiwa wawe na hekima katika kushughulikia maswala yoyote,hata maandiko yanasema,"nimewatuma kuhubiri neno katikati ya mbwamwitu,basi muwe werevu kama tai na hekima kama nyoka.hivyo anavyofanya kakobe ni hekima ya kimungu kweli?anasimama anasema sihitaji chai ya ikulu,ndio hekima kweli?au kuna motive behind?
4.naona umeamua kuniatack mimi ndio maana hiyo no 4. Unaniuliza mimi badala ya kumuuliza alieandika
 
Mjingamjinga wewe ,mgekua na akili wake zenu wangelialia mitandaoni?mnashindwa kuwalisha wake zenu na watoto wenu ,mnakuja tukana matusi mitandaoni hamuoni aibu?kushindwa mmeshashindwa tu hata mshinde mnatukana mitandaoni mchana na usiku ,hamna jipya wala nyimbo,mmeshindwa,tena nakuruhusu tukaaaanaaa mpaka ujinyee,na askofu wenu atakaguliwa tu,na Raisi ni magufuli tu hakuna mwingine.
We mbwa nimekupa tena like
 
Kakobe ni mtu mdogo sana si tu duniani hata hapa Tanzania.
Kwahio anatakiwa ajiongelee tu upupu tu kama anavyojitakia tu na nafsi yake?askofu lazima awe mweledi ,ajiheshimu,busara ili anaowaongoza waige mfano kwake,ivi kakobe si ndio alikataza tanesko wasipitishe umeme pale kwake,sasa unaona kakobe zimo sawasawa? Wangemchekea umeme ungepita kweli?kakobe ni mtu wa vurugu tu .
Well said
 
Mjingamjinga wewe ,mgekua na akili wake zenu wangelialia mitandaoni?mnashindwa kuwalisha wake zenu na watoto wenu ,mnakuja tukana matusi mitandaoni hamuoni aibu?kushindwa mmeshashindwa tu hata mshinde mnatukana mitandaoni mchana na usiku ,hamna jipya wala nyimbo,mmeshindwa,tena nakuruhusu tukaaaanaaa mpaka ujinyee,na askofu wenu atakaguliwa tu,na Raisi ni magufuli tu hakuna mwingine.
I guess kachokoza nyuki!
 
Back
Top Bottom