General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Askofu kaingia choo cha kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hiyo bill waliyopelekewa barick imeshalipwa?Huyu inatakiwa apelekewe ile bill kama ya barrick
Kwa tamaa zenu mnataka kuingiza nchi kwenye laana kubwa sana , nchi yeyote yenye akili timamu haisakami viongozi wa dini .Huyu inatakiwa apelekewe ile bill kama ya barrick
Shit & ass holeHuyu inatakiwa apelekewe ile bill kama ya barrick
Tueleze wewe Mama Kakobekwani yeye hana?
Nchi inajitia aibu haijawahi tokea toka kuumbwa ulimwenguHii sasa sifa. Certified wezi na invoice walipewa ila wamegoma kulipa na efforts sasa tunahamishia kwingine.
Comment yako imenifanya nicheke kwa nguvu, mpaka jirani yangu amenishangaa![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kutubu wala haichukui lisaa lakini bado tu mjomba anakomaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kutubu wala haichukui lisaa lakini bado tu mjomba anakomaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Una akili sana; kimsingi ulipaswa kuitwa STATE HOUSE; siyo Babati- kanji kadogo. JUST IMAGINE, kama walikula RAMBIRAMBI, seuse sadaka!!!TRA imekosa vyazo vya maana imeanza kusumbua makanisa.
BADO; na ndio kwanza yuko busy KUONGEZA idadi ya dhambi!!!Kwani hajatubu Jamani??
HASWAAA! There you are. Kumsumbua mtu muovu linaweza kuwa ni kosa, zaidi sana to the innocent one!Wanatafuta laana tu, l
hivi pesa zetu za acacia washatulipa manake naona kimya sana, tupeni mrejesho basiHii sasa sifa. Certified wezi na invoice walipewa ila wamegoma kulipa na efforts sasa tunahamishia kwingine.
Kakobe na Tito ni viongozi wa dini?!!!Kwa tamaa zenu mnataka kuingiza nchi kwenye laana kubwa sana , nchi yeyote yenye akili timamu haisakami viongozi wa dini .
Kirikuuu banaKutubu wala haichukui lisaa lakini bado tu mjomba anakomaa[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Wawalipe kwani mnawadai? Mtetezi wa wanyonge kimyaaaaa....hivi pesa zetu za acacia washatulipa manake naona kimya sana, tupeni mrejesho basi