Askofu Kakobe: Kinachoendelea katika Bunge la Katiba ni uhuni

Kakobe ni mtumishi wa Mungu aliye hai, ahsante sana kwa ukweli huu mchungu na safari hii nikija dar itabidi nimwe muumini wa kanisa lake kabisa ili nichote maarifa.
 
Utake usitake Kakobe ni mhuni na Kama wewe ni mmoja wa waumini wake wote ni walewale.

Ninyi ndiyo mnaoiharibia CCM, mkidhani kwamba mnaisaidia! CCM ni Chama Cha Majanga!!!!
 
Kakobe ni mtumishi wa Mungu aliye hai, ahsante sana kwa ukweli huu mchungu na safari hii nikija dar itabidi nimwe muumini wa kanisa lake kabisa ili nichote maarifa.

Watumishi wa Mungu wanajionyesha kwa vitendo vyao kwenye Jamii bila kujali Imani Au itikadi na si kwa kupigiwa debe na waumini wao wa makanisani ambao wanawaona Kama miungu.
 
Sitakaaa nimuamin huyu mchungaj kwan n mchonganishi sana na n mtu wa kuwagawa wananch ,ukiona mtu anatumia mwanvuli wa dini kuingia kwnye mambo ya siasa muogope kama ukoma kama sio kumpuuza

Hajatumia dini ila ww unamchukia kakobe.alichosema ni uhalali wa bunge la katiba kufanya wanachofanya sasa.
 
CCM wanachezea sana Tanzania halafu nazidi kushangaa watu wanawashangilia
 
Katika Maasikofu na Wachungaji waliomakini Tz amebaki Kakobe tu. Wengi wamebaki kutangaza michango tu bila kuwambia waumini wao ukweli.

Mwingine ambaye anaweza nena ni Mwingira zaidi ya hapo sijaona.

Dini zote ziseme kitu maana CCM inaua nchi.
 
Unawafanya watumishi wa Mungu kuwa waganga wa kienyeji wakati kuna Kingunge aliyetangazwa rasmi na Rais Kikwete kuwa ndiye kiongozi mkuu wa waganga/wachawi wote nchini? Nadhani mshirikina mwingne ni Kikwete ambaye Shekhe Yahaya alisema kuwa analimdwa na majini.

Huyu mganga wa kienyeji naye anyamaze tu asitusumbue kabisa na madawa yake ya jadi.
 
inaelekea hawa ukawa wameshikwa na kichaa wanaweweseka ovyo. inakuaje watu waliokua wanajidai wanataka katiba wanakimbia bmk. huo waraka wa makanisa ya wachumia tumbo hauwezi kubadilisha kitu. nani anatumia ubabe kati ya ccm na ukawa? tangu lini muafaka iwe wachache kulazimisha wengi? ccm kina ridhaa kubwa ya wananchi kina haki sera zake za kimsingi kuheshimiwa. sio kujidai kuongelea wananchi wakati kura zinaoyesha nani anawakilisha wananchi. endeleeni na kakobe kenu bunge linaendelea.
 
Ukweli tu ndo utakaoondoa uhuni km Huu ktk taifa hili tajiri la rasilimali lkn masikini wa mawazo
 
Namwamini Zachary Kakobe.

Lakini kwa nini asifute na ile kauli aliyotoa mwaka 2005 kuwa Kikwete ni Mteule wa Mungu? Sasa Kakobe amefunguka macho. Alikuwa kipofu hapo awali.
 
.................................................................................................................................................................
Ni kweli Kabisa hiki alichokisema Mheshimiwa Baba Askofu Kakobe.Naunga mkono kwa asilimia milioni kumi!.Wanaopinga ni wale tu wanaotetea matumbo yao tu lakini dhamiri zinawashtaki.Msema kweli bila unafiki wowote ataungana na ukweli huu.Kinachoendelea kwa sasa bunge maalumu la katiba ni uhuni uliopitiliza!
 
Kakobe ni askofu kanjanja.
kwa sababu kasoma tamko lililotolewa na baraza la wakristo? Bado waislamu nao watatoa tamko lao kuhusu kuchakachuliwa kwa maoni yao na maccm hasa swala la kadhi. Jiandae kubeba majeneza ya magamba kisiasa wee choo sijui cha kike

 
Tunaomba upande wa pili na nyinyi pazeni sauti hawa mahahafidhina waumbuke!

Washasema sanaa masheikh mpaka leo wengine wako ndani wanaadhalilishwa na ndochanzo cha kuibuka hiyo katiba inayojadiliwa
 
Namwamini Zachary Kakobe.

Lakini kwa nini asifute na ile kauli aliyotoa mwaka 2005 kuwa Kikwete ni Mteule wa Mungu? Sasa Kakobe amefunguka macho. Alikuwa kipofu hapo awali.

Eti Kakobe aliwahi kusema Kikwete ni mteule wa Mungu!!!!!???? NOP! Wewe hujamjua Kakobe !!!!
 
Zamani makanisa alikuwa yanatenga wanaohatarisha amani ya kanisa na watu wote. Kwa nini wasiwatenge hao wanaohujumu katiba ambayo ndio kila kitu katika maisha ya watz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…