Askofu Kakobe: Tanzania ni mpango wa shetani; Tanganyika inakuja!

Askofu Kakobe: Tanzania ni mpango wa shetani; Tanganyika inakuja!

Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:

View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.

Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Nilisema hili swala bandari halitamuacha mtu salama, na mtanganyika yoyote anae tumika kama Dalali , atafutika kama upepo asema Bwana
 
Kuuvunja Muungano ni kiu ya wazanzibar ya miaka mingi, Huenda watashukuru sana kwa tukio hilo.
Lakini Watanganyika kukataa Bandari kuendeshwa na Kampuni ya nje ni kujinyima fursa adhimu ya kuipaisha Tanganyika kiuchumi .
Kakobe anaendeshwa na hisia zake binafsi kwa kumchukia Raisi Mzanzibari , si vyengine. Ile Hijabu ya mama pale ikulu inawaumiza nyoyo watu hawa wa makanisa.
Kama raisi akiwa Mkatoliki (mkiristo na akfanya maamuzi kama hayo kwa Watanganyika hawa hawa watamsifu na kumpongeza).
Kwani Bandari hii hii ilikuwa chini ya kampuni ya TICS kwa miaka 20 iliyopita ilisainiwa na Mkapa. Ufanisi wake ulikuwa kwa kiasi lakni bado uko chini ya viwango tarajiwa ndio maana Mkataba ulipokwisha wakaona walete kampuni nyingine iliyo bora zaidi ili kuongeza ufanisi na kuendana na wakati.

To Hel,
wacha Muungano uvunjike,
kwani Mama yuko pale kutimiza wajibu wake kama Raisi wa nchi
Washuri wake 90% ni watanganyika. Mimi sijaona kasoro yoyote,.
Kwa mara ya kwanza Bunge limeshirikishwa kuridhia mkataba huu ili kutanua wigo wa ushirikishwaji.
Bado watu wanendelea kuchochea kuvunjwa kwa Muungano ili Samia Arudi Zenji.
Mbona hili liko wazi, Watanganyika wakifanya Mistake hii watatukamatia chumbe kwa Maendeleo .
Zanzibar imekwama kimaendeleo kwa miaka 60 sasa kwa sababu ya Dubwana hili Muungano ulio chini ya Tanganyika.

Any way
Tanganyika kwa sasa ni yetu sote, wacha wazanzibar wafaidi tunda la Muungano na
Zanzibar ni ya Wazanzibari pekeyao.Wanaofaidi ni wazanzibar pekeyao.
 
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:

View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.

Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Siku akisema mtaparanganyika vyama vyenu vya upinzani Kwa jiiiiiiiiinaaa la Yesuuuuu. Amunaa. Urudi Tena hapa kutujuuuzaa
 
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:

View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.

Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.

Hii ni current kweli?
 
Sakata la wazanzibar kuhusika kuuza bandari ya Dar (mali ya watanganyika) kwa waarabu wa Dubai kwa bei ya kutupa kunauweka muungano katika hatari ya kumeguka vipande vipande. Na kwa hasira hizi ambazo zimeoneshwa na watanganyika, naogopa huu muungano unakaribia ukingoni.

Tukumbuke kwamba banadari ni suala la muungano lakini hawa watu wameamua kwa makusudi kuvunja sheria na kuuza bandari ya Tanganyika huku banadari za kwao Zanzibar zikibaki salama. Hii haikubaliki hata kidogo. Wazanzibar ni watu ambao wanapenda kuuza vitu ovyo. Rais Hussein Mwinyi kauza karibu visiwa vyote vya Zanzibar kwa mabeberu. Baada ya kuona amemaliza visiwa vyote nahisi amemshauri mzanzibar mwenzake naye auze bandari ya Tanganyikakwa kwa waarabu.

Kwa kuwa waarabu wanahusishwa na suala la ugaidi, tutarajie nchi yetu kuingia kwenye mizozo ya kigaidi, hasa ukizangatia kwamba serikali ya Tanganyika haitakuwa na mamlaka ya kujua ni nini kinaingia wala kutoka bandarini. Hata kodi watazuiliwa kukusanya. Sio ajabu waarabu wakatumia mwanya huo kupenyeza magaidi na silaha za maangamizi kuja nchini na kuifanya nchi kujaa magaidi kila kona. Matokeo yake magaidi wakishajaa hapa nchini, Marekani itai-label Tanganyika kama nchi ya kigaidi na kuinyima misaada ya kiuchumi. Tutakuwa wageni wa nani jamani?
Dear Sir, you are talking about UAE not Iran!!!
 
tena jambo kubwa sana lengo kubwa ni kukaribisha hao waarabu nchini halafu baada ya muda watakuwa wamejazana hapa na kwa uwingi wao waweze kuwadhoofisha waTanganyika then wabaki na Tanganyika yetu ili iwe nafuu kwa wazanzibar maana ni wamoja hivyo basi tunapaswa kuwa makini sana na kumshirikisha Mungu katika hili hawa wenzetu wana vinyongo visivyoisha na bado katika muungano wanaona wanaonewa.
Kama wanavyojazana Europe baada ya miaka 30 ijayo wataitawala
 
Mama ndo wakwanza kubinafsisha mali za ummah? Maraisi wote wamehusika katika ubinafsishaji.
Tofautisha kati ya kuuza na kubinafsisha? Mama ameuza nchi ya Tanganyika kwa waarabu wenzake. Anataka Tanganyika na Zanzibar ziwe chini ya Sultan wa Oman ili turudi kwenye utumwa mamboleo wa waarabu. Hatukubali ng'o!
 
Back
Top Bottom