Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Duuh aisee viongozi wa dini wakihamsisha maandamano yanawezekana ujue...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya kuvunjika kwa muungano kuna hasala kwa atakaevunja, hivi Hamkumsikia Lukuvi akizitaja? Kweli Mipango ya mwalimu Nyerere Leo yakutwezwa nakuitwa ya shetani? Kweli kanisa Katoliki halioni hili?Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:
View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.
Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Haya anayoyasema huyu chawa hayaweza kuhalalisha uuzwaji wa mali za Tanganyika kwa waarabu kwa bei ya kutupwa? Wao ndio wananufaika na muungano lakini kila siku wanatuletea chokochoko za kipuuzi. Wana nini lakini hawa wala urojo?Just incase you live under the cage....👇
Swali.
Tanganyika ikarudi, nini tutapata zaidi?
Magufuli alibinafsisha nini..Mama ndo wakwanza kubinafsisha mali za ummah? Maraisi wote wamehusika katika ubinafsishaji.
Lengo kuu ni lipi?Rais Mzanzibari, Waziri Mzanzibari katibu mkuu wa Wizara Mzanzibari.
Mali ya Tanganyika.
Hawa walijipanga kabisa kuiuza bandari.
Wamekusudia wala sio kukosea.
Ni kwa makusudi kabisa.
Mtajuta wenyewe yeye anakula bataRais Samia kwa hilo ninao uhakika atalijutia sana na limewafanya Wananchi wawe na mashaka naye!
Anao mda, ajisahihishe kwa maana kukosea kupo.
Watanganyika wenye akili ni wachache, akipatikana mmoja badala ya kulindwa na kuchungwa kama tunu basi wezi huja kuvunja nyumba na kumuiba kisha kumpoteza.Rasilimali zetu ni urithi wetu siyo mambo ya kuzigawagawa kama pipi
Kama bandari ya sarama/bandari sarama imeuzwa na wazanzibar basi wazanzibari wameiuza bandari yao wasilaumiweWakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:
View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.
Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
Acha kumuharibia uongozi mama yetu!Mtajuta wenyewe yeye anakula bata
Nafikiri lengo kuu lipo "deep" chini kabisa.Maslahi binafsi.
Wazanzibar hawawezi kuuvunja muungano kabla ya kuuza mali za Tanganyika kwa waarabu wenzao. Uuzaji huu wa mali za Tanganyika ni mwanzo wa kuvunjika kwa muungano. Watanganyika wasipochukua hatua, ipo siku nao watauzwa utumwani kwa waarabu.Kuuvunja Muungano ni kiu ya wazanzibar ya miaka mingi, Huenda watashukuru sana kwa tukio hilo.
Lakini Watanganyika kukataa Bandari kuendeshwa na Kampuni ya nje ni kujinyima fursa adhimu ya kuipaisha Tanganyika kiuchumi .
Kakobe anaendeshwa na hisia zake binafsi kwa kumchukia Raisi Mzanzibari , si vyengine. Ile Hijabu ya mama pale ikulu inawaumiza nyoyo watu hawa wa makanisa.
Kama raisi akiwa Mkatoliki (mkiristo na akfanya maamuzi kama hayo kwa Watanganyika hawa hawa watamsifu na kumpongeza).
Kwani Bandari hii hii ilikuwa chini ya kampuni ya TICS kwa miaka 20 iliyopita ilisainiwa na Mkapa. Ufanisi wake ulikuwa kwa kiasi lakni bado uko chini ya viwango tarajiwa ndio maana Mkataba ulipokwisha wakaona walete kampuni nyingine iliyo bora zaidi ili kuongeza ufanisi na kuendana na wakati.
To Hel,
wacha Muungano uvunjike,
kwani Mama yuko pale kutimiza wajibu wake kama Raisi wa nchi
Washuri wake 90% ni watanganyika. Mimi sijaona kasoro yoyote,.
Kwa mara ya kwanza Bunge limeshirikishwa kuridhia mkataba huu ili kutanua wigo wa ushirikishwaji.
Bado watu wanendelea kuchochea kuvunjwa kwa Muungano ili Samia Arudi Zenji.
Mbona hili liko wazi, Watanganyika wakifanya Mistake hii watatukamatia chumbe kwa Maendeleo .
Zanzibar imekwama kimaendeleo kwa miaka 60 sasa kwa sababu ya Dubwana hili Muungano ulio chini ya Tanganyika.
Any way
Tanganyika kwa sasa ni yetu sote, wacha wazanzibar wafaidi tunda la Muungano na
Zanzibar ni ya Wazanzibari pekeyao.Wanaofaidi ni wazanzibar pekeyao.
Yaani!etii!kwamba:-Lengo kuu ni lipi?