Askofu Kakobe: Tanzania ni mpango wa shetani; Tanganyika inakuja!

Rais Mzanzibari, Waziri Mzanzibari katibu mkuu wa Wizara Mzanzibari.

Mali ya Tanganyika.

Hawa walijipanga kabisa kuiuza bandari.

Wamekusudia wala sio kukosea.

Ni kwa makusudi kabisa.
 
Bahati mbaya kuvunjika kwa muungano kuna hasala kwa atakaevunja, hivi Hamkumsikia Lukuvi akizitaja? Kweli Mipango ya mwalimu Nyerere Leo yakutwezwa nakuitwa ya shetani? Kweli kanisa Katoliki halioni hili?
 
Just incase you live under the cage....👇

Swali.
Tanganyika ikarudi, nini tutapata zaidi?
Haya anayoyasema huyu chawa hayaweza kuhalalisha uuzwaji wa mali za Tanganyika kwa waarabu kwa bei ya kutupwa? Wao ndio wananufaika na muungano lakini kila siku wanatuletea chokochoko za kipuuzi. Wana nini lakini hawa wala urojo?
 
Ile meseji wanasambaza kila kanisa ili kuleta mtifuano ..

kwa nn msije na mkataba ukiwa na hints zake mkachambua mnakuja na hoja za hofu kitu ambacho hakipo.


Muungano hata ukivunjika hakuna mtu atakufa wala kupata hasara ,maisha yataendelea ila tambua hata sisi kikanda watu bado wanabaguana .
 
Katiba Mpya itakayo heshimiwa na wote ndiyo suluhisho badala ya sasa vigogo na watawala kuamua mambo kwa utashi binafsi bila kuzingatia katiba inayokubalika na wananchi wa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar .

Maneno haya ya Askofu Kakobe ingawa ni ya miaka mingi kwa kufuatana digital footprint ya video clip hii kuwa ni ya muda mrefu uliopita lakini nao maneno yake yamedumu na leo 2023 kuna gumzo kubwa kuhusu mamlaka za Tanganyika na Zanzibar katika Muungano yanahojiwa, mipaka yake, haki zake n.k
 
Sauti ya viongozi wa Dini ni sauti ya Mungu watu na serikali!haya Marehem Camiillius alionywa na hawa hawa viongozi wa Dini nini kilitokea baada ya kushupaza shingo!!?

TEC WANAKUTANA,MAWAKILI MAHAKAMANI WANAENDA,HUKU WATUMISHI WA MUNGU NAO ROHO ALIOWASHUKIA ANANENA KWA LUGHA YA TANGANYIKA,

WALIOKARIBU NA MAMA WAMSHAURI SAWA SAWA!!!

Mungu IBARIKI Tanzania nchi yetu niipendayo sana
 
Kama bandari ya sarama/bandari sarama imeuzwa na wazanzibar basi wazanzibari wameiuza bandari yao wasilaumiwe

Na Kama tutataka muungano uvunjike basi tuwaachie dar es laam yao tuwaachie na pwani yao pia ikiwemo na bandari yao ya dar esraam 😡😡
 
Wazanzibar hawawezi kuuvunja muungano kabla ya kuuza mali za Tanganyika kwa waarabu wenzao. Uuzaji huu wa mali za Tanganyika ni mwanzo wa kuvunjika kwa muungano. Watanganyika wasipochukua hatua, ipo siku nao watauzwa utumwani kwa waarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…