Askofu Kakobe: Tanzania ni mpango wa shetani; Tanganyika inakuja!

Umeandika vzr umekuja kumaliza na utumbo, marekani ni nani mpaka tushindwe tutegemee msaada wao? Hizi akili za kitumwa za kuwaza kusaidiwa ndomana tunazidi kuwa maskini nchi hii
 
Umeandika vzr umekuja kumaliza na utumbo, marekani ni nani mpaka tushindwe tutegemee msaada wao? Hizi akili za kitumwa za kuwaza kusaidiwa ndomana tunazidi kuwa maskini nchi hii
Nisamehe bure mkuu; nimevurugwa na uuzwaji wa banadari yetu kwa waarabu.
 
ngoja tuuvunje tukawakamatie huko chunji.swala hapa si uzanzibar bali kwa nini mali za watanganyika ziuzwe.kama hawa waarabu wanatija basi wapelkwe bandari za zanzibar tuone.kwa nini wananga'ng'a huku tanganyika?ukatoliki kwenye mada hii unatoka wapi kama siyo swala la ubaguzi tu.mbona huko zanzibari mnawabagua wakristo na watanganyika wako kimywa?
 
na kuinyima misaada ya kiuchumi
Hivi ninyi huwa mnawaza misaada tu? Lini mtajitegemea nyie watu weusi? Akili za kimaskini daima huwa zinawaza misaada tu, wakati mali mmezikalia.

Wake up!

Natamani hiyo misaada ikatishwe for good hadi akili za kujitafutia wenyewe ziwakae.
 
Hivi ninyi huwa mnawaza misaada tu? Lini mtajitegemea nyie watu weusi? Akili za kimaskini daima huwa zinawaza misaada tu, wakati mali mmezikalia.

Wake up!

Natamani hiyo misaada ikatishwe for good hadi akili za kujitafutia wenyewe ziwakae.
Nchi kusaidiana kiuchumi na kimaendeleo ni jambo la kawaida sana jomba. Marekani inaomba misaada China sembuse sisi waswahili? Acha roho mbaya mkuu.
 
Utendaji wa Serikali ya Rais SSH unaweza kusababisha kuvunjika kwa Muungano au kuwepo Muungano wenye Serikali 2 (Tanganyika na Zanzibar). Vitendo vya Serikali kukumbatia Waarabu ambako Rais SSH ana Wajomba ni hatari
 
Utendaji wa Serikali ya Rais SSH inaweza kusababisha kuvunjika kwa Muungano au kuwepo Muungano wenye Serikali 2 (Tanganyika na Zanzibar). Vitendo vya Serikali kukumbatia Waarabu ambako Rais SSH ana Wajomba ni hatari
Kwani warabu si ndugu zetu jameni, kuna shida gani kubaguana karne hizi?
Mbona Kina mama zetu wanjichubuaga ili kufananaga na warabu, na kujibandika manywele bandia, si wanwapenda jamani.
Na wengine wakpata bahati ya kupata Dume la mbegu hawaliachii.
Hata wewe ukipata kbinti cha kiarabu unaweza hata kuuza Ngombe wote ilimradi tuu umvue nguo Mtoto wa kimanga.
Sasa shida ya nini wacheni waje waekeze kwetu ili tuingiliane kidamu na kimipangilio.
 
Nchi kusaidiana kiuchumi na kimaendeleo ni jambo la kawaida sana jomba. Marekani inaomba misaada China sembuse sisi waswahili? Acha roho mbaya mkuu.
Sasa wewe kwa akili yako unadhani Tanzania tunahitaji msaada wowote? Kwa taarifa yako, nchi yetu inaweza kujiendesha yenyewe vizuri sana bila msaada wala mkopo wa Mzungu. That's a fact!
 
RIP Rev. Christopher Mtikila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…