MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 595
Atueleze ni kwanini anapata taabu kuamini ? Nadhani hakupata taabu UAMSHO walipoitwa magaidi ?. I see a pattern here.Mzee wa Upako anapata taabu sana kutambua kama kweli Mh Mbowe ni Gaidi au Sio Gaidi.
Siamini kama Mbowe ni gaidi by the way, profile yake tuu haifit na izo tuhuma. Nadhani viongozi wengi wa CCM wana tatizo la kujiamini, personally si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Na sijawahi kuomba uanachama hadi sasa, nasimama na haki tuu na jamii ilipo. Samia anaweza shinda uchaguzi bila ya hila wa ghilba yoyote katika uchaguzi, hamna haja ya kuwa na pressure yoyote jikiteni zaidi katika kuleta maendeleo na kuchapa kazi.
Wekeni maslahi ya taifa mbele kuliko ushindani usio na tija kwa jamii. Si lazima kushinda kwa kishindo kila uchaguzi, sheria zibadilishwe zinadumana hatua za maendeleo katika taifa.
Maasalaam.