Askofu Lusekelo (Mzee wa Upako): Kesi ya Mbowe inakera sana na inaniumiza moyo

Mzee wa Upako anapata taabu sana kutambua kama kweli Mh Mbowe ni Gaidi au Sio Gaidi.
Atueleze ni kwanini anapata taabu kuamini ? Nadhani hakupata taabu UAMSHO walipoitwa magaidi ?. I see a pattern here.

Siamini kama Mbowe ni gaidi by the way, profile yake tuu haifit na izo tuhuma. Nadhani viongozi wengi wa CCM wana tatizo la kujiamini, personally si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Na sijawahi kuomba uanachama hadi sasa, nasimama na haki tuu na jamii ilipo. Samia anaweza shinda uchaguzi bila ya hila wa ghilba yoyote katika uchaguzi, hamna haja ya kuwa na pressure yoyote jikiteni zaidi katika kuleta maendeleo na kuchapa kazi.

Wekeni maslahi ya taifa mbele kuliko ushindani usio na tija kwa jamii. Si lazima kushinda kwa kishindo kila uchaguzi, sheria zibadilishwe zinadumana hatua za maendeleo katika taifa.

Maasalaam.
 
Kuna watu wanaitwa kina malaria sugu, mti mkavu, riz 1 nk enzi za JK wapo humu, wote hao walikua wanakula hizo buku 7. Fatilia tu vizuri historia ya JF utaona hilo mkuu
Hao wote hawakua na athari Kama hivyo virusi vya Pole pole.
Watu walitekwa, waliuliwa walifungwa lakini wao walitetea tu.
 
Hao wote hawakua na athari Kama hivyo virusi vya Pole pole.
Watu walitekwa, waliuliwa walifungwa lakini wao walitetea tu.
Najua hilo, tukubaliane sasa kwamba unabadiri topic. Nilicho jadiri ni muasisi wa Lumumba buku 7 sports club kwamba sio utawala wa Magufuli/Polepole, ni utawala wa Kikwete/Nape Nnauye. Hilo la kutekwa kuuawa nk sote tunajua kwamba lilishamiri sana enzi za mwendazake
 
Waliopata kufahamika ni wa kipindi Cha MAGUFULI.
Wengi tulikuwa hatujui Mambo ya LUMUMBA BUKU 7
 
pale unaona kuna ushahidi au uhuni tu? Hata Std 7 leaver anaelewa mchezo wao
 
Mkuu sasa unataka mtu akipata taabu kuamini ndio apate tabu kwa kila jambo?
 
Mkuu sasa unataka mtu akipata taabu kuamini ndio apate tabu kwa kila jambo?
Hakutueza ni kwanini isiwezekane, wakati wa UAMSHO walipoitwa magaidi nadhani alijiridhisha na kuona ni sawia...that will be guess. Kama nilivyosema awali, I see a pattern.
 
Nadhani sasa tumeona kinachoenelea.
 
Anapata tabu kwa sababu Kesi ya Mbowe hakuna shaka kuwa imepikwa
 
Yametimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…