Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wakati TAL anashambuliwa na kutandikwa risasi naona baba Askofu alikuwa mawinguniHili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
Hahahaa ngoja nisicomment kitu hapa.Hili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
KKKT kwa huyu askofu na mkuu wa kanisa lenu mmepiga nje. Huyu sio mkristo hata kidogo na hana harufu ya uchamungu bali ni chawa mkubwa wa watawalaHili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
Wakati TAL anashambuliwa na kutandikwa risasi naona baba Askofu alikuwa mawinguni
Maana TAL akuwindwa tu Bali kitendo kilitendeka sikuona mahali akilaani tukio hilo
KKKT ni Tawi la CCM. Hovyo kabisa.
Angesema tu anasikitishwa na Sendeka kuwindwa na risasi na sio watanzania.Hili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
Ni bora angesema anasikitishwa na kuwindwa kwa Kada mwenzake.Angesema tu anasikitishwa na Sendeka kuwindwa na risasi na sio watanzania.
Mkuu mbona hukugombea uaskofu?Hili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
Wajinga sana ninyi.KKKT kwa huyu askofu na mkuu wa kanisa lenu mmepiga nje. Huyu sio mkristo hata kidogo na hana harufu ya uchamungu bali ni chawa mkubwa wa watawala
Muulize Askofu Mwaikali na wachungaji wake akina Kajela na MwambolaMkuu mbona hukugombea uaskofu?
Samia hakumtembelea Lissu , bali alipitia tu hospitali baada ya Mkutano wa Nairobi kumalizika , Alli Hassan Mwinyi ndiye aliyemtembelea Lissu Hospitali kutoka moja kwa moja Dar , hakutoka kwenye seminaWajinga sana ninyi.
Mama Samia alimtembelea Lissu Nairobi kitandani hospitali.
Mbona kumbukumbu senu kama vibulushuti vya chekechea?
Nyie wajinga ndio waliwao, kwa hiyo kupitia kumuona ni sawa na kutopita!Samia hakumtembelea Lissu , bali alipitia tu hospitali baada ya Mkutano wa Nairobi kumalizika , Alli Hassan Mwinyi ndiye aliyemtembelea Lissu Hospitali kutoka moja kwa moja Dar , hakutoka kwenye semina
Wale nasikia wachawi, wewe ulikuwa nao?Muulize Askofu Mwaikali na wachungaji wake akina Kajela na Mwambola