Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KKKT sio tawi la CCM ila, CCM walilazimisha Malasusa avunje katiba ya KKKT na kuteuliwa Mara ya tatu kuiongoza KKKT.KKKT ni Tawi la CCM. Hovyo kabisa.
We jamaa una akili ndogo mno. Kwa hiyo kumtembelea mtu hospitalini ni hadi utokee nyumbani kwako?Samia hakumtembelea Lissu , bali alipitia tu hospitali baada ya Mkutano wa Nairobi kumalizika , Alli Hassan Mwinyi ndiye aliyemtembelea Lissu Hospitali kutoka moja kwa moja Dar , hakutoka kwenye semina
Hadi hapo tayari mmeshapotea njia. Mnapambana na mtu asiye sahihi kwenye safari yenu ya kisiasa. Mnapoteza mudaHuyu mzee hana tofauti na UWT akina Lucas Mwashambwa
Ingependeza angeanza kufa mamako kwasababu siku hizi hakati kabisa viuno. Kawa uselessEnhee.... Tanzania ina watumishi wa Mungu wanafiki sana,huyo Sendeka angekufa tu halina faida yoyote hilo zee swaini
Hivi kuna watu humsikiliza huyo?Hili ni swali tu kwako Baba Askofu, kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka, basi bila shaka ama hukuwepo Duniani, au ulifungiwa ndani ya mazabahu.
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema.
Ni mnafikiHili ni swali tu kwako Baba Askofu, kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka, basi bila shaka ama hukuwepo Duniani, au ulifungiwa ndani ya mazabahu.
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema.
Huyo jamaa yupo kimkakati sanaWakati TAL anashambuliwa na kutandikwa risasi naona baba Askofu alikuwa mawinguni
Maana TAL akuwindwa tu Bali kitendo kilitendeka sikuona mahali akilaani tukio hilo
Simpendi kabisa mnafikiKKKT ni Tawi la CCM. Hovyo kabisa.
Usilolijua ni sawa na usiku wa giza mwache baba askofu apige kaziHili ni swali tu kwako Baba Askofu, kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka, basi bila shaka ama hukuwepo Duniani, au ulifungiwa ndani ya mazabahu.
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema.
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema.📌🔨Hili ni swali tu kwako Baba Askofu, kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka, basi bila shaka ama hukuwepo Duniani, au ulifungiwa ndani ya mazabahu.
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema.
Usilizalilishe kanisa letu, mambo yenu ya siasa mfanye huko huko. Kanisa Liachwe na mambo ya kitumeKKKT ni Tawi la CCM. Hovyo kabisa.
Malasusa ni Askofu mnafiki kuwahi kutokea! Anaponzwa na u-CCM.Hili ni swali tu kwako Baba Askofu, kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka, basi bila shaka ama hukuwepo Duniani, au ulifungiwa ndani ya mazabahu.
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema.
Hata kuhubiri neno hajuiHivi kuna watu humsikiliza huyo?
Duuuh !Hata kuhubiri neno hajui
Za chini ya kapeti japo Askofu lakini ni systemHuyo jamaa yupo kimkakati sana
Hivi hao system ni watumishi wa Umma au ni watumishi wa ccm ?Za chini ya kapeti japo Askofu lakini ni system