EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Sononeka mpaka ufe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia kwenye anga zao ndio utajua ni watu wa serikali au CCM. Hapana chezea wala kusema vibaya hao ndugu zetu. Onyekangi
Hivi hao system ni watumishi wa Umma au ni watumishi wa ccm ?
Tukitwaa madaraka 2025 kama Mungu alivyopanga tutaondoa hali hiiI
Ingia kwenye anga zao ndio utajua ni watu wa serikali au CCM. Hapana chezea wala kusema vibaya hao ndugu zetu. Onyeka
Alimsaliti mama Yako?Lisu alikuwa msaliti wa taifa, na msaliti hutandikwa popote duniani
Wacheni Askofu afanye kazi aliyoitiwa. Kama hufurahishwi, hamia dini ya ma Houthis.Hili ni swali tu kwako Baba Askofu, kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka, basi bila shaka ama hukuwepo Duniani, au ulifungiwa ndani ya mazabahu.
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema.