Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Huyo askofu ni useless kabisa.
Ngoja niishie hapo.
Ngoja niishie hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee hana tofauti na UWT akina Lucas MwashambwaHili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
Sahihi kabisaHuyo askofu ni useless kabisa.
Ngoja niishie hapo.
Umefanya uamuzi sahihi kabisa.Toka huyu bwana awe mkuu wa KKKT niliacha kwenda kanisani.
Duh 🙄 !Malalsusa ni na..jisi ya ukristo
Wakati TAL anashambuliwa na kutandikwa risasi naona baba Askofu alikuwa mawinguni
Maana TAL akuwindwa tu Bali kitendo kilitendeka sikuona mahali akilaani tukio hilo
Huyu naye ni muhuni tu na mzinzi, kanisa Lina najisiwaHili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
Enhee.... Tanzania ina watumishi wa Mungu wanafiki sana,huyo Sendeka angekufa tu halina faida yoyote hilo zee swainiHili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
DuuuuhToka huyu bwana awe mkuu wa KKKT niliacha kwenda kanisani.
Aliyeamuru atandikwe alikufa kibwege sana ! unafiaje Mzena yaani ?Lisu alikuwa msaliti wa taifa, na msaliti hutandikwa popote duniani
Lema alisha maliza huyu ni mchumia Tumbo...Hili ni swali tu kwako Baba Askofu , kwa Nchi hii ukianza kusononeka kwa sababu ya Kunusurika kwa Ole Sendeka , basi bila shaka ama hukuwepo Duniani , au ulifungiwa ndani ya mazabahu .
Na kama ulikuwepo basi utakuwa mnafiki uliyepitiliza na kwamba sononeko lako linatokana na kushambuliwa kwa Mwanaccm mwenzako na wala halitokani na hicho ulichokisema .
View attachment 2950052
kuna ukweli fulaniMalalsusa ni na..jisi ya ukristo
Surekuna ukweli fulani
Toka lini? Au umeandika tu mradi uwaudhi waumini wake.KKKT ni Tawi la CCM. Hovyo kabisa.