Askofu Malasusa ulianza lini kusononeshwa na watu Kuwindwa kwa Risasi?

Huyu mzee hana tofauti na UWT akina Lucas Mwashambwa
 
Wakati TAL anashambuliwa na kutandikwa risasi naona baba Askofu alikuwa mawinguni
Maana TAL akuwindwa tu Bali kitendo kilitendeka sikuona mahali akilaani tukio hilo

Lisu alikuwa msaliti wa taifa, na msaliti hutandikwa popote duniani
 
Huyu naye ni muhuni tu na mzinzi, kanisa Lina najisiwa
 
Enhee.... Tanzania ina watumishi wa Mungu wanafiki sana,huyo Sendeka angekufa tu halina faida yoyote hilo zee swaini
 
Lema alisha maliza huyu ni mchumia Tumbo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…