Askofu Malasusa ulianza lini kusononeshwa na watu Kuwindwa kwa Risasi?

I

Ingia kwenye anga zao ndio utajua ni watu wa serikali au CCM. Hapana chezea wala kusema vibaya hao ndugu zetu. Onyeka
Tukitwaa madaraka 2025 kama Mungu alivyopanga tutaondoa hali hii
 
Halafu huyu Askofu ana masikio yake na kichwa chake cha mviringo vinafanana na paka au bundi. Ama kweli duniani wawili wawili.
 
M Wacheni Askofu afanye kazi aliyoitiwa. Kama hufurahishwi, hamia dini ya ma Houthis.

Pilipili ya KKKT sijui inakuwasha sehemu gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…