Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Sas kama ni in advance mnaunguruma nini. Kuna shilingi yoyote ya Tanzania hapo.

Wamejenga misikiti sabab wameombwa, nanyie ombeni wawejengee makanisa iwe bila bila
Waliombwa na nani!!??
Hawakuwepo hapa, hao waliowaomba walikutana nao wapi!!??
 
Na wanajitambua kuwa wachafu kupita kiasi ndio maana hongo/rushwa zimetamaraki kila taasisi, mara waandishi wa habari, mara wabunge, mara misikiti nk. Kama yu msafi kwanini anatembeza rushwa?.Hivi kweli hayo yote wanamchafua tu.Huyu DPW ajitafakari.
 
Kuingiza udini kwenye hili ni kukanyaga mstari mwekundu ambao ni hatari kwa pande zote.








But who cares, siasa na wanasiasa kazini.
 
Kampuni gani ya West uliwahi kuona inajihusisha na masuala ya kujenga makanisa au kutoa misaada makanisani??
 
Kwa nini wasijenge hoapitali,shule, vituo vya michezo, vyuo vya ufundi!!???
Mwaarabu siyo wa kumpa nchi, anadumaza maendeleo.
Sehemu zote alizokaa mwaarabu kuna misikiti mingi na visima vya kujitawazia.
Ni kuwa na makini tu wasije wakaanza kufadhili vikundi vya kigaidi
 
Charity Organisations za Wazungu ziko kama zote,hao unaowataja wanatoa misaada kiserikali sio misaada ha kibinafsi.

Mwisho kwani DP World kama kampuni binafsi inakatazwa kusaidia wenye uhitaji ikizingatiwa imetokea sehemu ya Waislamu?
DP world ni kampuni binafsi au ya serikali ya Dubai!!??
 
Tanzania ina makampuni mengi mno ya kikiristo na kisabato, easy yaimbieni hayo makampuni nayo yajenge makanisa.
Hapana, makampuni binafsi yasijihusishe na masuala ya kidini au yakitaka kufanya hivyo yawe yana balance, yasiegemee upande mmoja tu.
 
Mmepewa Chuo cha TANESCO pale Msamvu ( MUM) lakini mmeshindwa hata kukiendeleza.
Serikali imegoma kuwapa chuo gani tena!!??
 
Mbeya kuna bandari ipi? Mpaka akimbilie huko? Mbona sijawahi kusikia GGM imejenga zahanati Iringa? I la huko Kahama/Geita walipo wanajenga na ni sahihi.JITAMBUE NDUGU.
 
Mmepewa chuo kikuu Bure, bila aibu Serikali ilikubali Serikali za Libya na Morocco sehemu kubwa tu ya misaada yao ije kwenu Waislam. Uliisha sikia wapi Serikali ya Tanzania ikazishaeishi Serikali za wazungu kusaidia wakiristo tu
 
Sas kama ni in advance mnaunguruma nini. Kuna shilingi yoyote ya Tanzania hapo.

Wamejenga misikiti sabab wameombwa, nanyie ombeni wawejengee makanisa iwe bila bila
Hatutaki misikiti wala makanisa hivyo vyombo ni vya wapigaji vilevile, jenga shule, Hospital nk.na kwanini Mbeya? Ingekuwa Dar au Tanga ningekuelewa, hivi nyie mnafurahi kuona viongozi wetu wanahongwa na hili likampuni?
 
Nilishasema mwanzo hili suala limeingia udini ndani yake, wakristo hawaitaki DP World kwa sababu ya uislam.

Wagalatia wana roho mbaya sana.
Mbona hakuna nchi inakuja kuwekeza na kueneza mambo ya dini? Wamarekani wapo, wachina nk hatutaki mambo ya dini katika mambo ya kitaifa.
 
Wanaochochea udini walaaniwe milele. Tena wajue kuwa watanzania hawatakubali kamwe na hivo, hiyo kazi yao haitabarikiwa kamwe.
Watanzania wanaishi pamoja, kula pamoja, kufurahi pamoja, kuhuzunika pamoja, kazi pamoja ... na kuondoa hali hii wajue wanatafuna mawe badala ya karanga, wanapaka pilipii badala ya mafuta, wanalamba tinndikali badala ya asali. Hatukubali
 
Hatutaki misikiti wala makanisa hivyo vyombo ni vya wapigaji vilevile, jenga shule, Hospital nk.na kwanini Mbeya? Ingekuwa Dar au Tanga ningekuelewa, hivi nyie mnafurahi kuona viongozi wetu wanahongwa na hili likampuni?
Nashindwa hata kujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…