residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Waliombwa na nani!!??Sas kama ni in advance mnaunguruma nini. Kuna shilingi yoyote ya Tanzania hapo.
Wamejenga misikiti sabab wameombwa, nanyie ombeni wawejengee makanisa iwe bila bila
Hawakuwepo hapa, hao waliowaomba walikutana nao wapi!!??