Askofu Mwamakula: Mpendwa Mama Samia Suluhu Hassan, mambo yafuatayo ni muhimu

We Ni mke wake ulijuaje Kama aliumia
 
Una umri gani?
Jakaya anaingia madarakani 2005 alikuta mshahara wa JWT kima cha chini ni 73,000/= mpaka anaondoka 2015 JWTZ mshaara kapandisha wakawa wanapokea si chini ya 700,000.Hayati Magufuli anaingia madarakani 2015 sukari kaiukuta inauzwa 1000-1500 kwa kg.Muda mfupi sana wa utawala wa hayati magufuli bei ya sukari ikapanda kufikia 2500-3000.Usiongee jambo wakati hujui chochote.

Jakaya kaacha Cement tunanunua 13000-13500 huyu unaemsifia cement kaisukuma 15500.

Nondo 12mm jakaya kaicha 12000 leo ni zaidi ya 15000 vivyohivyo kwenye bati nako ni majanga matupu,jakaya kaacha bati ya alafu 30g ikiuzwa kati ya 22000-25000 leo bati ya 30g ni zaidi ya 35000.

Hapo utagundua Jakaya aliboresha Maisha ya watu lakini hayati magufuli ameumiza Sana watu kwani wakati bei za bidhaa zinapanda lakini hakuna maboresho yoyote ya mishahara.Ajira mpya hakuna,Biashara nazo zinakufa,Bei za nafaka nazo zimekufa,ukweli ni kwamba awamu ya tano imeleta majanga Sana uraiani.

Nakushauri kama umesoma sanaa usichambue uchumi kwani uchumi ni taaluma,hio hoja kwamba usipandishe mishahara ili uzuie inflation jifunze hapo juu.
 
Katika maaskofu waongo huyo Mwamakula na ka nusu baraghashia kake yumo

Angalia anachoandika kila sehemu "Tunashauri" wanashauri na nani wakati yeye peke yake ndie anashauri

Na mwishoni anaandike yeye kama yeye majina ya wengine hayamo

Asome nyaraka za Katoliki zinavyoandikwa
Wakusema tunashauri toka mwanzo wanajitaja na mwishoni wanaandika majina na vyeo vyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…