mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Duh 🙄!!!!Siku zinavyozidi kwenda mbele unazidi kuwa mjinga tu.
Unajizima data hujui kama Kikwete ndio anayeharibu nchi?
Kwa akili zako za kuvukia barabara hujui kama Kikwete ndiye aliyemuibuwa Samia mpaka amefikia Urais?
Ubongo ukiganda udini unakuwa mpumbavu kabisa.