Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Mwingira ana stress za kufungiwa benki yake kwa kujiendesha kienyeji pamoja na kunyang'anywa mashamba aliopora wananchi kihuni
 
Nimesikia hiyo audio clip. Mwingira ni mmojawapo wa waathirika wa utawala huu dhalimu. Benki yake ya EFATHA ilifungwa na serikali. Shughuli zake nyingi sana zimekwama, sidhani kama atakaa aupende utawala huu
Ilifungwa kwa kukosa mtaji na kukopesha bila kukusanya madeni kitu ambacho kingetishia usalama wa pesa za wengine

Mbona haikufungwa kwa siri matangazo yalitoka kibao
 
Mwingira awe na akiba ya maneno.
Kweli Lissu kupona kwake ni kudra ya Mwenyezi Mungu na watu wengi kama sio waote hawakupendezwa na tukio hilo.
In fact watu wenye maenzi mema walilaani tukio hilo.

Lakini, ukweli utabai pale pale.
Kwa hali ilivyo, Magufuli atashinda tu, kiichopo tumwombe Mungu pawepo na amani!
 
Namba 3 umeitendea haki.. hakika uzi wako umejaa uongozi wa roho mtakatifu.

Huwezi andika hivyo kwa akili hii ya kibinadamu.

Ubarikiwe sana, na roho wa bwana daima akuongoze katika kuilisha jamii hii maandiko mema.

Bravo. Heriel
 
Wewe utakuwa unaunga mkono uporaji wa ranchi za wananchi Karagwe wewe na unyang'anyi wa pesa za walalahoi kupitia vitambulisho vya wamachinga.

Mbona unaitetea sana CCM?
 
Nimesikia hiyo audio clip. Mwingira ni mmojawapo wa waathirika wa utawala huu dhalimu. Benki yake ya EFATHA ilifungwa na serikali. Shughuli zake nyingi sana zimekwama, sidhani kama atakaa aupende utawala huu
Mkuu benki zinaongozwa kisheria,huyo aliifanya benki kama upatu
 
Hatuzungumzii tuhuma kanisani, tunazungumzia matukio ya kweli.

Huwezi zungumzia tuhuma zisizo na ushahidi mbele ya madhabahu ya Mungu
Mbona uzi umeunganishwa huu.

Mods angalieni na content,mkiweza upandisheni pale juu wote wawe katika page moja.
 
Kuna watu wana hasira walizoea status quo za awamu zilizopita, awamu hii wana vinyongo vya hatari.

Wakimsikia Askofu anaongea maneno ya aina hii lazima wamuunge mkono kwa nguvu zao zote.
 
Mkuu huu uzi ubadilishie heading usimame kama wenyewe.

Huwezi unganisha hizi nondo asee, ama la moderators waupandishe juu usomeke pamoja na mleta mada.
 
Nimesikia hiyo audio clip. Mwingira ni mmojawapo wa waathirika wa utawala huu dhalimu. Benki yake ya EFATHA ilifungwa na serikali. Shughuli zake nyingi sana zimekwama, sidhani kama atakaa aupende utawala huu
Mwingira hata mambo yake yalipokuwa mazuri alikuwa haipendi serikali sijui kwa mini binadamu watu wa ajabu sana

Mfano watu walikoukuwa wakifaidi sana mfumo wa kifisadi uliokuwa enzi za Kikwete kuanzia serikalini na sekta binafsi waliokuwa wakila bata maofisini na tenda. Fisadi ndio 2015 waliunga mkono upinzani na kuiponda CCM !!iliyokuwa ikiwapa ulaji wa kifisadi na bata

Sijui pepo gani liliwadaka au uchawi wa Chadema?

Kwa hali ya kawaida usingetarajia wachaga wengi kuipigia kura Chadema wakati ulaji walikuwa wakipewa na CCM wakifaidi miaka mingi toka nchi ipate uhuru keki ya nchi kutokana na udhaifu wa CCM Lakini 2015 hawakujua kula na kipofu wakaitupa mkono CCM kuwa wewe kipofu kwenda huko.Mungu si Athumani kipofu akashinda akarudi nafasi yake
 
Acha kumfananisha dauti na takataka,
 
Leo utaskia BOT inatoa wadai Sugu, Watasema Efatha Bank, then utaskia anaulizwa uraia wake, Mara TRA maana ile issue ya "wasio julikana master plan kaondolewa ukuu wa mkoa yupo kigambonino"
 
Kuna watu wana hasira walizoea status quo za awamu zilizopita, awamu hii wana vinyongo vya hatari.

Wakimsikia Askofu anaongea maneno ya aina hii lazima wamuunge mkono kwa nguvu zao zote.
... ni wengi asee! ... unaona wanavyofurika kwenye mikutano ya Lissu? ... nchi hii ina watu mamillion waliokuwa wanufaika wa 'status quo' za awamu zilizopita, acha jembe, Jiwe, awakomeshe!
πŸ˜…
πŸ‘Š ✌️✌️✌️πŸ’₯
 
Mtumishi kaongea kweli kutoka moyoni ila sasa hivi uhamiaji watamwambia alete vyeti vya kuzaliwa vya babu na babu yake!
 
Kwa Siasa za Tanzania zilivyo Tundu Antipasi Lissu atakuwa ni Mshindani mzuri wa Kisiasa ila Yeye kuwa Rais wa JMT hilo alisahau na asijiaminishe.
Lisu anaenda kuwa rais Mkuu, usichexe na mipango Ya MUNGU ogopa kabisaaa, ulijua kuwa Hali itakuwa hivi? Hata mbowe hakujua kuwa Hali itakuwa hivi, hata magufuli hakujua kuwa hali itakuwa hivyo, kumbuka kuwa hadi sasa magufuli anakura nyingi toka mikoa 12 huku lisu akiwa na mikoa 14 na Zanzibar ikiwa Kwa lisu, msiongee pasipo kufanya utafiti hata Ccm imeishaogopa ndio maana wanatumia kila mbinu Ya kuchakachua Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…