Uchaguzi 2020 Askofu na Sheikh wamwaga dua nzito dhidi ya watakaofanya dhulma katika Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Askofu na Sheikh wamwaga dua nzito dhidi ya watakaofanya dhulma katika Uchaguzi huu

Mie napita tu Mkuu.
Katika mkutano wa Chadema leo Kawe, Askofu Mwamakula na Sheikh Katimba leo wametoa dua nzito sana dhidi ya mtu yeyote atakayetenda dhulma kudhulumu haki za watanzania kwenye kupata viongozi wao halali wa nchi hii.

Askofu Mwamakula amesoma dua nzito ya kuomba Mungu ashushe Malaika wawashughulikie wote watakaojaribu kupora haki za watanzania kuchagua wawatakao. Ametoa mfano wa namna Malaika walipopambana na majeshi ya Ibilisi na kumnyang'anya funguo za kuzimu.

Sheikh Katimba akaomba Mungu amdhalilishe mtu yoyote atakayekula njama za za dhulma ya haki za wananchi, ameomba Mungu amdhalilishe hapahapa duniani na huko Mbinguni

Mimi nasema hawa viongozi wa kitaifa, viongozi wa CCM, VIongozi wa NEC na wote wanaokula njama za kuvuruga uchaguzi MWENYEZI MUNGU ANAONA, LAANA HAZITAWAACHA SALAMA IWAPO MTATEKELEZA UDHALIMU HUU!

Mwaka 2015 Mkuu wa nchi wakati anaapishwa pale uwanja wa Taifa kuwa rais, alisomewa dua na Askofu na Sheikh dua nzito huku akiapa kuwa mtenda haki na kutoonea wala kubagua. Sasa Dua za Mungu huwa haziendi bure, namshauri ajipime aone kama amekiishi hiki kiapo. Viapo mbele ya Mungu ni vizito!

Nimkumbushe tu Rais Magufuli kuwa siku anaapishwa pale Uwanja wa Taifa, Sheikh Mkuu alimsomea dua nzito sana akiambatanisha dua hiyo na aya Nzito kuliko zote kwenye Qu'ran aya ya Mamlaka ya Mungu (Ayatul' Kursiyyu). Hii ni Aya yenye Ulinzi mzito!, Waislamu huitumia aya hii kwenye kujilinda dhidi ya mamlaka za Ibilisi, uchawi, wenye nia mbaya n.k. Na kweli Mungu kamlinda Rais katika Mengi mpaka sasa. Lakini nimkumbushe tu mheshimiwa rais kuwa Qur'an huwa haichezewi chezewi, Mwisho wake siyo Mzuri. Ni bora atende haki la sivyo Mungu hadhihakiwi!, Adhabu yake ni kali!

Maamuzi ni yake atekeleze kiapo chake au akivunje!. Mungu anamuona!
 
Katika mkutano wa Chadema leo Kawe, Askofu Mwamakula na Sheikh Katimba leo wametoa dua nzito sana dhidi ya mtu yeyote atakayetenda dhulma kudhulumu haki za watanzania kwenye kupata viongozi wao halali wa nchi hii.

Askofu Mwamakula amesoma dua nzito ya kuomba Mungu ashushe Malaika wawashughulikie wote watakaojaribu kupora haki za watanzania kuchagua wawatakao. Ametoa mfano wa namna Malaika walipopambana na majeshi ya Ibilisi na kumnyang'anya funguo za kuzimu.

Sheikh Katimba akaomba Mungu amdhalilishe mtu yoyote atakayekula njama za za dhulma ya haki za wananchi, ameomba Mungu amdhalilishe hapahapa duniani na huko Mbinguni

Mimi nasema hawa viongozi wa kitaifa, viongozi wa CCM, VIongozi wa NEC na wote wanaokula njama za kuvuruga uchaguzi MWENYEZI MUNGU ANAONA, LAANA HAZITAWAACHA SALAMA IWAPO MTATEKELEZA UDHALIMU HUU!

Mwaka 2015 Mkuu wa nchi wakati anaapishwa pale uwanja wa Taifa kuwa rais, alisomewa dua na Askofu na Sheikh dua nzito huku akiapa kuwa mtenda haki na kutoonea wala kubagua. Sasa Dua za Mungu huwa haziendi bure, namshauri ajipime aone kama amekiishi hiki kiapo. Viapo mbele ya Mungu ni vizito!

Nimkumbushe tu Rais Magufuli kuwa siku anaapishwa pale Uwanja wa Taifa, Sheikh Mkuu alimsomea dua nzito sana akiambatanisha dua hiyo na aya Nzito kuliko zote kwenye Qu'ran aya ya Mamlaka ya Mungu (Ayatul' Kursiyyu). Hii ni Aya yenye Ulinzi mzito!, Waislamu huitumia aya hii kwenye kujilinda dhidi ya mamlaka za Ibilisi, uchawi, wenye nia mbaya n.k. Na kweli Mungu kamlinda Rais katika Mengi mpaka sasa. Lakini nimkumbushe tu mheshimiwa rais kuwa Qur'an huwa haichezewi chezewi, Mwisho wake siyo Mzuri. Ni bora atende haki la sivyo Mungu hadhihakiwi!, Adhabu yake ni kali!

Maamuzi ni yake atekeleze kiapo chake au akivunje!. Mungu anamuona!
Mie naamini dua zetu zimejibiwa na muumba. tusubiri muda utasema!
 
Baada ya Magufuli kuapishwa pale uwanja wa Taifa mwaka 2015 alisomewa Aya nzito sana na Sheikh Mkuu iitwayo Ayatul Kursiyyu hiyo ni Aya kuu ya ulinzi ndani ya kwenye Qur'an kuliko zote ili Mungu ampe ulinzi akatende haki, sasa ngoja aende nje ya viapo alivyoapa pale uwanja wa Taifa mwaka 2015 aje aone mwisho wake!.
Kusikia kwa KENGE ni mpaka Damu itoke masikioni....
 
Baada ya Magufuli kuapishwa pale uwanja wa Taifa mwaka 2015 alisomewa Aya nzito sana na Sheikh Mkuu iitwayo Ayatul Kursiyyu hiyo ni Aya kuu ya ulinzi ndani ya kwenye Qur'an kuliko zote ili Mungu ampe ulinzi akatende haki, sasa ngoja aende nje ya viapo alivyoapa pale uwanja wa Taifa mwaka 2015 aje aone mwisho wake!.
Pipoooz
 
Baada ya Magufuli kuapishwa pale uwanja wa Taifa mwaka 2015 alisomewa Aya nzito sana na Sheikh Mkuu iitwayo Ayatul Kursiyyu hiyo ni Aya kuu ya ulinzi ndani ya kwenye Qur'an kuliko zote ili Mungu ampe ulinzi akatende haki, sasa ngoja aende nje ya viapo alivyoapa pale uwanja wa Taifa mwaka 2015 aje aone mwisho wake!.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chadema kinatia huruma kutoka kuombewa Dua na masskofu wenye hadhi Kama Kakobe na Gwajima Hadi kuombewa Dua na Askofu mwamakula mwenye kanisa la mfukoni na shehe ubwabwa Katimba
Ili maombi yakubaliwe na Mungu mwombaji anatakiwa awe msafi asiye na mawaa(dhambi) hata akiwa mdogo vipi, duni kiasi gani.
Mungu humsikia huyo. Isaya 66:1-
Mkuu Yehoyada kuwa makini utakuja laanika kwenye laana isiyokuhusu.
Kama Jambo hulijui kaa kimya.

Ukiona mtu amezungumzia Jambo la kiroho linalomuhusu Mungu, au yeyote anayemtumikia Mungu, kuwa makini Sana kucoment labda uwe na uhakika sana.
 
Hakuna impact yoyote ya dua wala sala/maombi yanayoweza kufanya chochote. Walipiga dua miaka ya 95 na mpaka 2030 zitapigwa dua..na hakuna kitakacho tokea
Watu wengi msiomjua Mungu unafikiri kuwa, Ikiombwa dua Basi Jambo hutokea Mara kama vile Elia alivyoomba Moto ukashuka, au enzi za sodoma au Nuhu.

Mungu anasema huwa hachelewi Wala kuwahi kujibu.
Kibaya zaidi watu yanapotupata mabaya huwa hatujihoji kwanini yananipata haya!
Kumbe mengi mabaya yanatokana na mabaya tunayofanyiana. Mungu ana laani
 
Ameen.. Imeisha hiyooo... Takbiiiirrrrrr..!
Tumeomba sana na InshaaAllah M/Mungu alie HAI atatuondolea yeye na mavi yake.

Huwezi kututukana Watanganyika kila unavyojisikia kisa tu ni WANYONGE.
Nenda Jehanamu ukachomwe ulimi wako MCHAFU.
 
Back
Top Bottom