Duh hawa jamaaa wakatoliki huwa ni noma, wakiamua jambo huwa hawarudi nyuma.
If you sideline the church hakika ypu are heading towards failure, thats for sure.
go go askofu Niwemugizi, tuko sote sawa. Tupo na wewe hatua zote!
Upuuzi wao wakafanyie huko huko ksnisani, mchochezi mkubwa huyo askofu, amekosa shughuli za kufanya
Naona anazidi kushawishi TEC
Hao wanaopiga mayowe ni watu walioshindwa. Nchi hii ni zaidi ya huyo askofu wa Rulenge
tutaisoma tutaielewa.
Rulenge n kigoma mpaka na burundi cndio?hyo askofu asituletee walisababisha vita y kimbali hawa,cc sio watoto wadogo watuache tutaisoma katiba wenyew afu ndo tuamue kama n ndio au hapana hatutaki kushinikizwa
Wewe ndio una mawazo ya kipumbavu.
Jina la Bwana lihimidiwe kuona viongozi wetu wakiroho wakisimamia kikamilifu uadilifu
Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya.
Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya.
Urakozee baba Niwe Mugizi endelea na moyo huohuo kutetea ukweli
Pamoja na kuipigia kura ya ndiyo.
Hata kule Rwanda ni maaskofu ndio waliochochea mauaji ya kimbari
Miss gisenyi uhaye umubwila Niwemugizi alakoze chane kukikogwa kite choyakoze?acha kutupotezea muda ugambe nku muntu afise ubwenke!usipende kudandia mada usiyoiju imetoka wapi viongozi wa dini kuanza kushabiakia siasa na kuingilia masuala ya serikali na kuwaamulia wananchi sio sawa na hili halikubaliki?