Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Askofu Niwe Mugizi jimbo Katoliki Rulenge Ngara Kagera, kuongoza kampeni ya kupinga katiba mpya

Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.

Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.

Mkuu we ni Ignorant wa Imani ya kikatoliki.Au ulitaka wafanye uchaguzi kama wa wabunge.ili.mchakachue imani za watu imekula kwenu.Kanisa katoliki ni Strong institution zaidi ya uijuavyo.
 
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.

Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.

This cursed generation!
Hii ni spirit ya yule mwenzenu malaika aliyetaka demokrasia hadi mbinguni,afanane na Mungu.

Hii ni spirit ya akina Samael,Azazel,Semyaza na wale grigori wenzao walioona umalaika unawakosesha utamu wakaamua kuishi kama wanadamu ili waoe binadamu,wakaivuruga dunia na kusababisha gharika.

Spirit hii itasababisha siku moja mhoji uhalali wa Mungu kuwa Mungu,na kusimama Harmaggedon ili mpigane nae vita(uchizi wa democracy huo).

Cha ajabu hamuhoji ilikuwaje baba zenu wakaitwa baba zenu bila sanduku la kura!
 
jinsi bakwta inavyoishambulia chadema waislam mnakua vipofu ni zairi kanisa katoriki haritaki ccm nanyi muwe wavumilivu kama chadema walivyowavumilia bakwata
 
Religion must not be mixed with politics in this way. Reveland must be made aware of the concequences of his course. We need peace in this country.
 
religion must not be mixed with politics in this way. Reveland must be made aware of the concequences of his course. We need peace in this country.

acha uoga wa kijinga,hapa amechanganya nn? Mbona wanaposifia viongoz hamsem? Wakikosoa mfumo mchaf ndo mnaona? Walisema rais jmk ni mteule wa mungu hamkuona mlilala? Kusifia na kukosoa ni kaz yao pia
 
Yeye apinge kwenye ballot box na si kuhamasisha waamini wake waungane na mawazo yake ya kipumbavu. Yeye kala mlungula wa Lowasa. Asianze kuwalisha sumu wenzake


Wewe kwa akili yako, hii katiba iko poa? Je, umewahi kujiuliza kwa nini wananchi wanaipinga?
 
Nani kampa huo uaskofu wa watu. Hajapigiwa kura na yeyote kuwa askofu wa Rulenge.Hajui hata maana ya kura huyo.Kawekwa tu kwa mfumo dikiteta wa kanisa katoliki ambao hauwapi waumini nafasi za kupigia kura maaskofu wao.

Mtu ambaye amewekwa bila kura siasa za kura kazijulia wapi? Akome kabisa.Kama ana cha kuhamasisha akahamasishe kanisa katoliki kuwa Maaskofu wawe wanapigiwa kura na waumini kuwa maaskofu badala ya mfumo wa sasa wa kidikiteta.
Akatoe boriti kwenye jicho la kanisa lake kwanza.


Unlike masheikh, hawa watu wamesoma na wana upeo wa kuona mbali., hivyo ni vema kuhamasisha watu ama waumin wao pale wanapoona wanakandamizwa kimakusudi. We need true leaders si vibaka waliopo madarakani kwa manufaa ya kulindiana maslahi.
 
Aliyeongea hayo si huyo Askofu bali boss wwke Lowasa



Sawa, kama ni Lowassa ndiye aliyesema haya shida ni nini? Ridhiwani bwana kwa ujinga? Unaambiwa wananchi nchi nzima including jimboni mwako Chalinze wanalalamika kuwa CCM ndiyo inayorudisha nchi nyuma kimaendeleo, wewe kwa kutetea maslahi ya baba yako unaropoka na kuwalostisha watu. Kwa taarifa yako, hapa JF huwezi fanya hivyo labda ujipange upya uende vijijini kwa wazee wabwia ugoro na walevi wa komoni kuwadanganya hivyo, si hapa. Jichunge kijana, utashikishwa ukuta weweeee.
 
Unlike masheikh, hawa watu wamesoma na wana upeo wa kuona mbali., hivyo ni vema kuhamasisha watu ama waumin wao pale wanapoona wanakandamizwa kimakusudi. We need true leaders si vibaka waliopo madarakani kwa manufaa ya kulindiana maslahi.

Aliyekwambia masheikh hawajasoma nani? Masheikh wengi wamesoma elimu ya dini kuliko mapadre na maaskofu sababu masheikh wamesomea elimu ya ahera tu bila kuchanganya na elimu dunia kama mapadre na maaskofu wasomvyo seminari ambako husoma na kufanya mitihani ya baraza la mitihani ya taifa .
Elimu ya uongoza dunia si elimu dunia bali elimu ahera ya mwenyezi mungu.

BAKWATA imenyamaza kimywa mchakato wa katiba sababu katiba si Kuruani kiasi kuwa uiongelee kuwa iko sahihi au haiko sahihi.Kila kilichotekngenezwa na binadamu ikiwemo rasmu ya katiba si kamilifu na msomi yeyote aliyesoma barabara katika uislamu hawezi ongelea kazi ya binadamu kuwa iko sahihi au la.Tunawashangaa maaskofu badalA YA KUHANGAIKIA AHERA WANAHANGAIKIA DUNIA NA RASMU ZAKE ZA KATIBA WAKATI WAKIJUA IKO SIKU YA KIAMA AMBAKO VITABU VYOTE IKIWEMO RASMU YA KATIBA ITACHOMWA MOTO NA HUKUMU ITATOLEWA KWA KITABU CHA MWENYEZI MUNGU TU.MWENYEZI MUNGU HATAHUKUMU MTU KWA RASMU YA KATIBA! hIVYO TUNASHANGAA MAASKOFU KUSHUPALIA RASIMU KAMA VILE NI KITABBU CHA MWENYEZI MUNGU.MAMBO DUNIA WAACHIWE WANA DUNIA NA VIONGOZI WA KIDINI WASHUGHULIKIE MAMBO AKHERA.
 
Religion must not be mixed with politics in this way. Reveland must be made aware of the concequences of his course. We need peace in this country.

kunapotokea mambo ya chanjo kanisa au misikiti kuambiwa waumini wao je wao ni madaktari.tumia kichwa kufikiri hivi ni vitu vigumu kuvitenganisha.
 
Askofu Niwemgizi wa jimbo Katoriki jimbo kuu Rulenge amesema ataongoza kampeni ya kura ya hapana kupinga katiba mpya.

Mpuuzi tu huyu askofu, avue mjoho wake agombee udiwani tu, hawa ndio wanaoanzisha chokochoko bila kuangalia athari zake baadae.
 
Aliyekwambia masheikh hawajasoma nani? Masheikh wengi wamesoma elimu ya dini kuliko mapadre na maaskofu sababu masheikh wamesomea elimu ya ahera tu bila kuchanganya na elimu dunia kama mapadre na maaskofu wasomvyo seminari ambako husoma na kufanya mitihani ya baraza la mitihani ya taifa .
Elimu ya uongoza dunia si elimu dunia bali elimu ahera ya mwenyezi mungu.

BAKWATA imenyamaza kimywa mchakato wa katiba sababu katiba si Kuruani kiasi kuwa uiongelee kuwa iko sahihi au haiko sahihi.Kila kilichotekngenezwa na binadamu ikiwemo rasmu ya katiba si kamilifu na msomi yeyote aliyesoma barabara katika uislamu hawezi ongelea kazi ya binadamu kuwa iko sahihi au la.Tunawashangaa maaskofu badalA YA KUHANGAIKIA AHERA WANAHANGAIKIA DUNIA NA RASMU ZAKE ZA KATIBA WAKATI WAKIJUA IKO SIKU YA KIAMA AMBAKO VITABU VYOTE IKIWEMO RASMU YA KATIBA ITACHOMWA MOTO NA HUKUMU ITATOLEWA KWA KITABU CHA MWENYEZI MUNGU TU.MWENYEZI MUNGU HATAHUKUMU MTU KWA RASMU YA KATIBA! hIVYO TUNASHANGAA MAASKOFU KUSHUPALIA RASIMU KAMA VILE NI KITABBU CHA MWENYEZI MUNGU.MAMBO DUNIA WAACHIWE WANA DUNIA NA VIONGOZI WA KIDINI WASHUGHULIKIE MAMBO AKHERA.

wATU KAMA HAWA WATATUCHELEWESHA SANA WEWE UNAFIKIRIA AKHERA HALAFU UKO DUNIANI HUONI WEWE NI ZZUU KWELI ili uweze kufika akhera ni sharti upitie duniani by the way wewe kwa maisha haya ya sasa unadhani unaweza ishi bila elimu ya dunia eLIMIKA KOMBOKA HATA NGUO UNAZOVAA VIATU CHAKULA MAHITAJI KEDEKEDE
 
Back
Top Bottom